Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Guys me ni jobless, bado nasoma ila nataka kuchangia kidogo, kuna ndugu yangu ni mwalimu wa IST, sijajua mshahara wake lakini anamjengo mkali sana ghorofa na ndinga (subaru forester), yeyote anayejua wale walimu wanalipwa kiasi gani atutonye aisee 😅...
 
Guys me ni jobless, bado nasoma ila nataka kuchangia kidogo, kuna ndugu yangu ni mwalimu wa IST, sijajua mshahara wake lakini anamjengo mkali sana ghorofa na ndinga (subaru forester), yeyote anayejua wale walimu wanalipwa kiasi gani atutonye aisee 😅...

Subaru Forester? Ya mwaka gani hiyo ndinga kali??
 
Guys me ni jobless, bado nasoma ila nataka kuchangia kidogo, kuna ndugu yangu ni mwalimu wa IST, sijajua mshahara wake lakini anamjengo mkali sana ghorofa na ndinga (subaru forester), yeyote anayejua wale walimu wanalipwa kiasi gani atutonye aisee 😅...
Wanalipwa parefu ila kuhsu kumiliki magorofa kawaida kwa sababu unavyolipwa zaidi unakuwa na leverage kubwa ya kupata mkopo ...Mfano mtu analipwa milion 5 basi anaweza kupata mkopo zaidi kuliko wa mil 3.
 
Back
Top Bottom