Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Haipendezi mtu kujitambulisha naitwa Mr au Mheshimiwa. Haya yanapaswa kufanywa na watu wengine.
 


Kupigania uhuru ni kushika silaha na kupambana, Namibia walishika silaha chini Sam Nujoma kupitia SWAPO hivyo wao walipigania uhuru wao (fighting for their freedom--- arms combat), they struggled to gain their freedom with arms, Nyerere alienda kudai uhuru UNO hivyo unaweza kusema yeye alipambana kudai uhuru alipambana na wakoloni kwa ajili ya uhuru matokeo yake akafungwa, tofautisha kati kupigana na kupambana.
 
Sisi tunaendelea na madokta na maprofessor wetu kama hatuna akili nzuri.
Mwalimu was very blessed and he used his blessing in a better positive way.
Kama binadamu wengine, he had his shortcomings.

As we go along now, we realise It. Problems everywhere. Rampant corruption. And yet, we have all the doctors and professors around.
 
Mwl Nyerere huu ujinga aliukataa
 
Daktari Samia Suluhu Hassan kazi ipo
 
Wewe una mjadala gani wakati huna akili kichwani?


Kwani mjadala ni kitu gani hadi mimi niwe nao??--- au hiyo ndio akili inayojivunia ya kuhoji na kuandika pumba?!
 
au hiyo ndio akili inayojivunia ya kuhoji na kuandika pumba?
Akili inayokuwezesha kuandika maneno kama hayo uliyoandika hapo juu haihitaji utaalam kujua ni akili mbovu.
 
Akili inayokuwezesha kuandika maneno kama hayo uliyoandika hapo juu haihitaji utaalam kujua ni akili mbovu.


Na wewe unajihesabu miongoni mwa watu wenye akili ya kuweza kuwa standard measure ya kupimia akili za watu wengine??

Naam, wewe akili unazo lakini ninayo mashaka kwamba akili zako sio TIMAMU.
 
Na wewe unajihesabu miongoni mwa watu wenye akili ya kuweza kuwa standard measure ya kupimia akili za watu wengine??

Naam, wewe akili unazo lakini ninayo mashaka kwamba akili zako sio TIMAMU.
Haihitaji kukutana nawe kujua wewe ni mtu wa namna gani, maandishi yako yanajitosheleza kabisa kujua kwamba kichwani mwako kumejaa takataka tupu.
 
Haihitaji kukutana nawe kujua wewe ni mtu wa namna gani, maandishi yako yanajitosheleza kabisa kujua kwamba kichwani mwako kumejaa takataka tupu.


Kalamu ni chombo kitumikacho hata kuandikia matusi nadhani wewe umejipambanua kama chombo cha kuandia matusi bila shaka kuna jini limo kichwani mwako linalokusukuma kuandika matusi kwani hiyo sio akili ya mtu mzima bali kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…