03asamu
Member
- Mar 24, 2020
- 41
- 41
AhaaHapana ulivyomtaja Kajumulo mi nikadhan na wewe ni wa Nyakato maana alikuwa headmaster pale miaka ya 80 mwishoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhaaHapana ulivyomtaja Kajumulo mi nikadhan na wewe ni wa Nyakato maana alikuwa headmaster pale miaka ya 80 mwishoni
Niliishi Hapo Milambo A '' karibu na ofisi ya Kilimo! Mkuu baada ya mgomo nikahamia Kaitaba, chini ya usimamizi wa Mrs Kashagate huyu nadhani atakuwa mzee sasa! .. teachers team! Seguasegua, Hoza, Kafaransa, who can tell, daa! Fundalmental quantity bado bado kijana, nilimuona JNIA-one day anakwea pipa ughaibuni, but alipofika Kigali akabadilisha. Avogadro?Hahaha tumo wengi humu
Katara hiyooo! Nani mwenye picha ya kile Kibenga?
... wale madereva wa enzi zile wote walikuwa kwa kazi maalumu zaidi ya udereva. Halafu walikuwa na power balaa; baada ya head teacher, walikuwa next kwa mamlaka shuleni.Hatari sana alikuwa anaendesha dreva mmoja anaitwa mhuza
Tuliosoma NJOSS tuonane basi.
Dah! Hatari sana, Nyakato moja hii.Niliishi Hapo Milambo A '' karibu na ofisi ya Kilimo! Mkuu baada ya mgomo nikahamia Kaitaba, chini ya usimamizi wa Mrs Kashagate huyu nadhani atakuwa mzee sasa! .. teachers team! Seguasegua, Hoza, Kafaransa, who can tell, daa! Fundalmental quantity bado bado kijana, nilimuona JNIA-one day anakwea pipa ughaibuni, but alipofika Kigali akabadilisha. Avogadro?
Nyamshongoma river kama kawa! kula vibaragara kwa sana ndo zilikuwa zetu, sijawahi kuviona huku mtaani, isipo kuwa sehemu moja tu Mjini Western Maseru, mitaa ya Khubsoana, Ofisi yangu kuu ilikuwa Store yuko wapi kiranja wangu wa Bwalo, Turuhaga babishekirao! Mnyambisi?
Ila wellcome Form one Disco theque chini ya One way Disco sound, ilinitoa ushamba sana! Mkuu sikujua hata kucheza! aaah! yaani zero distance niliiogopa!