Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

By individuals kwa uwingi wao sio wote Bali wengi
Ndio maana nikauliza kama hao Budha ni Masikini kwa Mtazamo wako..., Binafsi kwangu mimi naweza kusema..., Mmarekani wa Sasa ni Masikini kuliko alivokuwa huyu Mmarekani Halisi kabla hawajamfanyia unyama...
1669883276839.png

1669884049959.png


Its all in the mind na kwa mentality ya sasa wenye navyo wanafukuza illusion (they will never be satisfied) na majority wa sasa hawana hata milo mitatu, magonjwa bado ni kero, labda kwenye mavazi mitumba imetusaidia..., lakini with our natural weather kabla ya kujenga maghorofa kama uyoga na kukata miti tungeweza kutembea hata kifua wazi

Conclusively kwa sasa majority ndio masikini wa kutupwa...
 
Na kosa lake kubwa ni lile la kukubali kufa na tai yake shingoni. Wenzake wa China baada ya kuona huo Ujamaa ni kaa la moto, miaka ya katikati mwa 1970's waliamua kuuchanganya na ubepari!

Na matokeo yake ndiyo hii China ya sasa! Ila yeye kwa bahati mbaya alikomaa na Ujamaa wake wa kufikirika! na mwisho wa siku matokeo yake ndiyo haya sasa ya kutuachia ccm iliyooza na kunuka ufisadi kila upande.
Ndugu ujamaa ukiwa kwenye jamii iliyostaarabika na yenye maadili ni mzuri sana.

Tatizo moyo wa mwafrika umeoza sana na unanuka kwa kila tendo..

Cc ccm
 
Uzuri hakujiita Dr. Sasa kila mahali itakuwa Dr Samia.
Fid Q alisema.

"..... na sijawahi kujivuka umasihi, makuzi hayafayi ndo maana baba taifa alificha CV..."
OLE CHIZA, Fid ft Rosaree
 
Masikini my ass. Masikini gani anajengea wanawake mahoteli?
Huwezi kuwa waziri wa mabarabara ukawa lofa.
Huwezi kukaa pale ardhi halafu ukose hela.
Huwezi ukawepo uvuvi ukawa huna hela kijana. Mazao yote ya marine, marine reserves, fishery exports etc halafu ukasema wewe ni masikini.
Huwezi kumiliki ardhi Ada Estate ukasema wewe masikini.
Alipata degree zake akiwa tajiri?
Hujui , palefu .
JPM kasotea degree zake , hata mavazi na mahitaji ya msingi ilikuwa kujiombeleza.
Tajiri gani aombe kufadhiliwa kwa kitu muhimu kama Degree?
 
Hao ndio wanaoshinda kulaumu baba zao kuwa baba hakumuwekea msingi unakuta mtu ana miaka sitini lakini bado qnamlaumu mzee wake.

Wakati Nyerere anapigania uhuru huyu anayelaumu baba yake hakushiriki halafu leo anamlaumu mtu aliyesababisha apate fursa za .uhuru.
Kabisaa aisee
 
Back
Top Bottom