Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

Timu 24 ndizo zinatakiwa kuchukuliwa kwenye hayo mashindano, mpaka kufika sasa, timu 20 bora za CAF rankings zinafahamika, hata kama ukiongeza nne zilizobaki kutoka kwenye hiyo ranking, utopolo hampo, wacha uongo wako.

Labda muingizwe kwa vigezo vingine kama idadi ya mashabiki, uwekezaji, n.k. Lakini napo ikitokea timu nyingine za Afrika ambazo hazipo kwenye hiyo 24 bora zikawa na sifa hapo juu zaidi yenu, utopolo mtakuwa mmeliwa.
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport

Mbona Sisi Yanga hatupo, TFF ituonee hata CAF nao watuonee? This is not fair !!!! Twendeni FIFA kushitaki huu ujinga lazima ufike mwisho
 
[emoji599]SUPER CUP 2023.

Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup [emoji471] mwakani.Yanga itaungana na timu za.

[emoji843]Al ahly (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Zamelek (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Mamelodi sundown (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Orlando pirates (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Wydad Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Raja Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Rs berkane (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Yanga sc (Tanzania)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Simba sc (Tanzania)[emoji1666]
[emoji843]Tp mazembe ( Dr Congo)[emoji2422][emoji471]

NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup [emoji471] [emoji1787]Sasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania [emoji1241].

[emoji599]Halafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua [emoji471][emoji2422][emoji2422]zao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy[emoji1787]
JamiiForums239675587.jpg
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Aibu yako hii
 
Uto mtateseka sana, na Msomali kapiga biti mambo yenu ya kishamba kujazana airport kupokea timu pinzani.!
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Kwa mujibu wa mickjnr na sio caf
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
kanda 3 kila kanda inatoa timu 8 tu
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Sasa ilo kimba hapo kwenye nane linajaza nzi tu halihitajiki
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
JamiiForums239675587.jpg
 
Ufafanuzi


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
"BINGWA CAF SUPER LEAGUE KUVUNA DOLA MILION 100 "

Rais wa CAF Patrice Motsepe amezindua michuano ya Super league na kusema kuwa mashindano hayo yatasaidia kuongeza fedha kwa vilabu vya Afrika ambapo bingwa wa mashindano hayo ataondoka na kiasi ha dola milioni 100 (Tsh Bilioni 233+).

Timu zote 24 zitakazoshiriki CAF Super League zitapokea dola milioni 3.5 (Tsh. Bilioni 8.1) kwaajili ya kusajili wachezaji, kulipia usafiri, malazi.

Here are the 24 clubs that will participate in the 1st edition of the CAF Super League[emoji471]:

1 Al Ahly [emoji1093]
2 Zamalek[emoji1093]
3 Pyramid [emoji1093]
4 Al Masry[emoji1093]
5 Wydad AC [emoji1173]
6 Raja Athletic [emoji1173]
7 RS Berkane [emoji1173]
8 Esperance [emoji1249]
9 Etoil Sportive Du Suhel [emoji1249]
10 Orlando Pirates [emoji1221]
11 Kaizer Chiefs [emoji1221]
12 Mamelodi Sundowns [emoji1221]
13 JS Kabyile[emoji1026]
14 CR Belouzidad [emoji1026]
15 E.S Setif [emoji1026]
16 TP Mazembe [emoji1078]
17 Horoya AC [emoji1119]
18 SC Enyimba[emoji1184]
19 Petro de Luanda [emoji1029]
20 Simba SC [emoji1241]
21 Asante Kotoko[emoji1110]
22 Al Hilal [emoji1232]
23 Asec Mimosas[emoji1081]
24 Coton Sport[emoji1062]
 
Back
Top Bottom