Hawa ndio wanalipwa na sio huko kwingineko anakosema mleta mada. Mimi nimekaa Ocean Road kwa miaka kadhaa, Oncologist (Specialist wa Cancer) hafiki 2m.Kuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio wanalipwa na sio huko kwingineko anakosema mleta mada. Mimi nimekaa Ocean Road kwa miaka kadhaa, Oncologist (Specialist wa Cancer) hafiki 2m.Kuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Mleta mada chenga tu yani anaongelea salary ya mwalimu wa chekechea 1.5Hawa ndio wanalipwa na sio huko kwingineko anakosema mleta mada. Mimi nimekaa Ocean Road kwa miaka kadhaa, Oncologist (Specialist wa Cancer) hafiki 2m.
Labda sasa hivi mishahara wapandishe ile Ocean Road ni pa kawaida tu, kule Taasisi ya Moyo pazuri, kuanzia waajiriwa mpaka vibarua.Mleta mada chenga tu yani anaongelea salary ya mwalimu wa chekechea 1.5
Labda 12MEti, mishahara mikubwa ni sh ngapi?
Mkuuu umelewa??Muulize kuna anaelipwa 200M kwa Mwezi kwenye hizo taasisi km hakuna uzi ufungwe tu tunachoshana hapa
Misharahara mikubwa maana yake kazi moja mshahara tofauti. Afu wote mpo serikaliniLabda 12M
We mwanamke achaga bangi hapa naongelea taasisi za serikaliMleta mada chenga tu yani anaongelea salary ya mwalimu wa chekechea 1.5
Hamna lolote hapa usidanganye watuMisharahara mikubwa maana yake kazi moja mshahara tofauti. Afu wote mpo serikalini
AloooHawa ndio wanalipwa na sio huko kwingineko anakosema mleta mada. Mimi nimekaa Ocean Road kwa miaka kadhaa, Oncologist (Specialist wa Cancer) hafiki 2m.
Nionyeshe hata 1 hapo ambayo mwajiriwa analipwa 200M kwa Mwezi maana hio kwangu ndio Pesa kubwa ambayo kuna wasanii fulani wanaweza kusaini deal kwa siku 1 ikajaa zaidi ya hio nazungumzia siku 1 sio Mwezi 1Mkuuu umelewa??
kiirefu chake na wanaanzia sh ngapKuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Hiyo imeendaOshen road ukiwa na maana ya Ocean road?..haa haaaa
Basi jisomee uzi unamaana gan !!Nionyeshe hata 1 hapo ambayo mwajiriwa analipwa 200M kwa Mwezi maana hio kwangu ndio Pesa kubwa ambayo kuna wasanii fulani wanaweza kusaini deal kwa siku 1 ikajaa zaidi ya hio nazungumzia siku 1 sio Mwezi 1
Naomba nifike hata oficini kwako nifanye hata usafi mkuuKwa muonekano wa mpauko niliouona pale OSHA kwa wale wamama, OSHA hakuna mishahara. Kuna kipindi walikuja ofisini kwangu ndio nilipowajua, wakatafuta makosa ya michongoo nikawapoza na 20k, wakalalamika kwamba wako watatu nikawaongeza 10k.
Nawakumbuka kwa majina na picha zao maana hawakujua ofisini kwangu Kuna camera.
Kwahiyo huu ndio unaona ni mshahara mkubwa..😳kuanzia 1.5 kupanda….
Kwa taasisi au kwa serikalini ni mkubwaKwahiyo huu ndio unaona ni mshahara mkubwa..😳
Nicheki pm tukapige kazi.Kama upo veri tafu na ni jasiri kuna sekta ya uafisa kwenye mapori ya Longido ipo wazi�
hospital ya kansaKwanza mshahara wanasema haijawahi kutosha.
Osheni Road ndo wapi huko?
mi mwenyewe naiweza hiyoNicheki pm tukapige kazi.