Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Binafsi natamani kufanya sehemu kweny mda wa kwenda field sana sio kukaa ofisini mpaka unapata magonjwa.. TARURA kutamu kutwa watu wapo site.Tarura kutamu sana... Kipindi cha nyuma walikuwa hawana ishu mishahara ilikuwa kama tamisemi tu.
Ambaye hatakuelewa hapa hatakaa aelewe tena. Kuna watu hata ajira hawana lakini wanaangaliwa na watu kibao nyuma yao.Ujue mimi huwa nashangaa kwanini watu wanajudge mishahara ya watu kwa kuangalia maisha yao hili nilishaliongelea sana humu, tunatofautiana mkuu kuna mtu akipokea mshahara wake hana majukumu yoyote wala wategemezi hivyo pesa yote ni yake na kuna mwingine akipokea mshahara ana majukumu mengi na wategemezi wengi hivyo anajikuta pesa yake inaishia huko, kukopa ni kawaida mtumishi kukopa au kulia njaa siyo lazima sababu iwe ni kutokulipwa vizuri kuearn ni jambo moja na kuexpend ni jambo jingine mimi nina mifano ya maluteni ambao wana maisha mazuri kabisa
Hizo taasisi kma LATRA ,TCRA ,TANAPA officer walikuwa wanakula mpaka mil 2.9 - mpaka 3.3mil wakiwa wanaanza ila meneja pla TAA kafika sana 3.0mil tena wengi ni 2.5 Mil na posho za kwaida kama usafiri gari ya kuendeshwa ,pesa ya mawasiliano ,per diem ya 250k ..Lete ushahidi
DAWASA wako vizuri. Anaenza anaanza ni 2.1M Kwa grade ii Engineer, halafu malupulupu kibao.TANAPA unaanza 2.9M huu ni mshahara au plus marupurupu?
Zaidi ya hapo ni mshahara sio kwamba wanalipwa kiasi hicho ila ni tathmini ya mda mshahara wa mda kidogo.TANAPA unaanza 2.9M huu ni mshahara au plus marupurupu?
Napatamani huko 😢Mpaka hapa hakuna anayejua mishaara ya NECTA,TIE,NACTE,TCU,TEA na LOAN BOARD hizi ni taasisi za Elimu.
TCRA na LATRA naweza kuaminiHizo taasisi kma LATRA ,TCRA ,TANAPA officer walikuwa wanakula mpaka mil 2.9 - mpaka 3.3mil wakiwa wanaanza ila meneja pla TAA kafika sana 3.0mil tena wengi ni 2.5 Mil na posho za kwaida kama usafiri gari ya kuendeshwa ,pesa ya mawasiliano ,per diem ya 250k ..
Ila LATRA ,TCRA ,TANAPA ofisa wa kawaida anayeana ana per diem ya 250k, muda wa maongezi na posho nyingine kibao hata ya usafiri.
Hiyo ni ya chini ila mwaka jana mwezi wa saba walibadilisha haswa posho.TCRA na LATRA naweza kuamini
Mkuu kua Serious.Laki 6 tu
yaah 2.3 m ndio salary na benefits za luteni wa jeshi, na mwanangu yupo kikosi anga hapo dsm na majuzi juzi tu katoka kupiga Bs ya meteorogy udsm.Mkuu una uhakika na hizo salary za JWTZ? Mimi kuna jamaa yangu luteni alinikopa laki 1. Hivi ninavyoongea unaelekea mwezi wa tano story tupu.
Kama hiyo 2.3 ni mshahara wa luteni basi mimi kanizidi zaidi ya laki 9.
Pesa ipo TEMESA kuzuri kuliko BOT hasa ukipata kitengo. TEMESA kutoka na milioni kwa siku ni normalShukrani mkuu..maana sijawahi sikia km napo Kuna asali
mtumishi wa halmashauri nikama field ama intern wa serikali tu. njaa ni kali balaaNakubali mkuu, Kuna workmate hapa nilikuwa napiganae story, ana ndugu yake engineer ambaye alitoka Halmashauri ya Tunduru kwenda TArura,, Sasa hivi maisha yake yamechange ghafla,, TARURA Kuna maokoto sana
Inategemea Mhandisi wa nini.TPA mhandisi anakunja ngap?
TPDC Mhandisi anakuja ngapi?
Wote ni daraja la pili
Nimekuelewa mkuu.Sijasema kwamba TPDF ndio wanalipa mishahara mikubwa kuliko taasisi zote ila nawashangaa wanaosema eti wanajeshi wanalipwa chenji tu, hata hivyo hilo gap siyo kubwa sana kwa sababu private naye ni mwanajeshi anayeanza kazi yani shati tupu tena hiyo ni kwa mwenye elimu ya form four tu ukiwa na elimu zaidi ya hapo kwa cheo hicho hicho maokoto yanaongezeka, ni taasisi chache sana zinazoizidi TPDF ndio maana nikasema kama wanajeshi wanalipwa chenji basi taasisi nyingi za serikali zinalipa chenji tu
Kweli.Najua mishahara yao kama kuna mtu anabisha aje hapa, chukua hii meneja wa pale TAA hamfikii kwa mshahara afisa anayeanza TCRA,TANAPA ,LATRA ,huyo ni meneja na miaka 13 kweny utumishi..
Kweny pesa ni TCAA ila wapo kimya hao jamaa wanapiga pesa hatari ,safari za kutosha ila TAA inafanya kazi kama subsidiary ya TCAA ila TAA ndio ina miaka mingi kweny utumishi kuliko TCAA... Maslahi duni kutwa wanataka kubadili salary scale ila hawana uwezo.
Kwanza wanalipwa kweny mfumo wa utumishi kama watu wa Tamisemi tu ,hwana mpya.
STAMICO mwenye diploma anamzidi mwenye degree huko Ilala municipal.Upande wa stamico pakoje wakuu