Skywalker00
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 329
- 1,017
watu humu mnadanganya sana, TBA wanatumie TGS E, na kwa maslahi ni pa kawaida mno
na hii na kwa kada za ujenzi, IT, accountants wenye CPA, wanasheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu humu mnadanganya sana, TBA wanatumie TGS E, na kwa maslahi ni pa kawaida mno
TBA wako vzuri ni Agency wanatumia scale za Agency kama tanroads, tarura, ruwasa.
Sijajua kuhusu posho tu.
Uongo mwingi.
Hiyo ilikuwa zamani hata tarura walikuwa wakitumia TGS E nenda kaulizie mshahara wa wahandisi wa TARURA sasa hv.Unajiskiaje kuzungumza uongo mkuu? Kwanini mtu usifanye utafiti kidogo kabla hujamislead watu. ? Please do better
View attachment 2911039
Hakuna aliyesema kwamba kuna perdiem ya laki 8 bali kuna extra duty ya laki nane.Kuna mihemko mingi sana humu na watu wanatoa taarifa zisizo na uhalisia. Mfano mwingine anakomaa kabisa anasema pale per diem ni laki nane kila mwezi, unabaki hadi unajiuliza huyu mtu ameajiriwa kweli na wapi huko alipoajiriwa wanalipana subsistence allowance kwa stye hiyo? Tuendelee kuwaelemisha watu humu waache mihemko.
Vipi kuhusu TFS malipo yake yapoje?Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Ongezea bodi ya Tumbakukuna taasis na wizara kibao watu wanapiga pesa na zingine zinatumia TGS hazivumi ila wana walioko huko maisha yao sio mchezo
Wizara ya ardhi ,Hazina, bodi ya nyama, bodi ya korosho, road fund, Tume ya pamoja ya fedha, TFRA,NFRA, DCEA, IMMIGRATION, TAWA ,NFRA ,WMA nk
Extra duty ndio huku halmashauri tunaita Over time OT. Haitakiwa kuzidi basic salaryHakuna aliyesema kwamba kuna perdiem ya laki 8 bali kuna extra duty ya laki nane.
Juwa kutofautisha posho ya safari (perdiem) na extra duty.
tatizo nikupata ajira huko, wengi wameangukia halmashauri za buhigweOngezea bodi ya Tumbaku
Halmashauri zinahitaji idadi kubwa ya watumishi kutokana na mazingira yake kuna watumishi hadi kwenye kata. Hizo taasisi zipo kitaifa zaidi na hazihitaji watumishi wengi. Hao wachache waliokuwepo ndio wanaosafiri kwenda kuhudumia mikoanitatizo nikupata ajira huko, wengi wameangukia halmashauri za buhigwe
Halmashauri zinahitaji idadi kubwa ya watumishi kutokana na mazingira yake kuna watumishi hadi kwenye kata. Hizo taasisi zipo kitaifa zaidi na hazihitaji watumishi wengi. Hao wachache waliokuwepo ndio wanaosafiri kwenda kuhudumia mikoanitatizo nikupata ajira huko, wengi wameangukia halmashauri za buhigwe
Njaa tu, Hakuna lavmaana zaidi ya sifaWadau mimi nataka kukimbilia vyuo vikuu. Vipi huko hali ya maokoto ikoje kwa wahadhiri na technical staff?
Kuna Extra duty huko?
Bora leo umeongelea weight and measure agencykuna taasis na wizara kibao watu wanapiga pesa na zingine zinatumia TGS hazivumi ila wana walioko huko maisha yao sio mchezo
Wizara ya ardhi ,Hazina, bodi ya nyama, bodi ya korosho, road fund, Tume ya pamoja ya fedha, TFRA,NFRA, DCEA, IMMIGRATION, TAWA ,NFRA ,WMA nk
ivi Uhamiaji Kuna hela gani uko mnakopasifia, Hawa si wapo wizara ya mambo ya ndani mishahara si sawa tu na polisi, magereza,zimamoto, uhamiaji labda useme madili tu ila sdhani kama Kuna maisha kiasi hicho.kuna taasis na wizara kibao watu wanapiga pesa na zingine zinatumia TGS hazivumi ila wana walioko huko maisha yao sio mchezo
Wizara ya ardhi ,Hazina, bodi ya nyama, bodi ya korosho, road fund, Tume ya pamoja ya fedha, TFRA,NFRA, DCEA, IMMIGRATION, TAWA ,NFRA ,WMA nk
JWTZ funga kazi kwa maslahi huko mambo ya ndani kawaida sana.Vp huko kwenye sekta ya ulinzi (Majeshi).. mfano JWTZ.. Polisi, uhamihaji ipi yenye maokoto mazuri?