Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Usiku wote huu hujalala unawaza taasisi zenye mishahara minene huku wenzako "wahindi " wakiwaza kufungua taasisi kama hizo.1.Osha
2.NIMR
3.Oshen Road
4.NashCop
5.MOI
6.NACP
NB: uzi uliokuepo hakuongelea sana taasisi za Afya
Hahahaha 😁Usiku wote huu hujalala unawaza taasisi zenye mishahara minene huku wenzako "wahindi " wakiwaza kufungua taasisi kama hizo.
Baada ya hapo uanze kuilaumu serikali????
wanalipaje hao? any kada , scientist...BSc, Masters, PhD ..... and other cadres2.NIMR
We jamaa una mdomo khaaahUsiku wote huu hujalala unawaza taasisi zenye mishahara minene huku wenzako "wahindi " wakiwaza kufungua taasisi kama hizo.
Baada ya hapo uanze kuilaumu serikali????
Taasisi ganMikubwa,Shilingi ngapi KWA mwezi?
yaan huyu jamaa ana mdomo😂😂Hahahaha 😁
kuanzia 1.5 kupanda….wanalipaje hao? any kada , scientist...BSc, Masters, PhD ..... and other cadres
anyway, sijui hasa but I have a vast experience with that institution.........kuanzia 1.5 kupanda….
Hatariiiiii 😂 Ogopaaa😁kuanzia 1.5 kupanda….
1.5M mshahara mkubwa?kuanzia 1.5 kupanda….
comparative analysis1.5M mshahara mkubwa?
🤣🤣🤣🤣🤣Usiku wote huu hujalala unawaza taasisi zenye mishahara minene huku wenzako "wahindi " wakiwaza kufungua taasisi kama hizo.
Baada ya hapo uanze kuilaumu serikali????
wafafunzi wanaofeli form 4 ndio wanakwenda ualimu ndiyo maana unadharaulika! Finland highest marks ndio wanakwenda kwenye ualimuNa sisi walimu je?
Kuna watu wanalipwa laki na ½1.5M mshahara mkubwa?
Mbona mimi nina div 2 pcb advance na nimesoma ualimu? 😄😄walimu wanaofeli form 4 ndio wanakwenda ualimu ndiyo maana unadharaulika! Finland highest marks ndio wanakwenda kwenye ualimu