Dogo you don’t know kabisa unachoandika1. Osha
2. NIMR
3. Ocean Road
4. NashCop
5. MOI
6. NACP
7. TMDA
8.Muhimbili
9.Benjamini Mkapa hospital
10.MSD
11.Jakaya kikwete Cardiac Institute (JKCI)
12.
13.
Kama kuna zingine ongezea
NB: uzi uliokuepo hakuongelea sana taasisi za Afya.Taasisi za serikali Usitoke nje ya Rada
Pia soma: Ajira zenye mishahara mikubwa kama milioni 7 na kuendelea huwa hazitangazwi
Procurement kaka kupata kazi ndio mzikiDogo you don’t know kabisa unachoandika
Sekta ya afya haina mishahara mizuri
Hebu rudi shule tu uachane na sekta ya afya
Kasome hata procurement
Na yenyewe ni taasisi ya afya?Naskia TANAPA wanakunja parefu
Wanaojielewa...sie useless tunapeleka waliofeliwalimu wanaofeli form 4 ndio wanakwenda ualimu ndiyo maana unadharaulika! Finland highest marks ndio wanakwenda kwenye ualimu
Afya ya wanayama poriNa yenyewe ni taasisi ya afya?
Ebo! Yaani nisome miaka 7 sijui 9 alafu nisilipwe mshahara take home wa million 45!!?? Sii bora nikaendeshe boda bodaDogo you don’t know kabisa unachoandika
Sekta ya afya haina mishahara mizuri
Hebu rudi shule tu uachane na sekta ya afya
Kasome hata procurement
Hiyo 45m ni kwa saa au kwa siku?Ebo! Yaani nisome miaka 7 sijui 9 alafu nisilipwe mshahara take home wa million 45!!?? Sii bora nikaendeshe boda boda
Kwa mwezi bwana weweHiyo 45m ni kwa saa au kwa siku?
Mkubwa ukilinganisha na sisi walinzi tunaolipwa elfu themanini kwa mwezi tena tarehe 50 au 55.....1.5M ndo mshahara mkubwa?
🤣🤣🤣🤣Mungu anakuona cute🤣🙌Mleta mada chenga tu yani anaongelea salary ya mwalimu wa chekechea 1.5
Nan anakulipa hio 45 mEbo! Yaani nisome miaka 7 sijui 9 alafu nisilipwe mshahara take home wa million 45!!?? Sii bora nikaendeshe boda boda
Mlungu sio mwafrica maana waafrica roho zao mbayaNan anakulipa hio 45 m
Hivi mshahara mkubwa ndio shilingi ngapi?
kama hiyo ni baada ya makato basi ni hela kubwa kwa kweli, maana kuna taasisi zingine hiyo ndio hela anapokea manager tena ni gross, ikipata makato anabakiwa na kama 2.1m hvi. taabu kweli kweliKuna taasisi hapo ukijumlisha mshahara (take home), posho ya masaa ya ziada, posho ya Ustawi, na activity unapokea wastani wa 3.5 M kwa afisa asiye na activities nyingi.
Mbona nimefafanua vizuri mkuu??kama hiyo ni baada ya makato basi ni hela kubwa kwa kweli, maana kuna taasisi zingine hiyo ndio hela anapokea manager tena ni gross, ikipata makato anabakiwa na kama 2.1m hvi. taabu kweli kweli