Mimi sitemi chuki bali natema ukweli na ndio maana hata wewe umeniunga mkono ninaposema Nyerere hakupigania uhuru wa nchi hii na umeniunga mkono unaposema Nyerere alidai uhuru wa nchi hii, kumbuka kuna tofauti kati ya kudai na kupigania, Nyerere alienda UNO kudai uhuru wetu kutoka kwa Waingereza, uhuru wetu Muingereza alikabidhiwa na League of Nations kutoka kwa mjerumani, Kenya ndio ilipigania uhuru wake kutoka kwa Muingereza, unakumbuka vita vya maumau??.
Sina chuki na yeyote bali nasema kweli yote na ukweli utakuweka huru.