Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

TBA wako vzuri ni Agency wanatumia scale za Agency kama tanroads, tarura, ruwasa.

Sijajua kuhusu posho tu.

Unajiskiaje kuzungumza uongo mkuu? Kwanini mtu usifanye utafiti kidogo kabla hujamislead watu. ? Please do better
Screenshot (167).png
 
Uongo mwingi.

Kuna mihemko mingi sana humu na watu wanatoa taarifa zisizo na uhalisia. Mfano mwingine anakomaa kabisa anasema pale per diem ni laki nane kila mwezi, unabaki hadi unajiuliza huyu mtu ameajiriwa kweli na wapi huko alipoajiriwa wanalipana subsistence allowance kwa stye hiyo? Tuendelee kuwaelemisha watu humu waache mihemko.
 
Kuna mihemko mingi sana humu na watu wanatoa taarifa zisizo na uhalisia. Mfano mwingine anakomaa kabisa anasema pale per diem ni laki nane kila mwezi, unabaki hadi unajiuliza huyu mtu ameajiriwa kweli na wapi huko alipoajiriwa wanalipana subsistence allowance kwa stye hiyo? Tuendelee kuwaelemisha watu humu waache mihemko.
Hakuna aliyesema kwamba kuna perdiem ya laki 8 bali kuna extra duty ya laki nane.

Juwa kutofautisha posho ya safari (perdiem) na extra duty.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Vipi kuhusu TFS malipo yake yapoje?
 
tatizo nikupata ajira huko, wengi wameangukia halmashauri za buhigwe
Halmashauri zinahitaji idadi kubwa ya watumishi kutokana na mazingira yake kuna watumishi hadi kwenye kata. Hizo taasisi zipo kitaifa zaidi na hazihitaji watumishi wengi. Hao wachache waliokuwepo ndio wanaosafiri kwenda kuhudumia mikoani
 
tatizo nikupata ajira huko, wengi wameangukia halmashauri za buhigwe
Halmashauri zinahitaji idadi kubwa ya watumishi kutokana na mazingira yake kuna watumishi hadi kwenye kata. Hizo taasisi zipo kitaifa zaidi na hazihitaji watumishi wengi. Hao wachache waliokuwepo ndio wanaosafiri kwenda kuhudumia mikoani
 
kuna taasis na wizara kibao watu wanapiga pesa na zingine zinatumia TGS hazivumi ila wana walioko huko maisha yao sio mchezo

Wizara ya ardhi ,Hazina, bodi ya nyama, bodi ya korosho, road fund, Tume ya pamoja ya fedha, TFRA,NFRA, DCEA, IMMIGRATION, TAWA ,NFRA ,WMA nk
Bora leo umeongelea weight and measure agency

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
kuna taasis na wizara kibao watu wanapiga pesa na zingine zinatumia TGS hazivumi ila wana walioko huko maisha yao sio mchezo

Wizara ya ardhi ,Hazina, bodi ya nyama, bodi ya korosho, road fund, Tume ya pamoja ya fedha, TFRA,NFRA, DCEA, IMMIGRATION, TAWA ,NFRA ,WMA nk
ivi Uhamiaji Kuna hela gani uko mnakopasifia, Hawa si wapo wizara ya mambo ya ndani mishahara si sawa tu na polisi, magereza,zimamoto, uhamiaji labda useme madili tu ila sdhani kama Kuna maisha kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom