Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Mie Kwa kweli kazi za Chini ya halimashauri siombi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maana mtaani ka jobless inafika anatafuta mpka intern au pa kujishikiza hata kwa 200k ,tu hapati ss unafkr TGS D hataikataa?? Mtaa mgumu sana na ukitegemea unakandwa kweny betting ni shida tupu aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kila mtu anapambana kwa jinsi anavyoona na pia ni kupunguza manyanyaso ya jobless...mtaani jobless hasaminiki aisee hata kweny vikao vya familia pamoja ka kaelimu kako uthaminiki ka ni jobless[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maana mtaani ka jobless inafika anatafuta mpka intern au pa kujishikiza hata kwa 200k ,tu hapati ss unafkr TGS D hataikataa?? Mtaa mgumu sana na ukitegemea unakandwa kweny betting ni shida tupu aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kila mtu anapambana kwa jinsi anavyoona na pia ni kupunguza manyanyaso ya jobless...mtaani jobless hasaminiki aisee hata kweny vikao vya familia pamoja ka kaelimu kako uthaminiki ka ni jobless[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye kikao jobless unaagizwa maji kila dakika ,unabaki kujiuliza Hawa leo wamekuwa ngamia au😂
 
Acha kujipa moyo binti kiziwi, ujue kuna taasisi zinazalisha pesa tena bila kutumia mtaji mfano kama TPA, EWURA, TBS n.k kwanini zisiwamwagie mishahara minono watu wake.
TBS njaa kali, mtu kutoka halmashauri kama supporting staff ndiye anyeona pengine mshahara ni mkubwa, lakini hali siyo nzuri
 
-pambana uingie kwenye Mashirika Kama TRA, japo TRA hawaajiri vilaza kama huko kwenye majeshi
Inafikirisha kwamba kuna taasisi ili uingie na ukunje 2.3M inakubidi hadi uwe genius na upambane hasa

Na hapo hapo kuna taasisi ili uingie na ukunje hiyo hiyo 2.3M huhitaji kuwa genius we ukiwa kilaza poa tu

By the way hii TRA unayohisi siyo vilaza ni hawa hawa ma TMO na CO tulioko nao au kuna wengine mkuu
 
Back
Top Bottom