Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Nikiikumbuka hilo sanduku la barua nilikuwa natumia kumwandikia barua mpenzi wangu aliyekuwa anasoma cagliero daaaKitu hicho!hv mwl Kasalile alitokea Tosa?View attachment 1510834
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiikumbuka hilo sanduku la barua nilikuwa natumia kumwandikia barua mpenzi wangu aliyekuwa anasoma cagliero daaaKitu hicho!hv mwl Kasalile alitokea Tosa?View attachment 1510834
Hatari sana alikuwa anaendesha dreva mmoja anaitwa mhuzaKitu hii hapa tayari kwa safari ZooView attachment 1510837
Noma sana!!Ofisi ya mkuu wa wilaya
Yani kwa tz nzima ofisi ya dc wa songea ndio pobox 1 ?
Enzi zetu tuliita MustiniHatari sana alikuwa anaendesha dreva mmoja anaitwa mhuza
[emoji12]Weka tukuroge!
Duu mwaka gani mkuu? Kajumulo,Lutanjuka au Kalema?Direct injection, ISUZU, Nyakato secondary po box 6 Bukoba, Ziwa Magharibi, kanda ya ziwa, Tanzania. Namalaaaaa!!!
Duu umenikumbusha mbali. Na kale ka kanisa Kama pyramid maeneo joblessNyamshongoma
Kajala DerevaNyamshongoma
90-93Ulikuwa pale lin mzee?
Kajumlo Baba Mkuu, Shule yangu ile ilinitoa tongotongo kwa sana sijui bado ipo? ilikuwa ni zaidi ya jeshi!!!! tena Kajumlo nilimuona siku moja Mbezi Beach pale Africana na mke wake yuleyule! akafurahi sana, ikabidi nimtoe, ila alinishau nikamkumbusha tulivomfanyia mgomo wa kufa mtu mpaka akaleta FFUDuu mwaka gani mkuu? Kajumulo,Lutanjuka au Kalema?
Mi kanikumbusha Umbwe secondary , Ila nyie majamaa tulikuwaga tunawazingua sana........ Vipi ulikuwa unaendaga Kombo siku ya Jumamosi...???Umenikumbusha Lyamungo
Wa mwaka gani huyo? Mi namkumbuka Ifunya wa GeographyUnamkumbuka mwl marenge?
Hahaha tumo wengi humuKajumlo Baba Mkuu, Shule yangu ile ilinitoa tongotongo kwa sana sijui bado ipo? ilikuwa ni zaidi ya jeshi!!!! tena Kajumlo nilimuona siku moja Mbezi Beach pale Africana na mke wake yuleyule! akafurahi sana, ikabidi nimtoe, ila alinishau nikamkumbusha tulivomfanyia mgomo wa kufa mtu mpaka akaleta FFU
But nasikia ni Admin pale Kariuki Hosp. Mikocheni kampe high! mkuu wewe ndo wa kwanza kutoka huko nakuona humu!
Ulisoma lyamungo?Wa mwaka gani huyo? Mi namkumbuka Ifunya wa Geography
Hapana ulivyomtaja Kajumulo mi nikadhan na wewe ni wa Nyakato maana alikuwa headmaster pale miaka ya 80 mwishoniUlisoma lyamungo?