Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #101
Shi ngapMbna JKCI ndo wanalipwa vizuri mnoo, nilivyopataa nyepesi nyepesii. Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shi ngapMbna JKCI ndo wanalipwa vizuri mnoo, nilivyopataa nyepesi nyepesii. Lol
Elewa swali taasisi za serikaliNimeamua kukupuuza tu
Dah ww jamaa bhana 😂Usiku wote huu hujalala unawaza taasisi zenye mishahara minene huku wenzako "wahindi " wakiwaza kufungua taasisi kama hizo.
Baada ya hapo uanze kuilaumu serikali????
1.5M mshahara mkubwa
Kuwa cardiologist balaa sana, ila watu wanafanikiwaga 😅Kuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Najuta kupiga kelele darasani.....😹Kuwa cardiologist balaa sana, ila watu wanafanikiwaga 😅
Guys me ni jobless, bado nasoma ila nataka kuchangia kidogo, kuna ndugu yangu ni mwalimu wa IST, sijajua mshahara wake lakini anamjengo mkali sana ghorofa na ndinga (subaru forester), yeyote anayejua wale walimu wanalipwa kiasi gani atutonye aisee 😅...
Wanalipwa parefu ila kuhsu kumiliki magorofa kawaida kwa sababu unavyolipwa zaidi unakuwa na leverage kubwa ya kupata mkopo ...Mfano mtu analipwa milion 5 basi anaweza kupata mkopo zaidi kuliko wa mil 3.Guys me ni jobless, bado nasoma ila nataka kuchangia kidogo, kuna ndugu yangu ni mwalimu wa IST, sijajua mshahara wake lakini anamjengo mkali sana ghorofa na ndinga (subaru forester), yeyote anayejua wale walimu wanalipwa kiasi gani atutonye aisee 😅...
Kama IHIIvi mazee kuanzisha taasisi kama NIMR ila private inaezekana?
Kama wapo wa pili kwenye list itakuwa na hela sana🤫
Huu ndio mshahara mkubwa?kuanzia 1.5 kupanda….
Kumbe IHI ni private!? EbhanaaaahKama IHI
heeHuu ndio mshahara mkubwa?
kirefu chakeKumbe IHI ni private!? Ebhanaaaah
kirefu ni nnKama IHI
Ifakara Health Institute....... ni Trust kwa sasa ya tafiti mbalimbali ikirefu chake