Uchaguzi 2020 Hizi ndizo hoja zitakazomuangusha Dkt. Magufuli na kumpaisha Tundu Lissu kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Hizi ndizo hoja zitakazomuangusha Dkt. Magufuli na kumpaisha Tundu Lissu kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Nimetaja mambo machache ili nisiwachoshe watu kusoma lakini hata hivyo vitambulisho kanyaboya navyo ni ubatili na upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa mambo ya ajabuajabu!
Bima ya afya je kwa watanzania wote
 
Bima ya afya je kwa watanzania wote
Bima ya afya nayo ni kaa la moto kwa serikali ya CCM. Kwanza wameifilisi NHIF kwa kuchota mamilioni ya fedha kwa ajili ya kufanyia mambo yao ya ajabu ajabu. Kwa sasa NHIF inapumulia mashine. Tundu Lissu akiingia Ikulu Oktoba atahakikisha fedha zote zilizochotwa NHIF zinarejeshwa na mafisadi wa CCM waliozichota watachukuliwa hatua za kisheria.
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka huu wa 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!​
 
JPM
JamiiForums1339456669_270x270.jpg
 
Ni watanzania wachache sana wanao muamini lissu.lissu hatoboi
Hatoboi kwa hoja zipi mkuu? Hebu funguka zaidi? Je, Magufuli aliyekula pesa za rambirambi, mafao ya wafanyakazi, kunyima demokrasia na kuwatumia polisi kukandamiza raia ndiye atatoboa?

unaposema jambo jaribu kulitetea mkuu...usiseme tu kama vile unasoma maandishi kwenye kanga halafu unakikiambia.
 
Sababu nyingize hizi hapa:

Amnesty: Tanzania 'must end arbitrary arrests of opposition leaders'​

Tanzanian authorities have intensified a clampdown on opposition parties and media organizations ahead of nationwide voting on October 28, according to a new report by Amnesty International.

Tanzanian President John Magufuli’s government is thwarting opposition politicians' campaign efforts by selectively applying the law ahead of national elections later this month, Amnesty International said on Monday.

Opposition leaders were facing harrassment, arbitary arrest and intimidation from authorities, whereas the ruling party was allowed to campaign free and unhindered for the October 28 polls, a report from the human rights group said.

The report, Repression by Law ahead of Tanzania general elections, detailed cases of arbitrary arrests of opposition leaders and journalists in 2020 and highlights the challenges these groups face ahead of the elections.

'Repressive legislation'​

President John Magufuli has been in power since 2015 and is seeking reelection under the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party.

Initially lauded for his bold anti-corruption statements, economic development, and infrastructure plans, Magufuli's autocratic style has turned him into an uncompromising leader and intolerant of any dissent.

Magufuli's administration passed a raft of repressive legislation exerting an alarming level of control over the country's politics and society, according to Amnesty.

"Tanzania has come with repressive and unconstitutional laws," Roland Ebole, a researcher at Amnesty, said during a webinar to launch the report. "Every other month there are new laws, and you don't know when you are breaking the law."

The new regulations seek to limit international media coverage of Tanzania's elections. For instance, foreign journalists must now be accompanied by a government minder, and political parties have been warned that meeting foreign diplomats may violate laws governing political parties.

Tanzania 'bleeding'​

"What Magufuli is doing is an extension of authoritarianism in Tanzania and that we must bleed for Tanzania," said Willy Mutunga, Kenya's former Chief Justice and President of the Supreme Court. "The judiciary is not upholding the constitution."

In a further attempt to limit international scrutiny of human rights in the context of the elections, Tanzania's new laws are meant to justify its actions against critics.

Suba Churchill, the coordinator of the National Civil Society Congress in Kenya, said the people and civil society of Tanzania deserve everyone's support. "For years, Tanzania was the refuge of choice for those running away from repression in Kenya and Uganda."

"The role that Tanzania played in restoring normalcy in Uganda and Rwanda cannot be overlooked, yet we see the deterioration of civil liberties in Tanzania."

Amnesty: Tanzania 'must end arbitrary arrests of opposition leaders'​

Tanzanian authorities have intensified a clampdown on opposition parties and media organizations ahead of nationwide voting on October 28, according to a new report by Amnesty International.

