Hizi ni biashara zilizovuma sana enzi zake lakini kwa sasa zimebaki Historia

Hizi ni biashara zilizovuma sana enzi zake lakini kwa sasa zimebaki Historia

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
1. Biashara ya kuuza vocha za simu;
2. Biashara ya vibanda vya kupiga simu;
3. Biashara kutembea na Camera kupiga picha;
4. Biashara ya Disco vumbi;
5. Biashara ya Kuonesha Video (VHS);
6. Kusoma mita za Umeme (japo hii haikuwa biashara bali ajira)
7. Biashara ya kuchezesha Joyce Wowowo;

Ongeza na uzijuazo na unazohisi nazo zitapita kama upepo.
 
Kwenye sherehe za Sabasaba, Nanenane, Krismasi, Eid na Pasaka tulipigwa kweli kweli miaka ileeee! [emoji16][emoji16]

Screenshot_20230424_222307_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom