Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Vita inasingiziwa
Nina wasiwasi na umri wako (mdogo sana)
Nina wasi wasi na iq yako( ndogo sana kwahiyo hauwezi kusikiliza, kusoma kuchambua kuhusianisha na kutoa hitimisha Juu ya mambo anuwai)
Nina mashaka na intelligence level yako (kufanya utafiti na kufanya hitimisho Juu ya baadhi ya mambo)
Ni aibu kwa kijana kama wewe kutokujua kuwa moja wapo ya mambo yaliyochangia kudorora kwa uchumi wa Tanzania ni pamoja na vita vya kagera ambayo licha ya kuitumia kwa kiasi kikubwa rasilimali za nchi hii pia akiba ya fedha za kigeni almost yote ilielekezwa kwenye vita na kuacha shughuli nyingine hoi bin taaban.
Mambo mengine ni pamoja na ukame mkubwa, (nchi kutumia akiba ya fedha za kigeni kuagiza chakula kutoka nje badala ya shughuli nyingine za mnaendeleo na kukuza uchumi
Mafuriko: na athari zake
Kuanguka kwa USSR ambao ndiko MWALIMU aliopt sana kama supporter wa mnaendeleo!
Magnjwa ikiwemo HIV,
Usisahau mabadiliko ya Dunia baada ya vita baridi (SAPS)
Kapekue maktaba kijana acha uvivu!
Nasema acha uvivu! Vita ilisababisha mdororo mkubwa wa uchumi hata Bibi Ako anajua mana Muda mwingi na rasilimali watu zilitumika kwa ajili ya vita na watu wakua wazelndo kweli kweli kuioigania nchi Yao na sio matumbo Yao kama wewe! Mjinga MMOJA hivi ashakumu sio matusi
 
Tangu ameondoka madarakani mpaka leo inapata miaka 37.
Je hali ya umaskini baada yake ikoje
Hao ndio wanaoshinda kulaumu baba zao kuwa baba hakumuwekea msingi unakuta mtu ana miaka sitini lakini bado qnamlaumu mzee wake.

Wakati Nyerere anapigania uhuru huyu anayelaumu baba yake hakushiriki halafu leo anamlaumu mtu aliyesababisha apate fursa za .uhuru.
 
Wewe umeachiwa utajiri wote kisha unamlaumu mtu aliyekufa akili yako haiko sawa
Haya mabox kuyajibu ni sawa na kutwanga Maji kwenye kinu! Wazazi waliuza ng'ombe wakapeleke ng'ombe shule , na ng'ombe enyewe sasa ni tasa hauwezi kuwa mbuguma ili tupate nagalau maziwa na pia ni hanithi haiwezi kuzalisha! Wastage of resources completely! Unamlaumu Nyerere serious?
 
Nyerere hakutakwa kuitwa Doctor, alipendelea kuitwa Mwalimu.

Mkapa na PhD zake nyingi hakutaka kuitwa Doctor, ila Ndugu.

Mwenye PhD ya mchongo, ambayo akiulizwa thesis yake anaua waulizaji, alitaka ajulikane kama Doctor kwa thesis ya wizi
Masikini aliwezaje kuhonga au alibomoa sanduku la shahada?
Vitu vingine ni vya kijinga kuongelea.
 
Masikini aliwezaje kuhonga au alibomoa sanduku la shahada?
Vitu vingine ni vya kijinga kuongelea.
Masikini my ass. Masikini gani anajengea wanawake mahoteli?
Huwezi kuwa waziri wa mabarabara ukawa lofa.
Huwezi kukaa pale ardhi halafu ukose hela.
Huwezi ukawepo uvuvi ukawa huna hela kijana. Mazao yote ya marine, marine reserves, fishery exports etc halafu ukasema wewe ni masikini.
Huwezi kumiliki ardhi Ada Estate ukasema wewe masikini.
 
