Hizi ndizo changamoto kuu mbili mradi wa treni ya mwendokasi Dar ~ Moro

Hizi ndizo changamoto kuu mbili mradi wa treni ya mwendokasi Dar ~ Moro

1. Umeme wa uhakika muda wote treni iwapo kazini (????)

2. Reli zetu haziko secured huko maporini.Raia wengi huchezea ama kwa kunyofoa vyuma vya reli au kutakua au kugongo-gonga. Hasa wafugaji wakiwa na mbuzi zao huko porini reli inakokatiza.

Serikali ijipange kushughulikia mambo haya makubwa mawili. Otherwise treni inaweza safiri kwa hiyo speed then katikati ya pori unakuta wamasai wamenyofoa vyuma vya reli.Au hata mafuriko tu kama kule Godegode Kongwa.

Ambao mmesafiri nchi za Ulaya mtakuwa mmeona namna reli za wenzetu zinavyochekiwa mara kwa mara kwa sensors na pia zimekuwa protected ili zisiingiliwe na wavamizi.
Good observation,
1. Umeme upo.
2. Reli ya mwendokasi inapigwa uzio mwanzo mwisho, ila kuna vivuko vya watu na mifugo maeneo yote ya vijiji inamopita.

Changamoto zangu ni hizi.
  1. Ili reli ilete faida, ni iwapo itasafirisha mizigo na sio abiria, kwa hii phase route ya Dar-Moro bado haitakuwa na cargo ya kutosha kushibisha reli.
  2. Kwa vile tumekuwa na a meter gauge rail, its cheap, easy to run, no security risks lakini tumeshindwa kuiendesha, what are the chances kwa SGR, sophisticated, very expensive to run, and maintain, needs expertise, security risks?.
  3. Ili reli hii ishibe, inahitaji mzigo wa kufa mtu, sasa kwa pace yetu hii ya bandari yetu, kwa mzigo gani wa kupakiwa kwenye SGR ili izalishe faida?.
  4. Kwa maoni yangu at the moment SGR ya Dar-Moro-Dodoma itakuwa ni white elephant, hadi itakapokamilika SGR ya Isaka kuelekea Burudi, ile ya Mwanza ya Uganda, Kigoma kwa mizigo ya DRC na ya Tanga, kutoka bandari, kuvusha mizigo, ndio maana sisi tunapendekeza huyu jamaa aachwe tuu kwa miaka 20 ili akamalishe miradi mikubwa hii.
    Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...
    Paskali
 
Tatizo la Tazara ni ownership structure ndio inayosumbua ktk mgt.

Tatizo la TRL ni kuwa hakuna uzalendo
Nchi imejaa wanafiki na wasaliti, top down.
Wapo wachache wanaotaka tuwaamini kwa hoja ya nguvu kwamba wao wana uzalendo na ni wazalendo lakini kauli zao na matendo yao yanaweza kukufanya utapike.

Hawa wanaojiita wazalendo waende huko TRL na waliendeshe kizalendo.

Chama cha majipu kina "wazalendo" wengi na ndio wameifikisha hii inchi hapa ilipo.

Mayala oyeeee. Njaa oyeee, Uzalendo oyeeee.
 
Mataruma ni ya zege sio ya chuma kama haya yaliyopo reli pekee ndio ya chuma, kama ulishaiona reli yenyewe ndio uongee sababu wabongo muuza mandazi a naweza kukuchambulia mfumo wa upoozaji wa engine ya jet mpaka ukakaa chini too much know for rubbish.

Pia kutakua na uzio kwenye reli yote lakini pia reli yoyote baada ya kilometers kadhaa kuna rail attendants (rail police)

Kuhusu swala la nishati ya train, train itatumia diesel na umeme hivyo hilo sio tatizo lakini stiglaz gorge megawatts 2100 zinatengenezwa, kinyerezi II na III inaendelea huku expansion ya kinyerezi I ikitegemewa kufanikiwa malengo ya tanesco ni 2021 ni kuwa na megawatts zaidi ya 5000
 
Good observation,
1. Umeme upo.
2. Reli ya mwendokasi inapigwa uzio mwanzo mwisho, ila kuna vivuko vya watu na mifugo maeneo yote ya vijiji inamopita.

