BEZO
JF-Expert Member
- Jul 15, 2023
- 1,770
- 4,449
we si ulichagua Ualimu.Kuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we si ulichagua Ualimu.Kuna JKCI hawa watu I wish I kudu be cardiologist....
Hapana mie afandewe si ulichagua Ualimu.
😁Kwa muonekano wa mpauko niliouona pale OSHA kwa wale wamama, OSHA hakuna mishahara. Kuna kipindi walikuja ofisini kwangu ndio nilipowajua, wakatafuta makosa ya michongoo nikawapoza na 20k, wakalalamika kwamba wako watatu nikawaongeza 10k.
Nawakumbuka kwa majina na picha zao maana hawakujua ofisini kwangu Kuna camera.
Ndiyo ila haitakuwa ya taifa itakuwa yako. Means all establishments costs and operating cost utazibeba wewe.Ivi mazee kuanzisha taasisi kama NIMR ila private inaezekana?
Kama wapo wa pili kwenye list itakuwa na hela sana🤫
NGO za afya zinalipa zaidi ya hiyokuanzia 1.5 kupanda….
Division 2 ni highest marks?Mbona mimi nina div 2 pcb advance na nimesoma ualimu? 😄😄
siyo serikali sasaNGO za afya zinalipa zaidi ya hiyo
AlooNdiyo ila haitakuwa ya taifa itakuwa yako. Means all establishments costs and operating cost utazibeba wewe.
ilikuaje au gar iliacha rami?Mbona mimi nina div 2 pcb advance na nimesoma ualimu? 😄😄
kichwa kinaumaKuna watu wanalipwa laki na ½
Tupe desaanyway, sijui hasa but I have a vast experience with that institution.........
Kwa mujibu wako, umesema walimu wanaenda waliofeli, nimekuuliza kwa mtazamo wako kama Two ni kufeli utakua sahii.Division 2 ni highest marks?
Aliongelea na mifano kuwa wengine huchukua highest pass akatoa na mifano ya nchibndipo Nami nikauliza hivi division 2 anayeenda ualimu ni highest pass?Kwa mujibu wako, umesema walimu wanaenda waliofeli, nimekuuliza kwa mtazamo wako kama Two ni kufeli utakua sahii.
😎Aliongelea na mifano kuwa wengine huchukua highest pass akatoa na mifano ya nchibndipo Nami nikauliza hivi division 2 anayeenda ualimu ni highest pass?
NASHCOP na NACP tofauti yake nini?1. Osha
2. NIMR
3. Oshen Road
4. NashCop
5. MOI
6. NACP
7. TMDA
8.Muhimbili
9.Benjamini Mkapa hospital
10.MSD
Kama kuna zingine ongezea
NB: uzi uliokuepo hakuongelea sana taasisi za Afya
Pia soma: Ajira zenye mishahara mikubwa kama milioni 7 na kuendelea huwa hazitangazwi
Mishahara mikubwa ndio sh ngapi?1. Osha
2. NIMR
3. Oshen Road
4. NashCop
5. MOI
6. NACP
7. TMDA
8.Muhimbili
9.Benjamini Mkapa hospital
10.MSD
Kama kuna zingine ongezea
NB: uzi uliokuepo hakuongelea sana taasisi za Afya
Pia soma: Ajira zenye mishahara mikubwa kama milioni 7 na kuendelea huwa hazitangazwi
Eti, mishahara mikubwa ni sh ngapi?Hamjui tu kulaleki
Sasa hio Bandari pale si wanalipwa wale wanaobeba Foko lift mboni kawaida tukuanzia 1.5 kupanda….
Muulize kuna anaelipwa 200M kwa Mwezi kwenye hizo taasisi km hakuna uzi ufungwe tu tunachoshana hapaEti, mishahara mikubwa ni sh ngapi?