Alafu kuna wajinga wanakaa na kumdharau Nyerere... shezi wa head kabisa...
Kwenye Library yetu floor ya tatu kuna collection ya African studies. Vitabu vya Nyerere vipo pale tena vya reference tu; havitoki nje ya Library. Kila kitabu alichoandika Nyerere kumbe alikuwa anatoa nakala ya kiswahili na kiingereza mwenyewe; jamaa hawa wanazo nakala zote zilizotoka kwa kiswahili na za kiingereza. Vile vile kuna kopi ya essay aliyoandika akiwa mwanafunzi Makerere ambayo ilikuwa inahusu haki za wanawake sijui waliipata wapi. Sijaelewa wasomaji wa vitabu vyao vya kiswahili ni nani kwa vile wamarekani walioko hapa wanaoongea kiswahili ni wachache sana.
 
Ujamaa haukumuangusha bali kilichomuangusha ni kujitolea sana kuzisaidia nchi zingine zijitawale na baadaye ile vita na Iddi Amin ikahitimisha ! Matatizo yakaanzia hapo baada ya wakubwa huko Duniani kumlazimisha Mwalimu ashushe thamani ya pesa ya Tanzania ndio wakubali Nchi ikopeshwe na IMF na World Bank hapo Mwalimu akakataa ndipo matatizo yaongezeka !! Lakini kabla ya hapo maisha yalikuwa mazuri na rahisi sana !! Sisi tulikuwepo lakini ninyi wengi mnahadithiwa tu !!
Kwanini South Africa haimo kwenye orodha?
 
Mwalimu Julius K. Nyerere
ABOUT NYERERE
HONORARIES AND AWARD
As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

Honorary Degrees and Awards

He received honorary degrees from the following:
1. University of Edinburgh (United Kingdom)

2. University of Dugueshe (United States of America)

3. Cairo University (Egypt)

4. University of Nsukka (Nigeria)

5. University of Ibadan (Nigeria)

6. University of Monrovia (Liberia)

7. Toronto University (Canada)

8. Havard University (United States of America)

9. Howard University (United States of America)

10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

11. Pyongyang University (Korea) - Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

12. National University of Lesotho (Lesotho)

13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)


Awards / Prices
1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

16. Arusha, Tanzania - TANAPA / Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

Share this:FacebookTwitterGoogle+E-mailPrintFriendly
Julius Kambarage Nyerere was a Tanzanian politician who served as the first President of Tanzania and previously Tanganyika, from the country's founding in 1961 until his retirement in 1985.

NYERERE IN PHOTOS
African Leaders in in Nairobi, 1964
African Leaders in in Nairobi, 1964

VIEW ALL

NYERERE ON VIDEOS
Videos on Nyerere
Watch short clips, TV footags and documentaries on and about Nyerere

CLICK HERE TO VIEW

LISTEN TO MWALIMU'S LEGACY
Listen to Nyerere Speeches
Nyerere was reported as saying that he was a "schoolmaster by choice and a politician by accident"

CLICK HERE TO LISTEN

NYERERE QUOTES
"The African is not 'Communistic' in his thinking; he is -- if I may coin an expression - 'communitary'."

Julius Kambarage Nyerere as quoted in the New York Times Magazine on 27 March 1960.

MORE QUOTES
SEARCH
Search here...

HOME ABOUT NYERERE RESOURCES MULTIMEDIA CONTACT US
Mwalimu Nyerere Foundation Nyerere Centre for Peace and Research The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA)
Mwalimu Julius K. Nyerere
Kuna degree moja ya MAN OF LETTERS alitunukiwa katika mojawapo ya nchi za Carribean mwaka 1974. Wakati anaipokea alianza kwa kusema maneno, “ ……….., dedpite the degree you have just conferred upon me, I am not a man of letters. I am a teacher by profession and a politician by practice ……….., Kuna anayeikumbuka?
 
Back
Top Bottom