Hizi ndio zilikuwa enzi

Hizi ndio zilikuwa enzi

Yani kwa tz nzima ofisi ya dc wa songea ndio pobox 1 ?

Hapana, hilo ni sanduku la posta lililopo katika ofisi za Posta Songea, maana yake ukienda Njombe napo masanduku yao yanaanza na namba 1 na kuendelea
 
Duu mwaka gani mkuu? Kajumulo,Lutanjuka au Kalema?
Kajumlo Baba Mkuu, Shule yangu ile ilinitoa tongotongo kwa sana sijui bado ipo? ilikuwa ni zaidi ya jeshi!!!! tena Kajumlo nilimuona siku moja Mbezi Beach pale Africana na mke wake yuleyule! akafurahi sana, ikabidi nimtoe, ila alinishau nikamkumbusha tulivomfanyia mgomo wa kufa mtu mpaka akaleta FFU

But nasikia ni Admin pale Kariuki Hosp. Mikocheni kampe high! mkuu wewe ndo wa kwanza kutoka huko nakuona humu!
 
Kajumlo Baba Mkuu, Shule yangu ile ilinitoa tongotongo kwa sana sijui bado ipo? ilikuwa ni zaidi ya jeshi!!!! tena Kajumlo nilimuona siku moja Mbezi Beach pale Africana na mke wake yuleyule! akafurahi sana, ikabidi nimtoe, ila alinishau nikamkumbusha tulivomfanyia mgomo wa kufa mtu mpaka akaleta FFU

But nasikia ni Admin pale Kariuki Hosp. Mikocheni kampe high! mkuu wewe ndo wa kwanza kutoka huko nakuona humu!
Hahaha tumo wengi humu
 
Back
Top Bottom