Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Nimefanya kazi na hawa wenzetu weupe kutoka mataifa yaliyoendelea, unaweza kuwa unafanya naye kwa miaka kadhaa na wala usijue hata ana PhD. Sisi huku kwetu, mtu hata akapata PhD kwa kubumba, kila akijitambulisha utasikia, mimi naitwa Doctor ......

Kuna ule msemo wa lugha yetu ya Kiswahili: Maskini akipata matko hulia mbwata.

Na mwingine ufananao:

Debe tupu halikose kupiga kelele.
Haipendezi mtu kujitambulisha naitwa Mr au Mheshimiwa. Haya yanapaswa kufanywa na watu wengine.
 
Sijakuunga mkono bali nimekupa fact, Namibia ilikuwa koloni la Ujerumani na ilikuwa chini ya udhamini kama Tanganyija lakini mbona walipigana vita virefu kudai uhuru, Ghana uganda na Zambia walikuwa makoloni lakini wakipata uhuru kwa amani kana Tanganyika hapo unasemaje.

Nyerere huyo unayembeza alihukumiwa kwa uchochezi, alikuwa anatembea kwa miguu toka shule ya sekondari Pugu hadi Lumumba kushughulikia masuala ya TANU na kurudi jioni, pugu ya wakati ule ilikuwa misitu yenye simba sio kama unavyoiona leo. Uchaguzi wa kura tatu ulikuwa mgumu kwa TANU kwa sabqbu mkoloni alijua kuwa Tanu hata ikifanya vizuri itaambulia theluthi ya viti ambqvyo ni vya weusi tu lakini Tanu chini ya Nyerere waliunga mkono wagombea wao wazungu na waasia na kupata ushindi uliomshangaza mkoloni halafu unasema uhuru ulipatikana kirahisi!. Kwa taarifa yako mkoloni alitengeneza scheme ili Tanganyika iwe kama Rhodesia.


Kupigania uhuru ni kushika silaha na kupambana, Namibia walishika silaha chini Sam Nujoma kupitia SWAPO hivyo wao walipigania uhuru wao (fighting for their freedom--- arms combat), they struggled to gain their freedom with arms, Nyerere alienda kudai uhuru UNO hivyo unaweza kusema yeye alipambana kudai uhuru alipambana na wakoloni kwa ajili ya uhuru matokeo yake akafungwa, tofautisha kati kupigana na kupambana.
 
Sisi tunaendelea na madokta na maprofessor wetu kama hatuna akili nzuri.
Mwalimu was very blessed and he used his blessing in a better positive way.
Kama binadamu wengine, he had his shortcomings.

As we go along now, we realise It. Problems everywhere. Rampant corruption. And yet, we have all the doctors and professors around.
 
Ni kweli kabisa.

Wenzetu wanajali sana kile ambacho mtu anaweza kukifanya.

Sisi hapa kwetu unamsikia mtu anajiita ni doctor wa uhandisi mitambo, lakini hana uwezo wa kutengeneza hata mkokoteni, ila kila mahali anajitambulisha kuwa yeye doctor wa engineering na ni bingwa kwenye masuala ya mitambo.
Mwl Nyerere huu ujinga aliukataa
 
Daktari Samia Suluhu Hassan kazi ipo
 
Wewe una mjadala gani wakati huna akili kichwani?


Kwani mjadala ni kitu gani hadi mimi niwe nao??--- au hiyo ndio akili inayojivunia ya kuhoji na kuandika pumba?!
 
au hiyo ndio akili inayojivunia ya kuhoji na kuandika pumba?
Akili inayokuwezesha kuandika maneno kama hayo uliyoandika hapo juu haihitaji utaalam kujua ni akili mbovu.
 
Akili inayokuwezesha kuandika maneno kama hayo uliyoandika hapo juu haihitaji utaalam kujua ni akili mbovu.


Na wewe unajihesabu miongoni mwa watu wenye akili ya kuweza kuwa standard measure ya kupimia akili za watu wengine??

Naam, wewe akili unazo lakini ninayo mashaka kwamba akili zako sio TIMAMU.
 
Na wewe unajihesabu miongoni mwa watu wenye akili ya kuweza kuwa standard measure ya kupimia akili za watu wengine??

Naam, wewe akili unazo lakini ninayo mashaka kwamba akili zako sio TIMAMU.
Haihitaji kukutana nawe kujua wewe ni mtu wa namna gani, maandishi yako yanajitosheleza kabisa kujua kwamba kichwani mwako kumejaa takataka tupu.
 
Haihitaji kukutana nawe kujua wewe ni mtu wa namna gani, maandishi yako yanajitosheleza kabisa kujua kwamba kichwani mwako kumejaa takataka tupu.


Kalamu ni chombo kitumikacho hata kuandikia matusi nadhani wewe umejipambanua kama chombo cha kuandia matusi bila shaka kuna jini limo kichwani mwako linalokusukuma kuandika matusi kwani hiyo sio akili ya mtu mzima bali kichaa.
 
Back
Top Bottom