conductor
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 811
- 681
Najaribu kuvaa viatu, kama mimi leo ndo mwanafunz nimemaliza form six, hivyo inabidi kwanza nisome "carrier courses behaviour " bila msaada wa ushaur wa mtu, basi nisingeweza kupata UELEWA huo ili nichague cha kusomea, sabubu hii yangu inanipa Nguvu kuwatetea wanafunz wa leo kufanya chaguzi sahihi, Ila LAWAMA zangu zenye 8000TON zinakwenda kwa WANYE MAMLAKA , kwani hata palipo dhihirika kuwa hayo masomo hatuna shida na wasomi au wamejaa bado nako hakuna TIJA, hutuoni worthiness ya matokeo hayo ya kuzarisha wanafunzi wengi. Kama nchi au IDARA haina aibu kutafuta mtaalum mshaur kutoka nje, inaacha wa ndani, taaluma zinazosukuma mtaji kujileta kama michezo (BSC.physical education),inayoitajika 1:1 katika hospital,wizara za Michezo, ustawi wa jamii, wao waliokaa meza hizo wanachukulia kama BONANZA, sheria za kupata mkopo mpaka uwe KADA au Baba yako alipigana vita ya KAGERA, MTU mfumo A, unamfukuza,Mfumo B, unamrudisha wakati KODI NI zetu hapa hatuwezi kutoboa vizaz na vizaz, hata kama ni masomo ya science tunaodhan ni fursa sasa, MTU aliyesoma HIGH WAY ENGINEERING,au Rail engineering, wakati upi huyu MTU anaweza kupata potential za hapa nchini kama straberg,CCC,Sgr etc wanatumia nguvu kubwa kutokea nchini kwao wanamtuma MTU aliyesoma B.A, MARKETING, EDUCATION aje kutafuta miradi bongo ,na anatumwa na nchi yake inapata tender ya Boeing,bomberdia,au PW, afu hiyo hiyo elimu kwetu mfumo haupi NAFASI yake..hatuwez kufanikisha. Shida kubwa nayoioona leo wasomi wa sasa watapata bahati mbaya ya kuamin mfumo uliyo nje ya mtaala kuishi matakwa halis, mfano kila MTU anafahamu bila connection hupati mkopo wa kilimo, sanaa yako, kusoma nje,kushinda tender,kuolewa, hata kuanzisha kanisa. Wenye mamlaka wamekuwa wavivu kujiuliza kwanini MAKANISA ya kiroho wanapata wafuasi wengi kuliko kuhudhuria seminar ya bishara tena uliyo andaa hata chakula bure?. Kwanini unayemuita MZEMBE ndo huyo huyo anaamka saa kumi kuwahi abood afike KAWE kwa MWAMPOSA kabla ya ibada,kwani awahi Mkapa stadiums kuhudhuria neno, kwanini hakos Pesa ya kununua mafuta na maji ya UPAKO?, Hizi ni dalili za kushindwa kumkabir MTU mwenye Nguvu kutokana na kutokuwa wamoja kuhoj, nimebahatika kusoma zile kozi haba nchini lakin haimanish hamna malalamiko, kiasi kwamba sion tofauti na wale wa koz hizo juu, mchawi mbaya wa nchi yeyote ni yule aliyeua /atakaye ua Michezo mashuleni, vyuo binafsi, VETA /tech school na kukomalia walio wabovu kusimamia walio imara, siamin kabisa kigezo cha degree kina nguvu kuliko mtu mwenye form six na yuko site miaka kumi uone nan bora.(Nina ushahid huo) Tuna tatizo la kutranslate ELIMU na upupu wa registration boards zilizoshindwa kuinua nafasi ya msomi. Hivi kwanini VYUO HAWAGOMI SIKU HIZI, wakati sheria haizuii?. TUANZIE hapo.je Sera ya WASOMI Kwenda NJE kutafuta fursa imeboreshwa kiasi gani pale UAMIAJI?, BALOZ ZETU zina nafsi ipi iliyo imara kuona fursa kwa jiran.... Singinda,Ngara, nadhan hata huko Salasala kuna CHOKAA nyingi tu yakuchimbwa ikadhalisha viwanda hapa nchini (calcium silicate) Leo eti Tu import kutoka Germany aje kutulete yake, NONDO (MADINI ya Chuma) ipo eti NONDO ya nje ndo itumike miradi mikubwa, kwanin kwenye tender conditions tusiweke kama wanaona hatuna mtaalum wa kuzalisha nondo nzuri wamlete sisi tutaomuonyesha kiwanda na soft program na material aanze kuzalisha kabla ya kuanza kazi (site clearance period) .sio anakuja na kila kitu na pesa yetu ndo inanunua hivyo vitu ughaibuni. NI mmea gani Tanzania hatuna kias kwamba TENDER ya madawa kwa mwaka na faida wanayopata wakina KANJUBAI inaweza kuboresha BOTANIC PLANTATION na viwanda vyake ili tuwauzie watu wa nje. ? Assalam alyikhum