Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Ni kweli nina mshikaji wangu amepata hizi ajira mpya si haba mzee.
Anamiezi 3.

Ila safafi ya kwanza ilikuwa ya wiki 3.
Safari ya pili wiki 2
Safari ya 3 wiki 2
Unaweza ona jinsi gani kulivyo na safari.
Upo zako unapata chai kwenye cafe ya jirani na ofisi.

Ghafla anakuja mzee wa makamu mwenye asili ya ki Asia anakuambia kua ukimsaidia kwenye ukadiriaji wa kodi atakupa Milioni 20 kama bakshishi[emoji23].
 
Upo zako unapata chai kwenye cafe ya jirani na ofisi.

Ghafla anakuja mzee wa makamu mwenye asili ya ki Asia anakuambia kua ukimsaidia kwenye ukadiriaji wa kodi atakupa Milioni 20 kama bakshishi[emoji23].
Hivi ni rahisi hivyo kumbe?
 
Nasubiri mtu aje atoe data za uongo za mjengoni nimuumbue maana watu waongo sana humu
 
Wamefanyaje Chief?
.
20240324_103802.jpg
 
Kama ni Mimi naangalia terms za Mkataba wa hapo DPW.. shida ni kwamba hakuna guarantee ya wao kumaliza 30yrs... SIASA za TZ ni shida sana anaweza kuja KIONGOZI MWINGINE akawatimua DPW. au DPW wasifike zile target wakaondolewa kisheria.. sasa hao wafanyakaz watakuwa hawana pa kwenda.. muda huo Bandar inarud kwa TPA.
 
Back
Top Bottom