Changamoto zangu ni hizi.
  1. Ili reli ilete faida, ni iwapo itasafirisha mizigo na sio abiria, route ya Dar-Moro haina cargo ya kutosha kushibisha reli.
  2. Tumekuwa na a meter gauge rail, its cheap, easy to run, no security risks lakini tumeshindwa kuiendesha, what are the chances kwa SGR, sophisticated, very expensive to run, and maintain, needs expertise, security risks?.
  3. Ili reli hii ishibe, inahitaji mzigo wa kufa mtu, sasa kwa pace yetu hii ya bandari yetu, kwa msigo gani wa kupakiwa kwenye SGR ili izalishe faida?.
  4. Kwa maoni yangu SGR ya Dar-Moro-Dodoma ni white elephant, SGR ya faida ni ile itakayofika Isaka, Mwanza na Kigoma na Tanga, kutoka bandari, kuvusha mizigo.
Paskali

Yaani hili jamaa ni hamnazo kweli,
Unajua wazi huwezi fika kanda ya ziwa ulikohama kwenye watu zaidi 16Million bila kupita Moro na Dom sasa unaongea nini?

Unajua wazi target ni Rwanda, Burundi na east DRC what the hell unatoka povu la ufipa.
 
Serikali ina wazo zuri.

Serikali imeamua kuleta maendeleo hasa miundombinu ya usafiri.

Mradi wa treni ya mwendokasi Dar Moro ambayo itakuwa inasafiri kwa speed ya 160 km/hr ni idea nzuri sana.Tatizo la mradi huu ni :-

1. Umeme wa uhakika muda wote treni iwapo kazini (????)


2. Reli zetu haziko secured huko maporini.Raia wengi huchezea ama kwa kunyofoa vyuma vya reli au kutakua au kugongo-gonga. Hasa wafugaji wakiwa na mbuzi zao huko porini reli inakokatiza.


Serikali ijipange kushughulikia mambo haya makubwa mawili. Otherwise treni inaweza safiri kwa hiyo speed then katikati ya pori unakuta wamasai wamenyofoa vyuma vya reli.Au hata mafuriko tu kama kule Godegode Kongwa.


Ambao mmesafiri nchi za Ulaya mtakuwa mmeona namna reli za wenzetu zinavyochekiwa mara kwa mara kwa sensors na pia zimekuwa protected ili zisiingiliwe na wavamizi.
Kuhusu vandalism ya infrastructure ni kweli inabidi iangaliwe kwa makini. Ila, cha muhimu zaidi ni power availability, power quality- umeme ambao flow yake iko stable, na pia kama tutatumia umeme kusafirisha abiria toka Morogo kuja Dar gharama yake itakuwa affordable na wananchi wengi wa kawaida?
 
Good observation,
1. Umeme upo.
2. Reli ya mwendokasi inapigwa uzio mwanzo mwisho, ila kuna vivuko vya watu na mifugo maeneo yote ya vijiji inamopita.

Changamoto zangu ni hizi.
  1. Ili reli ilete faida, ni iwapo itasafirisha mizigo na sio abiria, route ya Dar-Moro haina cargo ya kutosha kushibisha reli.
  2. Tumekuwa na a meter gauge rail, its cheap, easy to run, no security risks lakini tumeshindwa kuiendesha, what are the chances kwa SGR, sophisticated, very expensive to run, and maintain, needs expertise, security risks?.
  3. Ili reli hii ishibe, inahitaji mzigo wa kufa mtu, sasa kwa pace yetu hii ya bandari yetu, kwa msigo gani wa kupakiwa kwenye SGR ili izalishe faida?.
  4. Kwa maoni yangu SGR ya Dar-Moro-Dodoma ni white elephant, SGR ya faida ni ile itakayofika Isaka, Mwanza na Kigoma na Tanga, kutoka bandari, kuvusha mizigo.
Paskali

1. Project kamili ni kutoka Dar mpaka Mwanza na Kigoma ila itaenda kwa phases (muwe mnawasikiliza wahusika wakati wa ghafla za itiaji saini Mbarawa amelifafanua sana hili mind you miezi michache phases nyingine utaona zikisainiwa wapo kwenye mazungumzo)

2. Meter gauge inaenda kilometers 60 kwa saa, nikuulize Scania, Volvo, Benz, zinatumia kilometers kiasi gani kwa saa? (time is money, this is business)

3. Inanitatiza sana uandishi wako wa Habari hauna taarifa ya ujenzi wa port extension unaendelea saivi hapo Dar, bandari ya Dar inapanuliwa saivi mara mbili ya awali na Rais alishaweka jiwe la msingi mkandarasi yupo kazini (msongamano pia unachangiwa na logistics mbovu za usafirishaji hivyo reli itajibu mind you bandari kavu inajengwa ruvu)

4. Refer to point number one
 
Kuhusu usalama wa reli kuna haja ya kuwa na sheria kali kwa ajili hiyo; aomething like Critical Infrastructute Protection Act. Ukikamatwa na hata nati ya miundombinu ya reli adhabu yake ni kifo. Bila hivyo tutakuwa hatutoboi.
Yaani jamaaa umeeleza jambo zuri ,sema umemalizia kifo tena.Hakuna adhabu nyingine hadi kifo.Mambo ya kifo muachie Mungu mkuu
 
Yote hayo yamekuwa considered in our feasibility study rest to be assured kwamba tuko vizuri.
 
