By proffessional. Ila mm ni muelewa tu. Ukielewa wadhani iko shida??? HAKUNAGA. Ndo maana sisi tunasemaga KUSOMA ni KUELEWA....kama mtu kasoma tu na elimu yake haijakidhi dhana kuwa elimu ni ufunguo wa maisha, basi kasoma nini??? MM NI MUELEWA, Ninazo funguo za maswali ya maisha..na pia naweza kumsoma mtu kwa life-style yake tu.
Ila sasa pamoja na utambuzi huu, nimekuwa nikipenda tabia ya binadamu yenye uthubutu sahihi, kwa shabaha sahihi.
Kwa asili tu wanaume tunaweza, ila wapo ME wasioweza hata ivo hatuwapatilizi. Tunachojua...mwanamke ni dhaifu, ndio maana tumeweka haki zenu nyingi tu na upendeleo mkubwa tu ili kuwapaisha...mchangamke(sababu ninyi nu chachu yaulimwengu, haipendezimuwe wanyonge ilhali ninyi ni morali wetu).
Kwa sababu hiyo...mm binafsi, cku zote humtupia jicho mwanamke. Nafurahia xana kuona KE akijieleza kwa ufasaha bila kupepesa kwa dhana iliyosahihi, ktk kujitetea, kuelimisha ama kuburudisha. Nipo kama mwanaharakati kwa ukombozi wa mwanamke...AWEZE KUJUA NINI KIPO MBELE YAKE, NA NIN AFANYE...ili aishi maisha ya amani na furaha ktk hii dunia ya mola. MWANAMKEA JITAMBUE, aache mwendo wakusita sita.
Nyota ya kike dizaini yako...ndo naipenda mim(Nyota ya moto hiyo). Jinsi tulivyobadilishana maneno, mm nimevutiwa na uelewa wako. WAWEZA KUWA MSAADA KWA YEYOTE MWINGINE..kama hatakuwa mvivu wa kujifunza. NYOTA YAKO INA USTAWI MPANA WA MAISHA...ukiipata nyota pacha ya kiume...dunia ni PARADISE.