Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Mlengo wa sera ya ujamaa ndiyo uliyomuangusha aiseee
Ujamaa haukumuangusha bali kilichomuangusha ni kujitolea sana kuzisaidia nchi zingine zijitawale na baadaye ile vita na Iddi Amin ikahitimisha ! Matatizo yakaanzia hapo baada ya wakubwa huko Duniani kumlazimisha Mwalimu ashushe thamani ya pesa ya Tanzania ndio wakubali Nchi ikopeshwe na IMF na World Bank hapo Mwalimu akakataa ndipo matatizo yaongezeka !! Lakini kabla ya hapo maisha yalikuwa mazuri na rahisi sana !! Sisi tulikuwepo lakini ninyi wengi mnahadithiwa tu !!
 
Mlengo wa sera ya ujamaa ndiyo uliyomuangusha aiseee
Na kosa lake kubwa ni lile la kukubali kufa na tai yake shingoni. Wenzake wa China baada ya kuona huo Ujamaa ni kaa la moto, miaka ya katikati mwa 1970's waliamua kuuchanganya na ubepari!

Na matokeo yake ndiyo hii China ya sasa! Ila yeye kwa bahati mbaya alikomaa na Ujamaa wake wa kufikirika! na mwisho wa siku matokeo yake ndiyo haya sasa ya kutuachia ccm iliyooza na kunuka ufisadi kila upande.
 
Na kosa lake kubwa ni lile la kukubali kufa na tai yake shingoni. Wenzake wa China baada ya kuona huo Ujamaa ni kaa la moto, miaka ya katikati mwa 1970's waliamua kuuchanganya na ubepari!

Na matokeo yake ndiyo hii China ya sasa! Ila yeye kwa bahati mbaya alikomaa na Ujamaa wake wa kufikirika! na mwisho wa siku matokeo yake ndiyo haya sasa ya kutuachia ccm iliyooza na kunuka ufisadi kila upande.
Siyo kweli.
Ni mlinganisho wa nyakati tofauti kabisa na matukio yasiyohusiana.

"Structural Adjustment" mwarobaini alioukataa hadi leo unalalamikiwa duniaNI kote.
 
Ujamaa haukumuangusha bali kilichomuangusha ni kujitolea sana kuzisaidia nchi zingine zijitawale na baadaye ile vita na Iddi Amin ikahitimisha ! Matatizo yakaanzia hapo baada ya wakubwa huko Duniani kumlazimisha Mwalimu ashushe thamani ya pesa ya Tanzania ndio wakubali Nchi ikopeshwe na IMF na World Bank hapo Mwalimu akakataa ndipo matatizo yaongezeka !! Lakini kabla ya hapo maisha yalikuwa mazuri na rahisi sana !! Sisi tulikuwepo lakini ninyi wengi mnahadithiwa tu !!
Na watu wanasahau kwaba hali ya uchumi duniani kote ulikuwa ni ngumu wakati huo.
 
Nadhani Vita vya Uganda vya 1978/79 ndio chanzo kikuu.
Baada ya vita vile uchumi wa nchi ukayumba ndipo mabeberu walipopata nafasi ya kumuadhibu Mwalimu kutokana na ile misimamo yake ya kuzipinga Nchi za magharibi kutokana na unyonyaji wao waliokuwa wakizifanyia nchi changa na hasahasa nchi za dunia ya tatu ! Wakajua lazima atakuja kuomba kukopa fedha ndipo walipokataa kumpa mikopo mpaka kwanza akubali kushusha thamani ya shilingi ya Tanzania ! Mwalimu akakataa na akasema hawezi kukubali kugeuka jiwe na kuwaumiza wananchi wake. !! Wakati huo nadhani dollar ya marekani ilikuwa ikinunuliwa kwa shs tano za kitanzania kama ntakumbuka vizuri !!
 
Mwalimu Julius K. Nyerere
ABOUT NYERERE
HONORARIES AND AWARD
As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

Honorary Degrees and Awards

He received honorary degrees from the following:
1. University of Edinburgh (United Kingdom)

2. University of Dugueshe (United States of America)

3. Cairo University (Egypt)

4. University of Nsukka (Nigeria)

5. University of Ibadan (Nigeria)

6. University of Monrovia (Liberia)

7. Toronto University (Canada)

8. Havard University (United States of America)

9. Howard University (United States of America)

10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

11. Pyongyang University (Korea) - Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

12. National University of Lesotho (Lesotho)

13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)


Awards / Prices
1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

16. Arusha, Tanzania - TANAPA / Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

Share this:FacebookTwitterGoogle+E-mailPrintFriendly
Julius Kambarage Nyerere was a Tanzanian politician who served as the first President of Tanzania and previously Tanganyika, from the country's founding in 1961 until his retirement in 1985.

