Hizi ni biashara zilizovuma sana enzi zake lakini kwa sasa zimebaki Historia

Waingiza nyimbo kwenye memory card nyimbo moja 100 aisee tumetoka mbali
Hahahhaha enzi hizo majengo dom kule wanapokusanya mazao basi wakulima wakileta mazao yao hapo unamuuzia simu ya kichina, memory card na kumuekea nyimbo 100 huku unamwambia nakuongezea 20 wateja kama wote na kiduka changu cha simu za kichina walivokuja kuzizima sasa doookkh
 
VVo
Voucher za simu Badozipo,tigo,Airtel,Vodacom au unamaanisha nini?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…