Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Ujue mimi huwa nashangaa kwanini watu wanajudge mishahara ya watu kwa kuangalia maisha yao hili nilishaliongelea sana humu, tunatofautiana mkuu kuna mtu akipokea mshahara wake hana majukumu yoyote wala wategemezi hivyo pesa yote ni yake na kuna mwingine akipokea mshahara ana majukumu mengi na wategemezi wengi hivyo anajikuta pesa yake inaishia huko, kukopa ni kawaida mtumishi kukopa au kulia njaa siyo lazima sababu iwe ni kutokulipwa vizuri kuearn ni jambo moja na kuexpend ni jambo jingine mimi nina mifano ya maluteni ambao wana maisha mazuri kabisa
Ambaye hatakuelewa hapa hatakaa aelewe tena. Kuna watu hata ajira hawana lakini wanaangaliwa na watu kibao nyuma yao.
 
Lete ushahidi
Hizo taasisi kma LATRA ,TCRA ,TANAPA officer walikuwa wanakula mpaka mil 2.9 - mpaka 3.3mil wakiwa wanaanza ila meneja pla TAA kafika sana 3.0mil tena wengi ni 2.5 Mil na posho za kwaida kama usafiri gari ya kuendeshwa ,pesa ya mawasiliano ,per diem ya 250k ..


Ila LATRA ,TCRA ,TANAPA ofisa wa kawaida anayeana ana per diem ya 250k, muda wa maongezi na posho nyingine kibao hata ya usafiri.
 
Hizo taasisi kma LATRA ,TCRA ,TANAPA officer walikuwa wanakula mpaka mil 2.9 - mpaka 3.3mil wakiwa wanaanza ila meneja pla TAA kafika sana 3.0mil tena wengi ni 2.5 Mil na posho za kwaida kama usafiri gari ya kuendeshwa ,pesa ya mawasiliano ,per diem ya 250k ..


Ila LATRA ,TCRA ,TANAPA ofisa wa kawaida anayeana ana per diem ya 250k, muda wa maongezi na posho nyingine kibao hata ya usafiri.
TCRA na LATRA naweza kuamini
 
Mkuu una uhakika na hizo salary za JWTZ? Mimi kuna jamaa yangu luteni alinikopa laki 1. Hivi ninavyoongea unaelekea mwezi wa tano story tupu.
Kama hiyo 2.3 ni mshahara wa luteni basi mimi kanizidi zaidi ya laki 9.
yaah 2.3 m ndio salary na benefits za luteni wa jeshi, na mwanangu yupo kikosi anga hapo dsm na majuzi juzi tu katoka kupiga Bs ya meteorogy udsm.

usiangalie mtu kakudhulumu hio huwa ni hulka na tabia ya mtu.
huku halmashauri ndio watu tunachapika haswaa ila ni afadhali kuliko kua jobless
 
Nakubali mkuu, Kuna workmate hapa nilikuwa napiganae story, ana ndugu yake engineer ambaye alitoka Halmashauri ya Tunduru kwenda TArura,, Sasa hivi maisha yake yamechange ghafla,, TARURA Kuna maokoto sana
mtumishi wa halmashauri nikama field ama intern wa serikali tu. njaa ni kali balaa
 
Sijasema kwamba TPDF ndio wanalipa mishahara mikubwa kuliko taasisi zote ila nawashangaa wanaosema eti wanajeshi wanalipwa chenji tu, hata hivyo hilo gap siyo kubwa sana kwa sababu private naye ni mwanajeshi anayeanza kazi yani shati tupu tena hiyo ni kwa mwenye elimu ya form four tu ukiwa na elimu zaidi ya hapo kwa cheo hicho hicho maokoto yanaongezeka, ni taasisi chache sana zinazoizidi TPDF ndio maana nikasema kama wanajeshi wanalipwa chenji basi taasisi nyingi za serikali zinalipa chenji tu
Nimekuelewa mkuu.
Ila hii nchi ina uonevu.
Form four anampita mshahara mtu mwenye degree.
Dahh
 
Najua mishahara yao kama kuna mtu anabisha aje hapa, chukua hii meneja wa pale TAA hamfikii kwa mshahara afisa anayeanza TCRA,TANAPA ,LATRA ,huyo ni meneja na miaka 13 kweny utumishi..

Kweny pesa ni TCAA ila wapo kimya hao jamaa wanapiga pesa hatari ,safari za kutosha ila TAA inafanya kazi kama subsidiary ya TCAA ila TAA ndio ina miaka mingi kweny utumishi kuliko TCAA... Maslahi duni kutwa wanataka kubadili salary scale ila hawana uwezo.

Kwanza wanalipwa kweny mfumo wa utumishi kama watu wa Tamisemi tu ,hwana mpya.
Kweli.
TAA njaa tupu
 
Back
Top Bottom