Hizi ndizo degree ambazo zimesambaa mtaani

Hizi ndizo degree ambazo zimesambaa mtaani

Najaribu kuvaa viatu, kama mimi leo ndo mwanafunz nimemaliza form six, hivyo inabidi kwanza nisome "carrier courses behaviour " bila msaada wa ushaur wa mtu, basi nisingeweza kupata UELEWA huo ili nichague cha kusomea, sabubu hii yangu inanipa Nguvu kuwatetea wanafunz wa leo kufanya chaguzi sahihi, Ila LAWAMA zangu zenye 8000TON zinakwenda kwa WANYE MAMLAKA , kwani hata palipo dhihirika kuwa hayo masomo hatuna shida na wasomi au wamejaa bado nako hakuna TIJA, hutuoni worthiness ya matokeo hayo ya kuzarisha wanafunzi wengi. Kama nchi au IDARA haina aibu kutafuta mtaalum mshaur kutoka nje, inaacha wa ndani, taaluma zinazosukuma mtaji kujileta kama michezo (BSC.physical education),inayoitajika 1:1 katika hospital,wizara za Michezo, ustawi wa jamii, wao waliokaa meza hizo wanachukulia kama BONANZA, sheria za kupata mkopo mpaka uwe KADA au Baba yako alipigana vita ya KAGERA, MTU mfumo A, unamfukuza,Mfumo B, unamrudisha wakati KODI NI zetu hapa hatuwezi kutoboa vizaz na vizaz, hata kama ni masomo ya science tunaodhan ni fursa sasa, MTU aliyesoma HIGH WAY ENGINEERING,au Rail engineering, wakati upi huyu MTU anaweza kupata potential za hapa nchini kama straberg,CCC,Sgr etc wanatumia nguvu kubwa kutokea nchini kwao wanamtuma MTU aliyesoma B.A, MARKETING, EDUCATION aje kutafuta miradi bongo ,na anatumwa na nchi yake inapata tender ya Boeing,bomberdia,au PW, afu hiyo hiyo elimu kwetu mfumo haupi NAFASI yake..hatuwez kufanikisha. Shida kubwa nayoioona leo wasomi wa sasa watapata bahati mbaya ya kuamin mfumo uliyo nje ya mtaala kuishi matakwa halis, mfano kila MTU anafahamu bila connection hupati mkopo wa kilimo, sanaa yako, kusoma nje,kushinda tender,kuolewa, hata kuanzisha kanisa. Wenye mamlaka wamekuwa wavivu kujiuliza kwanini MAKANISA ya kiroho wanapata wafuasi wengi kuliko kuhudhuria seminar ya bishara tena uliyo andaa hata chakula bure?. Kwanini unayemuita MZEMBE ndo huyo huyo anaamka saa kumi kuwahi abood afike KAWE kwa MWAMPOSA kabla ya ibada,kwani awahi Mkapa stadiums kuhudhuria neno, kwanini hakos Pesa ya kununua mafuta na maji ya UPAKO?, Hizi ni dalili za kushindwa kumkabir MTU mwenye Nguvu kutokana na kutokuwa wamoja kuhoj, nimebahatika kusoma zile kozi haba nchini lakin haimanish hamna malalamiko, kiasi kwamba sion tofauti na wale wa koz hizo juu, mchawi mbaya wa nchi yeyote ni yule aliyeua /atakaye ua Michezo mashuleni, vyuo binafsi, VETA /tech school na kukomalia walio wabovu kusimamia walio imara, siamin kabisa kigezo cha degree kina nguvu kuliko mtu mwenye form six na yuko site miaka kumi uone nan bora.(Nina ushahid huo) Tuna tatizo la kutranslate ELIMU na upupu wa registration boards zilizoshindwa kuinua nafasi ya msomi. Hivi kwanini VYUO HAWAGOMI SIKU HIZI, wakati sheria haizuii?. TUANZIE hapo.je Sera ya WASOMI Kwenda NJE kutafuta fursa imeboreshwa kiasi gani pale UAMIAJI?, BALOZ ZETU zina nafsi ipi iliyo imara kuona fursa kwa jiran.... Singinda,Ngara, nadhan hata huko Salasala kuna CHOKAA nyingi tu yakuchimbwa ikadhalisha viwanda hapa nchini (calcium silicate) Leo eti Tu import kutoka Germany aje kutulete yake, NONDO (MADINI ya Chuma) ipo eti NONDO ya nje ndo itumike miradi mikubwa, kwanin kwenye tender conditions tusiweke kama wanaona hatuna mtaalum wa kuzalisha nondo nzuri wamlete sisi tutaomuonyesha kiwanda na soft program na material aanze kuzalisha kabla ya kuanza kazi (site clearance period) .sio anakuja na kila kitu na pesa yetu ndo inanunua hivyo vitu ughaibuni. NI mmea gani Tanzania hatuna kias kwamba TENDER ya madawa kwa mwaka na faida wanayopata wakina KANJUBAI inaweza kuboresha BOTANIC PLANTATION na viwanda vyake ili tuwauzie watu wa nje. ? Assalam alyikhum
FB_IMG_1677758723940.jpg
FB_IMG_1677758711075.jpg
 
Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:

DEGREE ZENYEWE NI HIZI:

Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.

Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu

Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place

Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand

Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna

Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place

Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea wapi.
Orodhesha Shahada zinazoadimika mitaani, au zenye soko ili wazijue.
 
Duuuh yan ni changamoto mm binafsi nmehairisha kwenda chuo huu mwaka wa pil sasa kila nachoplan kusoma naambiwa naenda kupoteza time sitopata kazi na nmesoma science sasa ni kipi ambacho nikisoma napata kazi maana kila kitu kimekuwa pending nlichaguliwa udom kusomea bachelor of science in chemistry lakin ikaonekana haina ajira nchin
 
Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:

DEGREE ZENYEWE NI HIZI:

Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.

Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu

Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place

Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand

Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna

Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place

Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea wapi.
Tz uelewa madogo wa jamii, umasikini umetamalaki. Familia ngapi hazina wanasheria? Wanajikuta kila siku kwenye matatizo, mara kubambikiana kesi, kudhulumiwa ardhi, biashara, kudaiwa hongo, ila hawatumii wanasheria kupigania haki zao.
Utitiri wa watoto wasiojua kusoma, kuhesabu na kuandika, achilia halaiki ya wanaoangukia daraja la nne na sifuri.
WaTz wangapi wana vibiashara uchwara, havikui kwa kukosa muongozo wa kitaalamu, jinsi ya kukuza mitaji, jinsi ya kuweka kumbukumbu kwa usahihi za mahesabu, kulipa Kodi, kuwa na akiba benki na jinsi ya kutumia benki kupata mikopo, mpango wa kibiashara unapoomba mikopo na kuhakikisha mikopo unatumika katika lengo mahsusi na kuhakikisha linafanikiwa na hatimae kujua kibiashara na kulipa mkopo.
Sasa ni ama elimu ya Tz haijitoshelezi, kiasi kwamba hao tunaowaona wameelimika hawajui jinsi ya kuiuza au kuitangaza taaluma yao kwa wahitaji ambao kwa mtazamo wangu wameejaa au kama nilivyosema WaTz hawana uelewa na hawaoni umuhimu wa kuendesha mambo kitaalamu.
 
Ajira zipo ila kwa taaluma za ujuzi zisizotaka uvivu

Tafuta mtu anayejua kutengeneza katuni bongo ambaye hana ajira

Pia vijana msitegemee degree mnazosomea tu ,,kuweni wajanja mjifunze skills nyepesi nyepesi za ujanja ujanja

1. Jifunze kuigiza. Na nenda kaombe chance kwa ma director wa tamthilia za kibongo hata kwa kujitolea tu.

2. Jifunze bongo fleva hata kuimba singeli . Wimbo mmoja tu ukibahatisha uka hit. Ghafla Unapata mtaji wa nguvu

3. Tengeneza content za social media. Tik tok, instagram na youtube. Zitakusaidia kupata followers wengii na kukupa umaarufu

4. Jifunze U MC wa masherehe. Kuna hela nyingi sana za kizembe zembe . Unaongea masaa matatu tu unachukua chako milioni kutoka kwenye michango ya harusi kama MC

5. Jifunze utangazaji wa habari. Hata kama hujasomea taaluma hiyo. ( taaluma hii inakupa umaarufu na kujenga brand fasta )


Bongo umaarufu unawapa watu connections kali sana. Utakutana na watu wengi wanaoweza kukupa ajira kwenye ulichosomea chuo. Na hata ukuu wa wilaya,
Asante mkuu kwa mawazo mazuri
 
Weka humu video yeyote ya cartoon uliyoitengeneza wewe mwenyewe

Ukishaweka nitakupa contact zangu na kukupigia pande uje ofisi za ubongo kids kwa ajili ya interview na wataalamu wa cartoon then upate ajira.

Sio hao tu kuna watu kibao wanatafuta wataalamu wa cartoon bongo.
Mkuu kama unafahamu kuna watu wanahitaji Content za mtandaoni nipe koneksheni. Mimi nimebobea huko natafuta kazi. Nimewahi kuandika makala zaidi ya 2000.
 
Mkuu kama unafahamu kuna watu wanahitaji Content za mtandaoni nipe koneksheni. Mimi nimebobea huko natafuta kazi. Nimewahi kuandika makala zaidi ya 2000.

Fanya mwenyewe kwanza kwenye page zako za social media kwa ajili ya portofolio reference.

Watu wanaohitaji watakufata wenyewe.
 
Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:

DEGREE ZENYEWE NI HIZI:

Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.

Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu

Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place

Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand

Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna

Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place

Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea wapi.
Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:

DEGREE ZENYEWE NI HIZI:

Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.

Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu

Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place

Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand

Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna

Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place

Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea w

Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:

DEGREE ZENYEWE NI HIZI:

Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.

Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu

Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place

Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand

Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna

Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place

Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea wapi.
Supply ya post yako yenyewe ni kubwa kulikoo demand yake bora usingepost
We umeshiba harage uko unakuja kutujazia demand na supply kwenye simu
 
Duuuh yan ni changamoto mm binafsi nmehairisha kwenda chuo huu mwaka wa pil sasa kila nachoplan kusoma naambiwa naenda kupoteza time sitopata kazi na nmesoma science sasa ni kipi ambacho nikisoma napata kazi maana kila kitu kimekuwa pending nlichaguliwa udom kusomea bachelor of science in chemistry lakin ikaonekana haina ajira nchin
Kwa hapa nyumbani ungesoma Bs Pharmacy , hata usipo ajiriwa Serikalini, unayo nafasi kubwa ya kuunga unga ukatoka
 
Duuuh yan ni changamoto mm binafsi nmehairisha kwenda chuo huu mwaka wa pil sasa kila nachoplan kusoma naambiwa naenda kupoteza time sitopata kazi na nmesoma science sasa ni kipi ambacho nikisoma napata kazi maana kila kitu kimekuwa pending nlichaguliwa udom kusomea bachelor of science in chemistry lakin ikaonekana haina ajira nchin
Jifunze graphics
 
Ajira zipo ila kwa taaluma za ujuzi zisizotaka uvivu

Tafuta mtu anayejua kutengeneza katuni bongo ambaye hana ajira

Pia vijana msitegemee degree mnazosomea tu ,,kuweni wajanja mjifunze skills nyepesi nyepesi za ujanja ujanja

1. Jifunze kuigiza. Na nenda kaombe chance kwa ma director wa tamthilia za kibongo hata kwa kujitolea tu.

2. Jifunze bongo fleva hata kuimba singeli . Wimbo mmoja tu ukibahatisha uka hit. Ghafla Unapata mtaji wa nguvu

3. Tengeneza content za social media. Tik tok, instagram na youtube. Zitakusaidia kupata followers wengii na kukupa umaarufu

4. Jifunze U MC wa masherehe. Kuna hela nyingi sana za kizembe zembe . Unaongea masaa matatu tu unachukua chako milioni kutoka kwenye michango ya harusi kama MC

5. Jifunze utangazaji wa habari. Hata kama hujasomea taaluma hiyo. ( taaluma hii inakupa umaarufu na kujenga brand fasta )


Bongo umaarufu unawapa watu connections kali sana. Utakutana na watu wengi wanaoweza kukupa ajira kwenye ulichosomea chuo. Na hata ukuu wa wilaya,

Umesema vyema.
 
Ajira zipo ila kwa taaluma za ujuzi zisizotaka uvivu

Tafuta mtu anayejua kutengeneza katuni bongo ambaye hana ajira

Pia vijana msitegemee degree mnazosomea tu ,,kuweni wajanja mjifunze skills nyepesi nyepesi za ujanja ujanja

1. Jifunze kuigiza. Na nenda kaombe chance kwa ma director wa tamthilia za kibongo hata kwa kujitolea tu.

2. Jifunze bongo fleva hata kuimba singeli . Wimbo mmoja tu ukibahatisha uka hit. Ghafla Unapata mtaji wa nguvu

3. Tengeneza content za social media. Tik tok, instagram na youtube. Zitakusaidia kupata followers wengii na kukupa umaarufu

4. Jifunze U MC wa masherehe. Kuna hela nyingi sana za kizembe zembe . Unaongea masaa matatu tu unachukua chako milioni kutoka kwenye michango ya harusi kama MC

5. Jifunze utangazaji wa habari. Hata kama hujasomea taaluma hiyo. ( taaluma hii inakupa umaarufu na kujenga brand fasta )


Bongo umaarufu unawapa watu connections kali sana. Utakutana na watu wengi wanaoweza kukupa ajira kwenye ulichosomea chuo. Na hata ukuu wa wilaya,
Ndio utakuwa kama jamaa yangu mpk Kawa km kichwa kapiga procurement bachelor,akaenda jeshini ,akarudi kupiga tempo ya ualimu,akafanya kazi Benki sacoss akaacha,Sasa anataka akagombee ubunge 2025,mimi namtazama tu
 
Wanaomaliza ni wengi sana...
Lakini sasa wenye uwezo ni wachache.
Unazani hii haiwezi kuchangia wengi kuwepo mtaani..?
Ni kweli, lakini wanaohitajika ni wenye uwezo wa kufanya kitu sidhani kama mwenye uwezo wa kufanya kitu cha weledi kwa kompyuta atakua jobless. Kama unavyoona hatuna vitu kutoka kwa wazawa, vingi ni janjajanja tu
 
Back
Top Bottom