Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

Timu 24 ndizo zinatakiwa kuchukuliwa kwenye hayo mashindano, mpaka kufika sasa, timu 20 bora za CAF rankings zinafahamika, hata kama ukiongeza nne zilizobaki kutoka kwenye hiyo ranking, utopolo hampo, wacha uongo wako.

Labda muingizwe kwa vigezo vingine kama idadi ya mashabiki, uwekezaji, n.k. Lakini napo ikitokea timu nyingine za Afrika ambazo hazipo kwenye hiyo 24 bora zikawa na sifa hapo juu zaidi yenu, utopolo mtakuwa mmeliwa.
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
 

Mbona Sisi Yanga hatupo, TFF ituonee hata CAF nao watuonee? This is not fair !!!! Twendeni FIFA kushitaki huu ujinga lazima ufike mwisho
 
 
Aibu yako hii
 
Uto mtateseka sana, na Msomali kapiga biti mambo yenu ya kishamba kujazana airport kupokea timu pinzani.!
 
Kwa mujibu wa mickjnr na sio caf
 
kanda 3 kila kanda inatoa timu 8 tu
 
Sasa ilo kimba hapo kwenye nane linajaza nzi tu halihitajiki
 
 
Ufafanuzi


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
"BINGWA CAF SUPER LEAGUE KUVUNA DOLA MILION 100 "

Rais wa CAF Patrice Motsepe amezindua michuano ya Super league na kusema kuwa mashindano hayo yatasaidia kuongeza fedha kwa vilabu vya Afrika ambapo bingwa wa mashindano hayo ataondoka na kiasi ha dola milioni 100 (Tsh Bilioni 233+).

Timu zote 24 zitakazoshiriki CAF Super League zitapokea dola milioni 3.5 (Tsh. Bilioni 8.1) kwaajili ya kusajili wachezaji, kulipia usafiri, malazi.

Here are the 24 clubs that will participate in the 1st edition of the CAF Super League[emoji471]:

1 Al Ahly [emoji1093]
2 Zamalek[emoji1093]
3 Pyramid [emoji1093]
4 Al Masry[emoji1093]
5 Wydad AC [emoji1173]
6 Raja Athletic [emoji1173]
7 RS Berkane [emoji1173]
8 Esperance [emoji1249]
9 Etoil Sportive Du Suhel [emoji1249]
10 Orlando Pirates [emoji1221]
11 Kaizer Chiefs [emoji1221]
12 Mamelodi Sundowns [emoji1221]
13 JS Kabyile[emoji1026]
14 CR Belouzidad [emoji1026]
15 E.S Setif [emoji1026]
16 TP Mazembe [emoji1078]
17 Horoya AC [emoji1119]
18 SC Enyimba[emoji1184]
19 Petro de Luanda [emoji1029]
20 Simba SC [emoji1241]
21 Asante Kotoko[emoji1110]
22 Al Hilal [emoji1232]
23 Asec Mimosas[emoji1081]
24 Coton Sport[emoji1062]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…