Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Siyo kweli.Kuna scale za mshahara za Serikali zipo standard.Labdq uajiriwe Kwa Mkataba kama Consultant au mtekeleAjo wa Mradi.Kama upo MoH grade yako ni Ile Ile,kama unaingia Mradi kama NACP au NTLP itaongezeka Posho ya Kazi Tu.Mshahara itabaki wa scale yako.
 
Siyo kweli.Kuna scale za mshahara za Serikali zipo standard.Labdq uajiriwe Kwa Mkataba kama Consultant au mtekeleAjo wa Mradi.Kama upo MoH grade yako ni Ile Ile,kama unaingia Mradi kama NACP au NTLP itaongezeka Posho ya Kazi Tu.Mshahara itabaki wa scale yako.
Scale haziko standard mzee..Daktari anaye fanya kazi Muhimbili anayo scale tofauti ya mshahara na yule Daktari anayefanya kazi hospitali ya mkoa ama hospitali ya wilaya ama Kituo cha afya. Yule wa muhimbili salary yake ni kubwa. Sijazungumzia posho.
 
Scale haziko standard mzee..Daktari anaye fanya kazi Muhimbili anayo scale tofauti ya mshahara na yule Daktari anayefanya kazi hospitali ya mkoa ama hospitali ya wilaya ama Kituo cha afya. Yule wa muhimbili salary yake ni kubwa. Sijazungumzia posho.
Kweli kabisa maana muhimbili inajiendeshwa kama specilised hospital
 
Siyo kweli.Kuna scale za mshahara za Serikali zipo standard.Labdq uajiriwe Kwa Mkataba kama Consultant au mtekeleAjo wa Mradi.Kama upo MoH grade yako ni Ile Ile,kama unaingia Mradi kama NACP au NTLP itaongezeka Posho ya Kazi Tu.Mshahara itabaki wa scale yako.
Si kweli mkuu Taasisi zinamishara hake
Mtu anafanya Moi labda n nesi ni tofauti naww unaedanya KINTINKU dispensary
 
Kwa muonekano wa mpauko niliouona pale OSHA kwa wale wamama, OSHA hakuna mishahara. Kuna kipindi walikuja ofisini kwangu ndio nilipowajua, wakatafuta makosa ya michongoo nikawapoza na 20k, wakalalamika kwamba wako watatu nikawaongeza 10k.
Nawakumbuka kwa majina na picha zao maana hawakujua ofisini kwangu Kuna camera.
 
Back
Top Bottom