Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Basi sameheaneni yaisheAnapenda kuandika utumbo namheshimje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sameheaneni yaisheAnapenda kuandika utumbo namheshimje?
Hakika hadi mimi huwa zinanisaidia kuni uplift.....jf kuna watu smart sanaKumbe sio peke yangu, ambayo huwa nascreenshot comment za JF, nina bundles la comments za JF mchanganyiko za Siasa, Intelligence, michezo, History, celebrities.. Jamiiforums bhn ni shule tosha, tangu nijiunge nayo nimekuwa nondo sana kichwani katika nyanja mbalimbali International issues, siasa, History, michezo n. K
Hii ID ya "Buenos Aires" itakuwa ni wewe Faizafoxy una jijibu mwenyewe.Basi sameheaneni yaishe
tuachane na hayo mkuu....yashapita🙌🙌Wewe umejuwaje ana chuki!
Cooments za wadau sasa.View attachment 2773047
Kwenye thread hii nilipata kuona comments nyingi sana
Zilizonivutia zikimjibu bwana Mpwayungu Village juu ya hoja yake.
Nazishusha one after another
Nenda direct
Mwanamke hatakiwi kuwa mtu wa mwisho na muamuzi ktk kundi la watu na jinsi zote, yaan kiufupi mwanamke hatakiwi kuwa Msemaji kwa wanaume, sio ubinafsi ama ubaguzi, iko hivyo kiasili na kidemokrasia mwanamke ni mtu wa kufuata maamuzi ya mwanaume.
Hawa walioleta haya mambo ya usawa wa kijinsia huko kwao hayapo haya mambo, wanaongozwa kiume tu.
Siku nikimuona Rais wa USA ni mwanamke ndipo nitaamini kuwa Kweli kuna usawa kati ya mwanamke na mwanaume[emoji23].
😀ile comment uliandikaga wewe nini mkuu.Nenda direct
Mwanamke hatakiwi kuwa mtu wa mwisho na muamuzi ktk kundi la watu na jinsi zote, yaan kiufupi mwanamke hatakiwi kuwa Msemaji kwa wanaume, sio ubinafsi ama ubaguzi, iko hivyo kiasili na kidemokrasia mwanamke ni mtu wa kufuata maamuzi ya mwanaume.
Hawa walioleta haya mambo ya usawa wa kijinsia huko kwao hayapo haya mambo, wanaongozwa kiume tu.
Siku nikimuona Rais wa USA ni mwanamke ndipo nitaamini kuwa Kweli kuna usawa kati ya mwanamke na mwanaume[emoji23].
Majina yao sikumbuki mkuu....nilikuwa nawa-quote tu...Acha ujinga, ulitakiwa uandike na majina yao kwa chini baada ya kuwa-quote ili uwaoneshe heshima yao.
Fanya editing basi tuwajue tuwape heshima zao
Ahh! Sasa ulizipata wapi mpaka ukaja kuzifungulia uzi?! Au ulikuwa ukikutana nazo una-copy unaenda ku-paste mahali unahifadhi ukiwa na mipango ya kufungulia uzi siku moja?Majina yao sikumbuki mkuu....nilikuwa nawa-quote tu...
ila wenyewe nafikiri wakija watasema comments zao then nita edit upya
Yap aliongea chris rock kama sikosei....ila kuna mtu ali-qoute humu ndo nikaichukuaNo 2 ni famous quotes...haikutoka jf