Hizi ni baadhi ya comments za members wa JF zilizonivutia sana

Hizi ni baadhi ya comments za members wa JF zilizonivutia sana

Screenshot_20231004-091614.jpg
 
Hi guys....yeah sawa na kichwa cha habari hapo juu, hizi hapa ni baadhi ya comments ambazo zilinivutia sana kutoka kwa members mbali mbali wa jf.....


1) Ukitaka kuiharibu jamii yoyote mwache mwanamke awe sehemu ya maamuzi ya mwisho. Mwanamke ni mshauri mzuri ila sio muamuzi mzuri.yeye anafanya maamuzi pale mguu wake ulipokanyaga tu siyo zaidi ya hivyo.Wanawake wanaharibu mambo wanaume wanarekebisha mambo. Ndivyo tulivyoumbwa.


2)Mwanamke, mbwa na paka ndio viumbe pekee vinavyopendwa "unconditionally". Mwanaume anapendwa kwa condition kwamba kuna kitu anaweza ku provide" -

3)Kwenye maisha kumbuka jambo moja, wenzako wanapoleta mezani chakula halafu wewe huleti, inawezekana wewe ukawa ndiyo chakula chenyewe. Duniani hakuna kitu cha bure ukiona unatumia kitu cha bure, inawezekana wewe ndiyo ukawa bidhaa yenyewe.

4)Kadri unavyokaa na kitu moyoni ndivyo kinavyokutafuna taratibu.

5)Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit).





6)Walioamua kupenda wana amani kuliko waliopenda, aloamua kupenda anajua alieamua kumpenda na kwanini ameamua kumpenda.

7)kinachomuumiza binadamu ni hisia zake mwenyewe na sio uhalisia wa vitu.

8)Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndie fursa


9)Ukiletewa Kesi yoyote na Mwanamke iwe NI mama yako, au MKE wako, au Binti yako, au Mama Mkwe wako, shangazi au Bibi yako, nakusihi usiiendee kichwakichwa! Utakwama! Utaangukia pua.

Kwanza elewa kuwa Wanawake hawapo kwaajili ya HAKI isipokuwa wapo kwaajili ya UPENDELEO. Ukishalijua hilo basi moja Kwa moja utakuwa Makini kwenye kesi za Dada zetu, Mama zetu, mabinti zetu na Wake zetu.

10)Small habits leads to big changes
(small mistakes leads to big consequences)

11)Ukiona watu wameamua kufunga ndoa ujue wamekubaliana na madhaifu yao...

12)Wanaume hawaoi kwa ajili ya kutafuta furaha, hilo siyo lengo la ndoa kwa wanaume. Lengo kuu ni kuendeleza kizazi.

Wanawake wanaolewa kutafuta furaha. Ndoa kwa mwanamke ni furaha kubwa sana sana.
Unaweza usiteswe na mapenzi. Mwanzoni yakakutesa unafamilia na watoto au yakakutesa umeshaanza kukata nguvu.


zipo nyingi ila hizi ni baadhi tu ambazo mimi zilinivutia sana....

najua kuna comments ambazo hata wewe zilikukosha tiririka hapo tuone.🙌🙌🙌
Mbona umemtaja sana "mwanamke" Wewe ni shoga?

nijuavyo, asiyependa mwanamke ni shoga tu.
 
Mbona umemtaja sana "mwanamke" Wewe ni shoga?

nijuavyo, asiyependa mwanamke ni shoga tu.
hizi ni comments za watu kwenye mada tofauti....nilizipenda kutokana na mada husika.

napenda sana wanawake..ila sipendi ukike
 
Mi wananifurahisha wale contributors wa kwenye jukwaa la kutafuta wapenzi sijui kama kuna mtu kafanikiwa kule kila mleta uzi anakuja na ID mpya lakini haisadii mwishon huwa wanakimbia uzi zao
 
Kumbe sio peke yangu, ambayo huwa nascreenshot comment za JF, nina bundles la comments za JF mchanganyiko za Siasa, Intelligence, michezo, History, celebrities.. Jamiiforums bhn ni shule tosha, tangu nijiunge nayo nimekuwa nondo sana kichwani katika nyanja mbalimbali International issues, siasa, History, michezo n. K
 
Kumbe sio peke yangu, ambayo huwa nascreenshot comment za JF, nina bundles la comments za JF mchanganyiko za Siasa, Intelligence, michezo, History, celebrities.. Jamiiforums bhn ni shule tosha, tangu nijiunge nayo nimekuwa nondo sana kichwani katika nyanja mbalimbali International issues, siasa, History, michezo n. K
Hongera mkuu!
 
Screenshot_20231005-223834.png


Kwenye thread hii nilipata kuona comments nyingi sana
Zilizonivutia zikimjibu bwana Mpwayungu Village juu ya hoja yake.

Nazishusha one after another
 
Back
Top Bottom