The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Hakuna Cha bifu,jibu hoja alifanya Nini Cha Maana ikiwa kila kitu ilikuwa zero? Kuongea kiswahili au?Naona una beef nae bahati mbaya hayupo na hakuna wa kumjibia maswali yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Cha bifu,jibu hoja alifanya Nini Cha Maana ikiwa kila kitu ilikuwa zero? Kuongea kiswahili au?Naona una beef nae bahati mbaya hayupo na hakuna wa kumjibia maswali yako
Kwa sababu mbali ya hizo za heshima tayari alikuwa na qualifications zake za darasani tofauti na wengine wenye certificates za kuunga unga.Uzuri hakujiita Dr. Sasa kila mahali itakuwa Dr Samia.
Nimeachiwa utajiri kwa hiyo yeye kazi yake ilikuwa Ni ipi Sasa kwa Miaka 25?Wewe umeachiwa utajiri wote kisha unamlaumu mtu aliyekufa akili yako haiko sawa
Huna hojaYou and Mwashambwa are two idiots twins
Unaandika maneno meeengi yasiyo na tija..Nina wasiwasi na umri wako (mdogo sana)
Nina wasi wasi na iq yako( ndogo sana kwahiyo hauwezi kusikiliza, kusoma kuchambua kuhusianisha na kutoa hitimisha Juu ya mambo anuwai)
Nina mashaka na intelligence level yako (kufanya utafiti na kufanya hitimisho Juu ya baadhi ya mambo)
Ni aibu kwa kijana kama wewe kutokujua kuwa moja wapo ya mambo yaliyochangia kudorora kwa uchumi wa Tanzania ni pamoja na vita vya kagera ambayo licha ya kuitumia kwa kiasi kikubwa rasilimali za nchi hii pia akiba ya fedha za kigeni almost yote ilielekezwa kwenye vita na kuacha shughuli nyingine hoi bin taaban.
Mambo mengine ni pamoja na ukame mkubwa, (nchi kutumia akiba ya fedha za kigeni kuagiza chakula kutoka nje badala ya shughuli nyingine za mnaendeleo na kukuza uchumi
Mafuriko: na athari zake
Kuanguka kwa USSR ambao ndiko MWALIMU aliopt sana kama supporter wa mnaendeleo!
Magnjwa ikiwemo HIV,
Usisahau mabadiliko ya Dunia baada ya vita baridi (SAPS)
Kapekue maktaba kijana acha uvivu!
Nasema acha uvivu! Vita ilisababisha mdororo mkubwa wa uchumi hata Bibi Ako anajua mana Muda mwingi na rasilimali watu zilitumika kwa ajili ya vita na watu wakua wazelndo kweli kweli kuioigania nchi Yao na sio matumbo Yao kama wewe! Mjinga MMOJA hivi ashakumu sio matusi
Makes no difference, a dead brain can enjoy anything.Afu sinufaiki nao ,mlo wangu napata kwingine tuu ,I enjoy to support them
Wewe mwenye live brain umefanya Nini Cha Maana zaidi ya kulalamika nakulaumu kuanzia januayna Sasa tuko disemba?Makes no difference, a dead brain can enjoy anything.
Kwa vile una akili mbovu huwezi kutambua mchango mkubwa ninaokusaidia kunyoosha akili yako iliyoathirika.Wewe mwenye live brain umefanya Nini Cha Maana zaidi ya kulalamika nakulaumu kuanzia januayna Sasa tuko disemba?
Mjinga Kama wewe kutwa kucha kulalamika na kulaumu utakuwa na mchango gani?Kwa vile una akili mbovu huwezi kutambua mchango mkubwa ninaokusaidia kunyoosha akili yako iliyoathirika.
Duuuu !!! Utajiri mkubwa ni mito na maziwa? Kwani alivihamisha kutoka sehem nyingine?Ndugu yangu Nyerere katuachia utajiri mkubwa sana,madini yapo,mito na maziwa,mbuga za wanyama, mlima Kilimanjaro, amani na utulivu vipo sasa unamlaumu kwa lipi familia yake yenyewe masikini kila kitu ametuachia sasa sijui unamaanisha nini?
A skunk will always be a skunk, only good at what any skunk is good at,... emitting foul odor at every chance it getsMjinga Kama wewe kutwa kucha kulalamika na kulaumu utakuwa na mchango gani?
Utakuwa unalaumu na kulalamika hata familia yako badala ya kuleta majibu fala wewe.
Orodha ipi ?Kwanini South Africa haimo kwenye orodha?
Hakuwa mtu wa kujikweza!! Alikuwa akijiamini !Julius Kambarage Nyerere alipenda kuitwa Mwalimu.
Imetosha
Unajua maana ya mito, maziwa na bahari? Hujui kwamba ziko nchi zingine duniani zinaishi na kuendesha nchi zao kwa uvuvi wa samaki tu? Wewe unamlaumu Nyerere aliyefariki wakati uko karibu na bahari zimejaa utajiri wa samaki nenda ukavue upate pesa acha kujitoa ufahamuDuuuu !!! Utajiri mkubwa ni mito na maziwa? Kwani alivihamisha kutoka sehem nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajiri wa Nchi ni nini ?Lakini akaiacha Nchi kwenye umaskini mkubwa
Material possessionsUtajiri wa Nchi ni nini ?
by who ?, Majority, Minority or it does not Matter ?Material possessions
By individuals kwa uwingi wao sio wote Bali wengiby who ?, Majority, Minority or it does not Matter ?
And what kind of materials ?;
And does sustainability count in your definition ?
Is that man Poor
View attachment 2432387
or these kids
View attachment 2432389