Hizi ndiyo sababu kuu maalumu zinazonifanya niamini Simba Sc haitachukua ubingwa wa NBCPL 2024/2025

Hizi ndiyo sababu kuu maalumu zinazonifanya niamini Simba Sc haitachukua ubingwa wa NBCPL 2024/2025

Kwakuwa maduka yenu yote yamefuruhushwa ndani ya simba na viongozi wasaliti waliokuwa wanatumiwa na jiesiem kupitisha rupia kwenda kwa baadhi ya wachezaji ili kutufungisha tumeshawabaini safari hii Kazi mnayo.

Safari hii tuna imani kila tundu liliopo kwenye mwili wa amfibia litatoa kila aina ya milio kama vile pwiii! fwiii ! uwiii ! n.k.
Mkuu una uhakika na hayo unayoyasema
 
Kwa hiyo unataka kusema hakutakuwepo tena na visingizio iwapo ubingwa utakosekana kwa mara ya 4 mfululizo! Maduka yote si yamefurushwa?
Mkuu , nakuhakikishia mwaka huu kila tundu la amfibia litatoa milio ya pwiii na fwiii! Tunza hii listi
 
(1) HAKUNA MABADILIKO YA UONGOZI, nilipoona Try again amejiudhuru na Mo dewji kuja kumtambulisha tena kuwa mjumbe hii ilinifanya nione kabisa hakuna serious yoyote bali wajomba wanapumnzishana tu ili kulinda masilahi yao binafs katika timu, kwani ikumbukwe Mo dewji alimuachia kiti try again na sasa amaerudi tena, kwa mwenendo huo wanasimba wasitegemee makombe kama uongozi uliopita na uliopo umeshindwa kabisa kuwapa hata kombe la kufutia machozi, uongozi bora unachangia pakubwa sana katika maendeleo ya timu.

(2)SAKATA LA USAJILI WA LAWI NA CHAMA, boss aliporudi Simba aliwaambia wanasimba kuwa" amerudi na nguvu mpya na kasi" pia kwa hiyo wanasimba wanapaswa kuandaa furaha tu lakini usajili wa mchezaji lawi kutoka coastal union umekuja kutia doa na kuonekana Simba sc ni janja janja tu haina hele na bosi kaja na maneno badala ya kutoa kibunda na ndiyo hivyo kwa Chama , walisema kuwa wanaachana na chama wakati hawajapata mbadala baada ya kusikia chama anakwenda upande wa pili wameenda kumpigia magoti na kumuongezea dau , hii tafsiri yake ni kuwa "there is a lack of seriousness"

(3)BOSS KUFANYA PRESS KWENYE MITANDAO KAMA INSTAGRA, Simba sc ni timu kubwa yaani ni brand kubwa na ina mashabiki wa kutosha na hao mashabiki wanataka kumuona boss wao au tajiri wao wa timu akiongea nini kuhusu timu yao, wanataka kuona vyombo vya habari vikifanya mahojiano na boss wao na siyo boss kukaa geto kisha kuanza kutoa maneno yake tena ya kuchagua viongozi watakao unda bodi ya timu , kwa muonekano huu inaonesha kabisa Simba sc inachezewa na baadhi ya watu wachache wanaojiona simba ni ya kwao, kwa madharau kama haya kwa masahabiki tusitegemee kuona Simba sc ikichukua ubingwa wa Nbcpl 2024/2025.

(4)MGAWANYIKO WA VIONGOZI NDANI YA CLUB, za ndani kabisa kuna baadhi ya viongozi hawajapendezwa na mrejeo wa Mo dewji na kupanga swahiba wake Try again kuwa mjumbe, sasa kwa bomu kama hili tusitegemee kuona matunda ya timu aua timu kupata vikombe maana hakuna maelewano kwa viongozi hakuna vita mbaya kama ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nyumba moja ni rahisi sana kuvunja nyumba

(5)USAJILI WA WACHEZAJI PASIPO NA PENDEKEZO LA KOCHA, Timu haina kocha mpaka sasa lakini inafanya usajili swali je ni nani anayesajili na kutoa mapendekezo kuwa mchezaji fulani asajiliwe?
hakuna cha skauti wala mgunda ni viongozi ndiyo wanasajili kwa kutumia uzoefu waliokuwa wanaufanya toka mwanzo lakini kwa sasa ukiwauliza watakuambia tunatumia skauti na kocha mgunda ukija nyuma ya pazia kuna ujanja mwingi sana unafanyika.
tukumbuke timu ilishawahi kwenda pre season bila ya kocha na baadhi ya wachezaji walikuja nyuma nyuma tena kwa kulazimishwa hata msimu wa 2024/25 hiki kitatokea na kwa muundo huu tusiegemee kuona Simba sc ikichukua kombe lolote ndani ya ligi.

TUKUTANE UWAJANI MSIMU WA NBCPL 2024/25
No.4 ndo kubwa kuliko.
 
Yanga wamejipanga nje ndani, Wana uhakika wa kuchukua Alama 30 Kwa timu Tano Home/Away, Bado marefa 😁 unazani simba tutatokea wapi?,

Kesho Usiku au ile wanamtambulisha Chama, washa sign pre contract. Kuna mtu mzito ndiye atamlipa salary Triple C,

Niishie hapa, Simba yangu tabu Iko palepale,
Simba hao watu wazito hawapo? Unadhani ni kwanini hawaji ?
 