Yaani hili jamaa ni hamnazo kweli,
Unajua wazi huwezi fika kanda ya ziwa ulikohama kwenye watu zaidi 16Million bila kupita Moro na Dom sasa unaongea nini?

Unajua wazi target ni Rwanda, Burundi na east DRC what the hell unatoka povu la ufipa.
Ndio maana nasema wapinzani wanatakiwa wachekiwe akili zao, Magufuli alishasema kwamba hii reli itafika Mwanza na Kigoma unakuta mtu anajenga kabisa hoja kwamba hii reli inaishia Dodoma, very stupid.
 
Good observation,
1. Umeme upo.
2. Reli ya mwendokasi inapigwa uzio mwanzo mwisho, ila kuna vivuko vya watu na mifugo maeneo yote ya vijiji inamopita.

Changamoto zangu ni hizi.
  1. Ili reli ilete faida, ni iwapo itasafirisha mizigo na sio abiria, route ya Dar-Moro haina cargo ya kutosha kushibisha reli.
  2. Tumekuwa na a meter gauge rail, its cheap, easy to run, no security risks lakini tumeshindwa kuiendesha, what are the chances kwa SGR, sophisticated, very expensive to run, and maintain, needs expertise, security risks?.
  3. Ili reli hii ishibe, inahitaji mzigo wa kufa mtu, sasa kwa pace yetu hii ya bandari yetu, kwa msigo gani wa kupakiwa kwenye SGR ili izalishe faida?.
  4. Kwa maoni yangu SGR ya Dar-Moro-Dodoma ni white elephant, SGR ya faida ni ile itakayofika Isaka, Mwanza na Kigoma na Tanga, kutoka bandari, kuvusha mizigo.
Paskali
Mkuu una observations nzuri sana. Mimi kuna linigine niongezee!

Tuseme SGR itabeba abiria. Hapo napo kuna majanga.

UDART imekuja kuongeza nauli ya daladala. Mimi naishi Mbezi. Nikipanda UDART, MBEZI - UBUNGO, nalipishwa Tshs 650.

Kama nikitumia daladala za kawaida kwa umbali huo, ningelipa 400 tu. Kuna hoja ya muda. Pale MBEZI, kuna foleni kubwa kabla hujapanda UDART, pia Kimara kuna usumbufu mwingi ambao unakulazimisha kutumia hadi dk 30 kituoni kabla ya kupanda UDART.

UDART inatupa picha kuwa nauli ya SGR haitakuwa 7000 kama ilivo Aboud, BM, Hood na wengineo. Usiseme kuhusu muda, waafrika hatuna haraka! Kwa mtanzania, haraka inahusika na Mazishi na Mitihani ya shule!

Lingine. Kwa kawaida Morogoro Rd ina vituo maarufu ambavyo vipo ktk Miji midogo mf. Ubena, Chalinze, Vigwaza, Kibaha Kongowe, Kwa Mfipa, Kwa Mathias, Picha ya Ndege na Maili Moja. Vituo hivi vipo mbali na inakopita SGR, abiria wanaoshuka njia hii, hawataprefer SGR! Watabaki ktk mabasi yao labda ije monopoly kama ile aliopewa UDART ktk Morogoro Rd.

Nimeona hayo Mkuu Paskali.
 
Watanzania leo ata yesu akija akaawambia mbingu ii hapa hawataamini,...
 
Watanzania leo ata yesu akija akaawambia mbingu ii hapa hawataamini,...
Pascol ni mtu anayeshangaza sana, tena anakaupuuuz fulani.

Hotuba gani iliyosema Reli inaishia Dom, hata wakati wanazindua ujenzi was phase II prof alisema itaenda Mwanza, Kigoma had I Rwanda na Burundi.

