Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Kalamu ni chombo kitumikacho hata kuandikia matusi nadhani wewe umejipambanua kama chombo cha kuandia matusi bila shaka kuna jini limo kichwani mwako linalokusukuma kuandika matusi kwani hiyo sio akili ya mtu mzima bali kichaa.
"Matusi" ni yapi, hata hujui maana ya neno hilo?
Ungekuwa na akili timamu, ungerudi nyuma tulikoanzia na kujiuliza imekuwaje hadi ikafikia hapa. Lakini kwa vile huna uwezo wa kufikiri hivyo unaanza kulialia tu hapa kuwa kuna matusi yametumika.
 
"Matusi" ni yapi, hata hujui maana ya neno hilo?
Ungekuwa na akili timamu, ungerudi nyuma tulikoanzia na kujiuliza imekuwaje hadi ikafikia hapa. Lakini kwa vile huna uwezo wa kufikiri hivyo unaanza kulialia tu hapa kuwa kuna matusi yametumika.


Kalamu yaweza tumika jinsi tissue paper itumikavyo, tissue paper ikiwa chooni ni toilet paper, kuna jini kichwani mwako linalokutumia kuandika nasties.

The way unavyoandika inaonesha Wewe kwa asili ni mtu mwenye kiburi sana na majivuno makubwa, jichunguze na acha tabia hiyo.
 
Kalamu yaweza tumika jinsi tissue paper itumikavyo, tissue paper ikiwa chooni ni toilet paper, kuna jini kichwani mwako linalokutumia kuandika nasties.

The way unavyoandika inaonesha Wewe kwa asili ni mtu mwenye kiburi sana na majivuno makubwa, jichunguze na acha tabia hiyo.
Acha kulialia. Unataka nikusaidie vipi?
Ndiyo, kwa watu wapuuzi kama wewe sijilaumu kama unadhani nina kiburi.
 
Kukusaidia kuondokana na ufinyu wa kufikiri na kutumia akili ipasavyo.


Kipofu amuongoze njia kipofu??!, "Ondoa boriti jichoni mwako ili uweze kuona vyema na ndipo utaweza kuondoa kibanzi jichoni kwa mwenzako."
 
Kipofu amuongoze njia kipofu??!, "Ondoa boriti jichoni mwako ili uweze kuona vyema na ndipo utaweza kuondoa kibanzi jichoni kwa mwenzako."
Hii mipasho itakusaidia kitu gani wewe? Unadhani kuijua hii ndiyo kutakusaidia uwe na akili timamu?
 
Hii mipasho itakusaidia kitu gani wewe? Unadhani kuijua hii ndiyo kutakusaidia uwe na akili timamu?


Achilia mbali akili isiyokuwa TIMAMU wewe huna akili kabisa, kirusi cha corona kimekuzidi akili.
 
Achilia mbali akili isiyokuwa TIMAMU wewe huna akili kabisa, kirusi cha corona kimekuzidi akili.
Ngoja nikupe nafasi. Nitakusifu sana ukieleza ulichoandika hapa.

Acha nifafanue usije ukarukia kivingine kwa ufinyu wako wa akili, kwamba ulichoandika hapo kinanihusu mimi.

Nataka ueleze uhusiano wa "corona na kuathirika ubongo", siyo "kuzidi ubongo."

Ukilieleza hili kwa ufasaha, naondoa hiyo 'lebo' niliyokubandika utosini, ya "kutokuwa na akili kichwani"

Ninajua huna uwezo huo, lakini ni nafasi kwako kuji'remedy'.
 
Ngoja nikupe nafasi. Nitakusifu sana ukieleza ulichoandika hapa.

Acha nifafanue usije ukarukia kivingine kwa ufinyu wako wa akili, kwamba ulichoandika hapo kinanihusu mimi.

Nataka ueleze uhusiano wa "corona na kuathirika ubongo", siyo "kuzidi ubongo."

Ukilieleza hili kwa ufasaha, naondoa hiyo 'lebo' niliyokubandika utosini, ya "kutokuwa na akili kichwani"

Ninajua huna uwezo huo, lakini ni nafasi kwako kuji'remedy'.


Wewe ni zwazwa haswa!!

Ni wapi nimeandika kirusi cha Corona kimekuzidi "ubongo"??!

Wewe ubongo unao lakini huna akili kabisa, japo ungalikuwa na akili isiyo timamu ungekuwa better than Kirusi cha Corona.

Kirusi cha corona kimekuzidi akili (intelligence) kirusi hicho hakina Ubongo kama wewe mwenye ubongo mfu (defunct grey matter/ brain).
 
Wewe ni zwazwa haswa!!

Ni wapi nimeandika kirusi cha Corona kimekuzidi "ubongo"??!

Wewe ubongo unao lakini huna akili kabisa, japo ungalikuwa na akili isiyo timamu ungekuwa better than Kirusi cha Corona.

Kirusi cha corona kimekuzidi akili (intelligence) kirusi hicho hakina Ubongo kama wewe mwenye ubongo mfu (defunct grey matter/ brain).
Sasa nimeelewa chizi ninayejibishana naye hapa bila ya shaka yoyote.

Nimekupa nafasi nzuri kabisa, tena bila ya hiana yoyote, kwa dhamira safi uonyeshe kuwa wewe ni mtu mwenye ufahamu na mtu ninayeweza kujadiliana naye kwenye mjadala.. Sasa angalia uchafu uliouacha hapa!

Mkuu, wewe hata 'ubongo' humo ndani ya fuvu haumo kabisa, ni tope tu zimejaa humo.

Hovyo kabisa.
 
Nimekupa nafasi nzuri kabisa, tena bila ya hiana yoyote, kwa dhamira safi uonyeshe kuwa wewe ni mtu mwenye ufahamu na mtu ninayeweza kujadiliana


Umenipa nafasi kwani mimi nilikuomba hiyo nafasi??! au leo wewe umejipa wadhifa wa kugawa nafasi?!!.

Nijadiliane na wewe kitu gani??, mtu anaweza kujadiliana easily na Corona virus lakini sio na wewe mjivuni mwenye kiburi mwenye elimu na uelewa zero²..

Kaput² weee.
 
Umenipa nafasi kwani mimi nilikuomba hiyo nafasi??! au leo wewe umejipa wadhifa wa kugawa nafasi?!!.

Nijadiliane na wewe kitu gani??, mtu anaweza kujadiliana easily na Corona virus lakini sio na wewe mjivuni mwenye kiburi mwenye elimu na uelewa zero²..

Kaput² weee.
EeeeHeeee!
Nimekwishajua wewe ni kiazi, sasa unataka lipi la ziada?
 
Back
Top Bottom