Sio mipovu tatizo NALIA NGWENA kaacha nyuzi za kuishauri Uto Anakuja eti anaamini Mnyama hatochukua ubingwa ye NANI? Akafie mbele huko
😁
Mkuu umeongea kwa hisia sana pole sana mkuu
 
Kwakuwa maduka yenu yote yamefuruhushwa ndani ya simba na viongozi wasaliti waliokuwa wanatumiwa na jiesiem kupitisha rupia kwenda kwa baadhi ya wachezaji ili kutufungisha tumeshawabaini safari hii Kazi mnayo.

Safari hii tuna imani kila tundu liliopo kwenye mwili wa amfibia litatoa kila aina ya milio kama vile pwiii! fwiii ! uwiii ! n.k.
Ona sasa.
 
Simba hawawezi kuwa mabingwa mbele ya timu yenye uhakika wa points kwa timu zinazomsadishia njia kwenye ligi,timu inayohonga marefa. Yanga lazima watambe sana wataachaje wakati wanatembeza bahasha
 
Simba hawawezi kuwa mabingwa mbele ya timu yenye uhakika wa points kwa timu zinazomsadishia njia kwenye ligi,timu inayohonga marefa. Yanga lazima watambe sana wataachaje wakati wanatembeza bahasha
Una uhakika mkuu
 
(1) HAKUNA MABADILIKO YA UONGOZI, nilipoona Try again amejiudhuru na Mo dewji kuja kumtambulisha tena kuwa mjumbe hii ilinifanya nione kabisa hakuna serious yoyote bali wajomba wanapumnzishana tu ili kulinda masilahi yao binafs katika timu, kwani ikumbukwe Mo dewji alimuachia kiti try again na sasa amaerudi tena, kwa mwenendo huo wanasimba wasitegemee makombe kama uongozi uliopita na uliopo umeshindwa kabisa kuwapa hata kombe la kufutia machozi, uongozi bora unachangia pakubwa sana katika maendeleo ya timu.

(2)SAKATA LA USAJILI WA LAWI NA CHAMA, boss aliporudi Simba aliwaambia wanasimba kuwa" amerudi na nguvu mpya na kasi" pia kwa hiyo wanasimba wanapaswa kuandaa furaha tu lakini usajili wa mchezaji lawi kutoka coastal union umekuja kutia doa na kuonekana Simba sc ni janja janja tu haina hele na bosi kaja na maneno badala ya kutoa kibunda na ndiyo hivyo kwa Chama , walisema kuwa wanaachana na chama wakati hawajapata mbadala baada ya kusikia chama anakwenda upande wa pili wameenda kumpigia magoti na kumuongezea dau , hii tafsiri yake ni kuwa "there is a lack of seriousness"

(3)BOSS KUFANYA PRESS KWENYE MITANDAO KAMA INSTAGRA, Simba sc ni timu kubwa yaani ni brand kubwa na ina mashabiki wa kutosha na hao mashabiki wanataka kumuona boss wao au tajiri wao wa timu akiongea nini kuhusu timu yao, wanataka kuona vyombo vya habari vikifanya mahojiano na boss wao na siyo boss kukaa geto kisha kuanza kutoa maneno yake tena ya kuchagua viongozi watakao unda bodi ya timu , kwa muonekano huu inaonesha kabisa Simba sc inachezewa na baadhi ya watu wachache wanaojiona simba ni ya kwao, kwa madharau kama haya kwa masahabiki tusitegemee kuona Simba sc ikichukua ubingwa wa Nbcpl 2024/2025.

(4)MGAWANYIKO WA VIONGOZI NDANI YA CLUB, za ndani kabisa kuna baadhi ya viongozi hawajapendezwa na mrejeo wa Mo dewji na kupanga swahiba wake Try again kuwa mjumbe, sasa kwa bomu kama hili tusitegemee kuona matunda ya timu aua timu kupata vikombe maana hakuna maelewano kwa viongozi hakuna vita mbaya kama ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nyumba moja ni rahisi sana kuvunja nyumba

(5)USAJILI WA WACHEZAJI PASIPO NA PENDEKEZO LA KOCHA, Timu haina kocha mpaka sasa lakini inafanya usajili swali je ni nani anayesajili na kutoa mapendekezo kuwa mchezaji fulani asajiliwe?
hakuna cha skauti wala mgunda ni viongozi ndiyo wanasajili kwa kutumia uzoefu waliokuwa wanaufanya toka mwanzo lakini kwa sasa ukiwauliza watakuambia tunatumia skauti na kocha mgunda ukija nyuma ya pazia kuna ujanja mwingi sana unafanyika.
tukumbuke timu ilishawahi kwenda pre season bila ya kocha na baadhi ya wachezaji walikuja nyuma nyuma tena kwa kulazimishwa hata msimu wa 2024/25 hiki kitatokea na kwa muundo huu tusiegemee kuona Simba sc ikichukua kombe lolote ndani ya ligi.

TUKUTANE UWAJANI MSIMU WA NBCPL 2024/25
🤣🤣
 
Back
Top Bottom