Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Nina wasiwasi na umri wako (mdogo sana)
Nina wasi wasi na iq yako( ndogo sana kwahiyo hauwezi kusikiliza, kusoma kuchambua kuhusianisha na kutoa hitimisha Juu ya mambo anuwai)
Nina mashaka na intelligence level yako (kufanya utafiti na kufanya hitimisho Juu ya baadhi ya mambo)
Ni aibu kwa kijana kama wewe kutokujua kuwa moja wapo ya mambo yaliyochangia kudorora kwa uchumi wa Tanzania ni pamoja na vita vya kagera ambayo licha ya kuitumia kwa kiasi kikubwa rasilimali za nchi hii pia akiba ya fedha za kigeni almost yote ilielekezwa kwenye vita na kuacha shughuli nyingine hoi bin taaban.
Mambo mengine ni pamoja na ukame mkubwa, (nchi kutumia akiba ya fedha za kigeni kuagiza chakula kutoka nje badala ya shughuli nyingine za mnaendeleo na kukuza uchumi
Mafuriko: na athari zake
Kuanguka kwa USSR ambao ndiko MWALIMU aliopt sana kama supporter wa mnaendeleo!
Magnjwa ikiwemo HIV,
Usisahau mabadiliko ya Dunia baada ya vita baridi (SAPS)
Kapekue maktaba kijana acha uvivu!
Nasema acha uvivu! Vita ilisababisha mdororo mkubwa wa uchumi hata Bibi Ako anajua mana Muda mwingi na rasilimali watu zilitumika kwa ajili ya vita na watu wakua wazelndo kweli kweli kuioigania nchi Yao na sio matumbo Yao kama wewe! Mjinga MMOJA hivi ashakumu sio matusi
Unaandika maneno meeengi yasiyo na tija..

Kwa hiyo kabla ya Vita Nchi ilikuwa na Neema si ndio? Mlikuwa na majibya kutosha, miundombinu ya kutosha,chakula Cha kutosha, Uchumi mkubwa nk?

Toa ujinga wako hapa wa kutetea failures.
 
Kwa vile una akili mbovu huwezi kutambua mchango mkubwa ninaokusaidia kunyoosha akili yako iliyoathirika.
Mjinga Kama wewe kutwa kucha kulalamika na kulaumu utakuwa na mchango gani?

Utakuwa unalaumu na kulalamika hata familia yako badala ya kuleta majibu fala wewe.
 
Ndugu yangu Nyerere katuachia utajiri mkubwa sana,madini yapo,mito na maziwa,mbuga za wanyama, mlima Kilimanjaro, amani na utulivu vipo sasa unamlaumu kwa lipi familia yake yenyewe masikini kila kitu ametuachia sasa sijui unamaanisha nini?
Duuuu !!! Utajiri mkubwa ni mito na maziwa? Kwani alivihamisha kutoka sehem nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga Kama wewe kutwa kucha kulalamika na kulaumu utakuwa na mchango gani?

Utakuwa unalaumu na kulalamika hata familia yako badala ya kuleta majibu fala wewe.
A skunk will always be a skunk, only good at what any skunk is good at,... emitting foul odor at every chance it gets
 
Bd haitoshi kufananisha vitu vya maana na upuuzi mamboleo[emoji848]
 
Duuuu !!! Utajiri mkubwa ni mito na maziwa? Kwani alivihamisha kutoka sehem nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya mito, maziwa na bahari? Hujui kwamba ziko nchi zingine duniani zinaishi na kuendesha nchi zao kwa uvuvi wa samaki tu? Wewe unamlaumu Nyerere aliyefariki wakati uko karibu na bahari zimejaa utajiri wa samaki nenda ukavue upate pesa acha kujitoa ufahamu
 
Material possessions
by who ?, Majority, Minority or it does not Matter ?
And what kind of materials ?;
And does sustainability count in your definition ?

Is that man Poor
1669881999954.png

or these kids
1669882061473.png
 
Back
Top Bottom