Yeah ndio maana nikasema kwa polisi angalau vitengo ni vingi kulinganisha na magereza, na kwenye majeshi vitengo siyo kwa ajili ya maaskari fulani tu bali askari yeyote anaweza akahamishiwa kwenye kitengo chochote muda wowote hivyo wanakula kwa kupokezana, kwahiyo wa kulalamika ni magereza ndio ambao wanakula kazi ngumu kulinganisha na maslahi yao kwanza wale hata mazingira yao ya kazi siyo mazuri sana kama polisiIla Chief sio polis wote wanapata vitengo wengine ni njaa tupu
Pesa ipo TEMESA kuzuri kuliko BOT hasa ukipata kitengo. TEMESA kutoka na milioni kwa siku ni normal
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale serikali inapoajiri mwizi
TANAPA NA NCAA ndio Wanaupepo wa kucheka vizuri ila TFS, TAWA, Na TAWIRI Bado vikumbo vikali labda magendolingMkuu TANAPA, TFSA, TAWA, NCAA, na taasisi nyingine zote zinazodeal na utalii na maliasili kiujumla ziko vizuri
Kuna wale TAFORI makao makuu Morogoro jirani na Seminari ya wasabato. Nilipita pale Parking ina vigari havizidi 10. Nikajiuliza hapa kuna ukame au watu wengine wameenda field?TANAPA NA NCAA ndio Wanaupepo wa kucheka vizuri ila TFS, TAWA, Na TAWIRI Bado vikumbo vikali labda magendoling
Ukisikia Tume au bodi huko ni asali tuwakuu vp na pale Tume ya matumizi bora ya ardhi (land
Mbona tume ya umwagiliaji njaa tupu tuUkisikia Tume au bodi huko ni asali tu
Ni kitambo tuuu, nao watakuwa kama TARURA , wape muda...si unaona shughuli zao Wanapofanya zinataka kufanana na kama wanazofanya TARURA.Mbona tume ya umwagiliaji njaa tupu tu
Hii ipo sawaRetention mechanism
AiseeeUwe mshahara wa 2.3m kwa luteni mmeutoa wap nyie watu hivi mnajua luteni ni cheo cha ngapi jeshini huko sasa kama luten analipwa pesa hiyo kanali siatalipwa 10m sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia Tume au bodi huko ni asali tu
Mbona tume ya umwagiliaji njaa tupu tu
Ndio mkuuMkuu, si ulipata huko Umwagiliaji.. au sio😃
TGS nayo inaumiza,, ukifikiria na hawa HESLB wanavyolamba pesa zao.. DuuuhTatizo sio TGS. tatizo hakuna cha ziada zaidi ya mshahara
Mwisho wa siku unabakia na 600k na una familiaTGS nayo inaumiza,, ukifikiria na hawa HESLB wanavyolamba pesa zao.. Duuuh
NIRC&HALMASHAURI the same tu kwenye salary. hakuna miujiza yoyote ya posho wala nini! kuna mwanangu nimemkuta huku anauza maziwa ili asavaivuTatizo sio TGS. tatizo hakuna cha ziada zaidi ya mshahara
Dah aise inasikitisha sanaNIRC&HALMASHAURI the same tu kwenye salary. hakuna miujiza yoyote ya posho wala nini! kuna mwanangu nimemkuta huku anauza maziwa ili asavaivu
serikali ifanye tathmin scale za watumishi wa halmashauri. wengi macho yamekua mekundu kisa stress
hapa nikupiga pepa tena utumishi aiseehDah aise inasikitisha sana