Project yenyewe inaitwa Dar'Isaka'Keza'Kigali'Msongati(DIKKM) lakini mtu anakomaa kumisslead bullshiit
 
Pascol ni mtu anayeshangaza sana, tena anakaupuuuz fulani.

Hotuba gani iliyosema Reli inaishia Dom, hata wakati wanazindua ujenzi was phase II prof alisema itaenda Mwanza, Kigoma had I Rwanda na Burundi.

Project yenyewe inaitwa Dar'Isaka'Keza'Kigali'Msongati(DIKKM) lakini mtu anakomaa kumisslead bullshiit
Siku zote mtu aliyeshindwa huwez shindana nae,
 
Tatizo la Tazara ni ownership structure ndio inayosumbua ktk mgt.

Tatizo la TRL ni kuwa hakuna uzalendo

Mmh..hapa pana hoja kubwa sana. Kwa kushirikiana tumeshindwa, ya kwetu wenyewe uzalendo hatuna; yawezekana sisi pia tulikuwa tatizo kwenye hiyo ya ushirikiano. Na ikija hiyo mpya tutafanyaje tofauti na tulichofanya/tunachofanya kwenye TRL?
 
Kuhusu usalama wa reli kuna haja ya kuwa na sheria kali kwa ajili hiyo; aomething like Critical Infrastructute Protection Act. Ukikamatwa na hata nati ya miundombinu ya reli adhabu yake ni kifo. Bila hivyo tutakuwa hatutoboi.

Rafiki kifo kweli?
 
Treni zitaletwa za kawaida kwanza kama Kenya walivyoleta, uko mbeleni ndio watafunga system ya umeme.
 
Good observation,
1. Umeme upo.
2. Reli ya mwendokasi inapigwa uzio mwanzo mwisho, ila kuna vivuko vya watu na mifugo maeneo yote ya vijiji inamopita.

Changamoto zangu ni hizi.
  1. Ili reli ilete faida, ni iwapo itasafirisha mizigo na sio abiria, route ya Dar-Moro haina cargo ya kutosha kushibisha reli.
  2. Tumekuwa na a meter gauge rail, its cheap, easy to run, no security risks lakini tumeshindwa kuiendesha, what are the chances kwa SGR, sophisticated, very expensive to run, and maintain, needs expertise, security risks?.
  3. Ili reli hii ishibe, inahitaji mzigo wa kufa mtu, sasa kwa pace yetu hii ya bandari yetu, kwa msigo gani wa kupakiwa kwenye SGR ili izalishe faida?.
  4. Kwa maoni yangu SGR ya Dar-Moro-Dodoma ni white elephant, SGR ya faida ni ile itakayofika Isaka, Mwanza na Kigoma na Tanga, kutoka bandari, kuvusha mizigo.
Paskali
1. Sasa Mkuu itafikaje Isaka bila kuanzia Dar-Moro? au ulitaka ijengwe kuanzia huko Isaka irudi Dar?

2. Tutapataje Ongezeko la Mizigo ktk bandari yetu bila kuwashawishi Nchi majirani kwa usafiri wa haraka na rahisi? Tochi,kodi,transport cost,delivering time na mizani ndo zinazofanya inchi jirani kutumia bandari ya Mombasa,hivi vikiondolewa kwa treni ya umeme inchi jirani wana haja gani ya kutumia bandari ya Mombasa?

3. Hii ni long time investment hatuhitaji kusubiri hadi mizigo iwe mingi ndo tuijenge?mizigo itaongezeka tu with time..hii ni km nyie mnaojenga nyumba ya vyumba vi 3 u v4 ilihali una mke na mtoto mmoja,ushawahi jiuliza why mnajenga ivo?

4. Tupo kwenye mashindano ya kiuchumi na inchi jirani...tukikaa tukasubiri na treni letu la TRL la siku 3 la 40km/h ndo linafika mwanza by the time Kenya na Uganda wanamaliza SGR zao hatutakua na mizigo ya kusafirisha kupeleka inchi jirani...nani atataka kutumia siku 3 while kuna cheap na fast tren ya one day ya kupitia Kenya-Uganda?

5. Lazima tuwe na wivu wa kimaendeleo...wenzetu wanafanya nasi shurti tufanye...sio jirani kanunua flat screen we upo tu na chogo lako eti hii hii inatutosha si picha inaonesha...

6. The money spent on the project inarudi kwa wananchi km mishahara na suppliers wa ndani na wa nje km kodi na manunuzi...hii ndo nafasi ya serikali ku spend pesa inazozibania ikarudi kwenye mzunguko
 
Back
Top Bottom