Tanzanian President John Magufuli’s government is thwarting opposition politicians' campaign efforts by selectively applying the law ahead of national elections later this month, Amnesty International said on Monday.

Opposition leaders were facing harrassment, arbitary arrest and intimidation from authorities, whereas the ruling party was allowed to campaign free and unhindered for the October 28 polls, a report from the human rights group said.

The report, Repression by Law ahead of Tanzania general elections, detailed cases of arbitrary arrests of opposition leaders and journalists in 2020 and highlights the challenges these groups face ahead of the elections.

'Repressive legislation'​

President John Magufuli has been in power since 2015 and is seeking reelection under the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party.

Initially lauded for his bold anti-corruption statements, economic development, and infrastructure plans, Magufuli's autocratic style has turned him into an uncompromising leader and intolerant of any dissent.

Magufuli's administration passed a raft of repressive legislation exerting an alarming level of control over the country's politics and society, according to Amnesty.

"Tanzania has come with repressive and unconstitutional laws," Roland Ebole, a researcher at Amnesty, said during a webinar to launch the report. "Every other month there are new laws, and you don't know when you are breaking the law."

The new regulations seek to limit international media coverage of Tanzania's elections. For instance, foreign journalists must now be accompanied by a government minder, and political parties have been warned that meeting foreign diplomats may violate laws governing political parties.

Critics say President John Magufuli embraces a brazen authoritarian streak while restricting political freedoms

Tanzania 'bleeding'​

"What Magufuli is doing is an extension of authoritarianism in Tanzania and that we must bleed for Tanzania," said Willy Mutunga, Kenya's former Chief Justice and President of the Supreme Court. "The judiciary is not upholding the constitution."

In a further attempt to limit international scrutiny of human rights in the context of the elections, Tanzania's new laws are meant to justify its actions against critics.

Suba Churchill, the coordinator of the National Civil Society Congress in Kenya, said the people and civil society of Tanzania deserve everyone's support. "For years, Tanzania was the refuge of choice for those running away from repression in Kenya and Uganda."

'Weaponizing the law'​

"Tanzania has weaponized the law to the point that no one knows when they are on the right or wrong side of it," said Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa.

"Politicians have been arrested for holding or attending meetings, media houses suspended and banned, online activism criminalized, and NGOs stifled with endless regulations."

In its report, Amnesty also cites a string of opposition arrests. Joseph Mbilinyi, a candidate with the main opposition party Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) party, was arrested and released on August 14.

Authorities accused him of organizing an "unauthorized demonstration" because his supporters accompanied him as he collected his nomination papers from the National Elections Commission (NEC) offices in Mbeya.

Seven members of Chadema's youth wing on July 7 were arrested for "ridiculing the national anthem and flag" among other charges, because they sang the national anthem while hoisting the party flag. They were not released.

The leader of the opposition Alliance for Change and Transparency (ACT – Mzalendo), Zitto Kabwe, was arrested on June 23 with seven party officials, for holding an "illegal assembly" because they attended an internal party meeting.

And on June 12, he was summoned to explain his meeting with British High Commissioner Sarah Cooke, allegedly in contravention of Section of The Political Parties (Amendment) Act, which states that "a non-citizen shall not participate in the decision making process of a political party to promote the objectives of that party."

Amnesty called on Tanzanian authorities to end arbitrary arrests of opposition politicians, allow media outlets and NGOs to operate freely, and permit independent observers to monitor and speak out about human rights issues.

The rights body also urged President John Magufuli to ensure accountability for election-related human rights violations as part of a broader human rights reform and turn the page on the government's increasing repression and crackdown on the civic space."

"The role that Tanzania played in restoring normalcy in Uganda and Rwanda cannot be overlooked, yet we see the deterioration of civil liberties in Tanzania."

Attacks on critics

In May 2020, police arrested a famous Tanzanian comedian Idris Sultan after a video clip of him laughing at a throwback photo of President Magufuli went viral on social media. He was released a week later on a police bond of 15 million Tanzanian shillings ($6,550, €5,550).

Idris Sultan was in court at least four times to answer trumped-up charges of failing to register a SIM card previously owned by another person.

Martha Karua, Kenya's former justice minister and presidential candidate, said there has been resistance to Magufuli's oppression inside Tanzania, albeit threats.

"We can see that there's resistance even though it has been interrupted, I think all we can do is support them and stand in solidarity with Tanzanians."

