Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Kwa muonekano wa mpauko niliouona pale OSHA kwa wale wamama, OSHA hakuna mishahara. Kuna kipindi walikuja ofisini kwangu ndio nilipowajua, wakatafuta makosa ya michongoo nikawapoza na 20k, wakalalamika kwamba wako watatu nikawaongeza 10k.
Nawakumbuka kwa majina na picha zao maana hawakujua ofisini kwangu Kuna camera.
😁
 
Back
Top Bottom