Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Hiyo ni ya senior ya wizarani.Posho yake ni 170,000/-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni ya senior ya wizarani.Posho yake ni 170,000/-
Officer au engineer wizarani ni 150,000/- per nightPosho yake ni 170,000/-
Huyo ni muongo chukua hiyo hela ya safari 1,900,000/- gawa kwa siku uone kama utapata hiyo perdiem ya 170,000/- labda kama kuna kulipwa kwa siku na nusuIla kuna watu wana pesa kuna jamaa ananiambia posho zake za Safari kwa Mwezi wa kwanza ni 1,900,000/-, salary 1,500,000/-,
Huyo sio level II ni amepanda darajaOfficer au engineer wizarani ni 150,000/- per night
Ukichukua 170,000 X 10= 1,700,000/- ongeza na on transit kwa long journey sHuyo ni muongo chukua hiyo hela ya safari 1,900,000/- gawa kwa siku uone kama utapata hiyo perdiem ya 170,000/- labda kama kuna kulipwa kwa siku na nusu
Kwenye kupiga deal inaongoza ipi? Hakika itaanza 15. Maana si kwa mateso hayaWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Jamani kuna shirika la ovyo na lenye njaa kama TRC hapa bongo..? Yani nashauri mtu asijejichanganya kwenye hili shirika kabisa..!
kwa nn unasema hvyo kwan salary na posho zikojeJamani kuna shirika la ovyo na lenye njaa kama TRC hapa bongo..? Yani nashauri mtu asijejichanganya kwenye hili shirika kabisa..!
LATRA anakosekanaje hapa kwa mfano?? Probably kwenye Tano (5) Bora hawezi miss out. Yaani ni [emoji91][emoji91]Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
KwannJamani kuna shirika la ovyo na lenye njaa kama TRC hapa bongo..? Yani nashauri mtu asijejichanganya kwenye hili shirika kabisa..!
TRC vumbi tuJamani kuna shirika la ovyo na lenye njaa kama TRC hapa bongo..? Yani nashauri mtu asijejichanganya kwenye hili shirika kabisa..!
Miradi yote mikubwa wanayofanya alaf iwe njaa?TRC vumbi tu
LATRA anakosekanaje hapa kwa mfano?? Probably kwenye Tano (5) Bora hawezi miss out. Yaani ni [emoji91][emoji91]
Fanya mpango tutoke halmashauriIla kuna watu wana pesa kuna jamaa ananiambia posho zake za Safari kwa Mwezi wa kwanza ni 1,900,000/-, salary 1,500,000/-,
Stamico ndo shirika gani11. NGORONGORO
12. TANAPA(Pamoja na nduguze wanaodili na maliasili)
13. STAMICO je....?
14. TANESCO (wazee wa kutulaza gizani kama mende)
15. TAA je...?
16.
Tusaidiane kwenye Hilo.Fanya mpango tutoke halmashauri
huyo akija halmashauri ataacha kaziIla kuna watu wana pesa kuna jamaa ananiambia posho zake za Safari kwa Mwezi wa kwanza ni 1,900,000/-, salary 1,500,000/-,
hahaaa pole chiefJamani kuna shirika la ovyo na lenye njaa kama TRC hapa bongo..? Yani nashauri mtu asijejichanganya kwenye hili shirika kabisa..!