"President Magufuli must urgently reverse the decline in political and civil freedoms in Tanzania and ensure human rights defenders, activists, and civil society organizations can carry out their work freely," said Amnesty's Deprose Muchena.

The rights organization called on the UN, AU, SADC, and EAC to pressure the Tanzanian authorities to respect human rights.
 
Uchambuzi wa kina kwanini ilani ya CHADEMA imeeleweka vyema na kukubalika, mapungufu ya ilani CCM Mpya ni yepi


Source : Swahili Villa
  1. Wananchi wakisabahiana huuliza hali zao za kiuchumi yaani Maendeleo binafsi (watu), furaha, haki zao, uchumi, afya n.k na siyo kuulizana umeona madaraja, ndege au flyover au daraja la baharini
  2. CHADEMA wameonesha kuwa wao ni watetezi au watakuwa wawakilishi wa kweli wa wananchi kwa kile walikuwa wanataka kukisema ndani ya miaka mitano iliyopita lakini walizuiliwa
  3. CHADEMA wamefanikiwa kuugeuza uchaguzi huu mbali ya kuwa ni uchaguzi Mkuu lakini ni wakati wa wananchi pia kuonesha hisia zao kama vile ni kura ya maoni dhidi ya CCM Mpya
  4. CHADEMA wana nidhamu ya kisiasa kutetea bila kuonekana wakipingana na wanachoamini
  5. CCM Mpya hawana nidhamu ya kampeni leo wanasema wanajali wanyonge kesho yake wanatishia wapiga kura kuwa wasipoipigia kura hawatawaletea maji
  6. CHADEMA kampeni zao zimefanikiwa kuunganisha kuongeza (+) na kuzidisha mara kadhaa (X) watu wawapigie kura
  7. CCM Mpya kampeni zao ni bila kujijua wanapunguza (-) na kuwagawa au kupunguza wapiga kura(/)
  8. CCM Mpya mgombea wao wa urais ameshindwa kuelezea na kushawishi baada ya anayoita mafanikio ya Maendeleo ya Vitu , miaka mitano mingine ataweka mazingira gani kufanikisha kiu ya waTanzania kurejeshewa uhuru, haki na Maendeleo binafsi (Watu)
  9. Mgombea wa CHADEMA amefanikiwa kuwashawishi kuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu ndiyo kinachotakiwa na kuwa Maendeleo ya Vitu ni kitu cha kawaida kila serikali inatakiwa kufanya bila kuathiri au kubinya Uhuru, Haki na Maendeleo binafsi (watu)
  10. Kinamama wameonesha kumuamini mgombea wa CHADEMA wakati mgombea wa CCM Mpya anaonekana kuzidi kuwa kera na kuwanyanyapaa wanawake kwa muonekano wao, kutishia kuwapiga virungu mashangazi wanaodai pesa za korosho n.k
  11. WaTanzania hawavutiwi na hoja kuwa Tanzania imekuwa kama ulaya kwa madaraja ya baharini, flyovers, SGR inayojengwa wakati kipau mbele chao ni mahitaji yao wanayoona muhimu katika maeneo yao mfano maji, Walimu zaidi ktk shule, fedha kutokana na shughuli zao za kiuchumi, madawa / vifaa tiba / wafanyakazi zaidi sekta ya afya katika wilaya zao
  12. n.k
medium.com › one-of-my-political-...
One of my political mentors used to say that politics is a game of addition, not ...

3 Jan 2019 — One of my political mentors used to say that politics is a game of addition, not subtraction. It still amszes me how some activists treat their politics
Source : swahili villa
 
Hizi ni hoja mujarabu kabisa dhidi ya Sera za Maendeleo ya VITU(Flyovers, SGR, Stieglers Gorge, Bombadier na kadhalika
Watanzania hawaoni faida yoyote ya hayo madude zaidi ya kuendelea kusota kwenye lindi la umaskini mkubwa.
Ukifika Mikoa ya Kanda ya Ziwa mfuko wa Sement 22,000/= lakini mfuko huohuo toka Kenya ni Tshs.12,000/= tofauti ya Tshs. 10,000/-!
Halafu wapuuzi fulani wanapika Takwimu wakidai ati mfumuko wa bei umeshuka.. .......!Daganya Toto tupu!!
 