NYERERE IN PHOTOS
African Leaders in in Nairobi, 1964
African Leaders in in Nairobi, 1964

VIEW ALL

NYERERE ON VIDEOS
Videos on Nyerere
Watch short clips, TV footags and documentaries on and about Nyerere

CLICK HERE TO VIEW

LISTEN TO MWALIMU'S LEGACY
Listen to Nyerere Speeches
Nyerere was reported as saying that he was a "schoolmaster by choice and a politician by accident"

CLICK HERE TO LISTEN

NYERERE QUOTES
"The African is not 'Communistic' in his thinking; he is -- if I may coin an expression - 'communitary'."

Julius Kambarage Nyerere as quoted in the New York Times Magazine on 27 March 1960.

MORE QUOTES
SEARCH
Search here...

HOME ABOUT NYERERE RESOURCES MULTIMEDIA CONTACT US
Mwalimu Nyerere Foundation Nyerere Centre for Peace and Research The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA)
Mwalimu Julius K. Nyerere
Alafu kuna wajinga wanakaa na kumdharau Nyerere... shezi wa head kabisa...
 
Siyo kweli.
Ni mlinganisho wa nyakati tofauti kabisa na matukio yasiyohusiana.

"Structural Adjustment" mwarobaini alioukataa hadi leo unalalamikiwa duniaNI kote.
Mimi sipo huko kwenye Structual Adjustment Programmes (SAP's)!!

Hoja yangu iko kwenye Ujamaa wa Nyerere. Yeye aliamini katika Ujamaa pekee na kuupinga kabisa ubepari; jambo ambalo halikuwa sahihi kwa mtazamo wangu.

Binafsi nitamani kuona baada ya Uhuru, angechagua yale mazuri yote yaliyomo kwenye sera ya Ujamaa! Halafu angechagua tena yale mazuri yote yaliyomo kwenye ubepari! Na mwisho wa siku angekuja na itikadi moja ya nchi yenye mchanganyiko wa Ujamaa na ubepari, kama walivyofanya China.
 
Ujamaa haukumuangusha bali kilichomuangusha ni kujitolea sana kuzisaidia nchi zingine zijitawale na baadaye ile vita na Iddi Amin ikahitimisha ! Matatizo yakaanzia hapo baada ya wakubwa huko Duniani kumlazimisha Mwalimu ashushe thamani ya pesa ya Tanzania ndio wakubali Nchi ikopeshwe na IMF na World Bank hapo Mwalimu akakataa ndipo matatizo yaongezeka !! Lakini kabla ya hapo maisha yalikuwa mazuri na rahisi sana !! Sisi tulikuwepo lakini ninyi wengi mnahadithiwa tu !!
Ujamaa ulimwangusha pesa nyingi alipata kutoa nchi za kisoviet.
 
Mimi sipo huko kwenye Structual Adjustment Programmes (SAP's)!!

Hoja yangu iko kwenye Ujamaa wa Nyerere. Yeye aliamini katika Ujamaa pekee na kuupinga kabisa ubepari; jambo ambalo halikuwa sahihi kwa mtazamo wangu.

Binafsi nitamani kuona baada ya Uhuru, angechagua yale mazuri yote yaliyomo kwenye sera ya Ujamaa! Halafu angechagua tena yale mazuri yote yaliyomo kwenye ubepari! Na mwisho wa siku angekuja na itikadi moja ya nchi yenye mchanganyiko wa Ujamaa na ubepari, kama walivyofanya China.
Hata sasa atujachelewa.
 
Ujamaa ulimwangusha pesa nyingi alipata kutoa nchi za kisoviet.
Kama wasovieti wangekuwa wanampa pesa nyingi asingelazimika kwenda kuomba mkopo wa IMF na World Bank na ndicho kilichopelekea yeye kuachia madaraka kuliko kukubali masharti aliyopewa ya kushusha thamani ya shilingi ya Tanzania. !!
 
Honorary Degree hausomi ila unatunukiwa kutokana na mchango wako kwenye masuala husika hivyo haulipi ada.
Ila wananchi hatuulizwi kuthibitisha kama tuliupenda unga wa yanga uliochanganywa mayai toka marekani, wao wanatuthibitishia.
 
Back
Top Bottom