Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha... Ukiwa na Camera Aina ya Yashica au Konica....Kutembea na camera kupiga picha dah. Kitambo sana[emoji16]
Hahahhaha enzi hizo majengo dom kule wanapokusanya mazao basi wakulima wakileta mazao yao hapo unamuuzia simu ya kichina, memory card na kumuekea nyimbo 100 huku unamwambia nakuongezea 20 wateja kama wote na kiduka changu cha simu za kichina walivokuja kuzizima sasa doookkhWaingiza nyimbo kwenye memory card nyimbo moja 100 aisee tumetoka mbali
[emoji3][emoji3][emoji3]...wanaitaga batikiBiashara ya kuchovya jeans...
Nimekumbuka mbali...Kwenye sherehe za Sabasaba, Nanenane, Krismasi, Eid na Pasaka tulipigwa kweli kweli miaka ileeee! [emoji16][emoji16]
View attachment 2598748
Voucher za simu Badozipo,tigo,Airtel,Vodacom au unamaanisha nini?!!!1. Biashara ya kuuza vocha za simu;
2. Biashara ya vibanda vya kupiga simu;
3. Biashara kutembea na Camera kupiga picha;
4. Biashara ya Disco vumbi;
5. Biashara ya Kuonesha Video (VHS);
6. Kusoma mita za Umeme (japo hii haikuwa biashara bali ajira)
7. Biashara ya kuchezesha Joyce Wowowo;
Ongeza na uzijuazo na unazohisi nazo zitapita kama upepo.
Hapa tutakuelewa wachache labda uwafafanulie...Kwenye sherehe za Sabasaba, Nanenane, Krismasi, Eid na Pasaka tulipigwa kweli kweli miaka ileeee! [emoji16][emoji16]
View attachment 2598748
Sio kwa vibe kama lilivyokuwa mkuuVVo
Voucher za simu Badozipo,tigo,Airtel,Vodacom au unamaanisha nini?!!!
Nimecheka hadi baaasi!!Biashara ya kuchovya jeans...
zipo nilikutana nazo mwanza nilishanga sanaKiwanda cha kutengeneza buluu (kwaajili ya nguo nyeupe.) Nadhani hata formula walishasahau