Huko unakotaka twende ni kupotezeana muda, nachotaka kukuambia na kukuhakikishia lissu ni rais wa jf na tweeter tuuu tena jukwaa la siasa humu jf lakini huko nje lissu ni mweupe ni hakuna anachoeleweka cha msingi ajipange 2025 .
Ndio muache kuiba pesa za wastaafu huko NSSF.
 
Uchambuzi wa kwanini ilani ya CHADEMA imeeleweka vyema na kukubalika, mapungufu ya ilani CCM Mpya ni yepi


  • Wananchi wakisabaiana huuliza hali zao za kiuchumi yaani Maendeleo binafsi (watu) na siyo umeona madaraja, ndege au flyover
  • n.k

Mkuu bado una uchungu wa tonge kuondolewa mdomoni. JPM hana mpinzani, you know it and your friends know it. Mjiliwaze tu, bado wiki 2 na siku mbili mtalikimbia jukwaa hili. JPM moto wa kuotea mbali! Remember my words!
 
Uchambuzi wa kina kwanini ilani ya CHADEMA imeeleweka vyema na kukubalika, mapungufu ya ilani CCM Mpya ni yepi


Source : Swahili Villa
  1. Wananchi wakisabahiana huuliza hali zao za kiuchumi yaani Maendeleo binafsi (watu), furaha, haki zao, uchumi, afya n.k na siyo kuulizana umeona madaraja, ndege au flyover au daraja la baharini
  2. CHADEMA wameonesha kuwa wao ni watetezi wa yale wananchi walikuwa wanataka kukisema ndani ya miaka mitano lakini walizuiliwa
  3. CHADEMA wana nidhamu ya kisiasa kutetea bila kuonekana wakipingana na wanachoamini
  4. CCM Mpya hawana nidhamu ya kampeni leo wanasema wanajali wanyonge kesho yake wanatishia wapiga kura kuwa wasipoipigia kura hawatawaletea maji
  5. CHADEMA kampeni zao zimefanikiwa kuunganisha kuongeza (+) na kuzidisha mara kadhaa (X) watu wawapigie kura
  6. CCM Mpya kampeni zao ni bila kujijua wanapunguza (-) na kuwagawa au kupunguza wapiga kura(/)
  7. CCM Mpya mgombea wao wa urais ameshindwa kuelezea na kushawishi baada ya anayoita mafanikio ya Maendeleo ya Vitu , miaka mitano mingine ataweka mazingira gani kufanikisha kiu ya waTanzania kurejeshewa uhuru, haki na Maendeleo binafsi (Watu)
  8. Mgombea wa CHADEMA amefanikiwa kuwashawishi kuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu ndiyo kinachotakiwa na kuwa Maendeleo ya Vitu ni kitu cha kawaida kila serikali inatakiwa kufanya bila kuathiri au kubinya Uhuru, Haki na Maendeleo binafsi (watu)
  9. Kinamama wameonesha kumuamini mgombea wa CHADEMA wakati mgombea wa CCM Mpya anaonekana kuzidi kuwa kera na kuwanyanyapaa wanawake kwa muonekano wao, kutishia kuwapiga virungu mashangazi wanaodai pesa za korosho n.k
  10. n.k
Source : swahili villa

Mohamed Matope mwana Diaspora akiwa Marekani anamchana Magufuli na CCM yake Live.....!!!!
Watanzania hawawezi kujualiana Hali zao kwa kuulizana Flyovers, madaraja au BARABARA...!!
Hivi Mtanzania ameamka Hana chakula nyumbani anakwenda kukopa kwa jirani yake.....kwa vile tu Kuna Flyover Ubungo? Nonsense!
Mtanzania atamkopesha jirani yake akiwa ana Mzigo wa kutosha kwene Akaunti yake Bank and not otherwise!!!
 
Mkuu bado una uchungu wa tonge kuondolewa mdomoni. JPM hana mpinzani, you know it and your friends know it. Mjiliwaze tu, bado wiki 2 na siku mbili mtalikimbia jukwaa hili. JPM moto wa kuotea mbali! Remember my words!

Mkuu jaribu kuukubali uchambuzi wa kina uliofanywa na hawa waTanzania wenzetu bila kuwa na uhafidhina bali kwa kutengua hoja walizoziweka mezani raia hawa wazalendo
 
Back
Top Bottom