Hizi ndiyo sababu kuu maalumu zinazowafanya mashabiki wa Simba SC kugomea kununua tiketi za mchezo wa Simba SC dhidi ya Asec

Zile 5 si mlisema hivyo hivyo leo kikiwapi mnavurugana hata hamjielewi. Wakifungwa nitaenjoy maana kuna vioja vitazuka
Endelea kusubiria meli airport, wakati una kimeo chako hapo kwa Waarabu.
 
Endelea kusubiria meli airport, wakati una kimeo chako hapo kwa Waarabu.
Hahahah sina ushabiki na timu yoyote hapa bongo zaidi nafurahia vibweka vinavyojitokeza kwenye hizi timu sio kila anaechangia kuhusu simba basi ni yanga au kila anaeiponda yanga ni simba usikariri. Akili kisoda
 
Simba wamefungwa mechi moja tuu wanataka kuvunja Team hawajui kuwa huo ni mpira una matokeo ya kikatili sana walifungwa Real Madrid tano wakiwa na wakina Cr 7 nyinyi mkiwa na Boko mnakula Tano mnataka kuandamana aisee...
 
Nafurahi sana kuona ndugu zetu wakiteseka
Hahahaha kutesa kwa zamu. Umesahau juzi tu hapo Mlikuwa mnachangishana kwenye vibakuli?! Mshukuruni GSM Tajiri wa vitendo sio kama huyu Mwamedi blaah blaaah kibao. Mara timu inamvunja moyo mara Timu inatengeneza deficit tu.Pathetic
 
Chanzo ni hiki kwenye Picha,hayo mengine ni magonjwa nyemelezi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…