Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Ila kuna watu wana pesa kuna jamaa ananiambia posho zake za Safari kwa Mwezi wa kwanza ni 1,900,000/-, salary 1,500,000/-,
Huyo ni muongo chukua hiyo hela ya safari 1,900,000/- gawa kwa siku uone kama utapata hiyo perdiem ya 170,000/- labda kama kuna kulipwa kwa siku na nusu
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Kwenye kupiga deal inaongoza ipi? Hakika itaanza 15. Maana si kwa mateso haya
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
LATRA anakosekanaje hapa kwa mfano?? Probably kwenye Tano (5) Bora hawezi miss out. Yaani ni [emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom