Hizi ni dalili kwamba mwanamke wako anatoka nje ya mahusiano, kuwa mwangalifu

Hizi ni dalili kwamba mwanamke wako anatoka nje ya mahusiano, kuwa mwangalifu

asent miss! Kwa jibu ulilonipa pale, smart, sharp, short & clear...i like it. Nahisi wewe hunaga longo longo...unanyoosha tu mistari, mtu aamue kusuka ama kunyoa. Uzuri tu umenionesha kuwa u'muelewa. Inafaa wa ubavu wako awe muelewa pia, akiwa mnyonge...utamnyonga. Umpate mume muelewa kama(mfanane), ila akuzidi kwa ajili ya nature(kuumbwa mwanaume). Itakuwa nzuri xana.

ndugu we ni mwanasaikolojia? U say something like true but not tru but it is
 
ndugu we ni mwanasaikolojia? U say something like true but not tru but it is

By proffessional. Ila mm ni muelewa tu. Ukielewa wadhani iko shida??? HAKUNAGA. Ndo maana sisi tunasemaga KUSOMA ni KUELEWA....kama mtu kasoma tu na elimu yake haijakidhi dhana kuwa elimu ni ufunguo wa maisha, basi kasoma nini??? MM NI MUELEWA, Ninazo funguo za maswali ya maisha..na pia naweza kumsoma mtu kwa life-style yake tu.

Ila sasa pamoja na utambuzi huu, nimekuwa nikipenda tabia ya binadamu yenye uthubutu sahihi, kwa shabaha sahihi.

Kwa asili tu wanaume tunaweza, ila wapo ME wasioweza hata ivo hatuwapatilizi. Tunachojua...mwanamke ni dhaifu, ndio maana tumeweka haki zenu nyingi tu na upendeleo mkubwa tu ili kuwapaisha...mchangamke(sababu ninyi nu chachu yaulimwengu, haipendezimuwe wanyonge ilhali ninyi ni morali wetu).

Kwa sababu hiyo...mm binafsi, cku zote humtupia jicho mwanamke. Nafurahia xana kuona KE akijieleza kwa ufasaha bila kupepesa kwa dhana iliyosahihi, ktk kujitetea, kuelimisha ama kuburudisha. Nipo kama mwanaharakati kwa ukombozi wa mwanamke...AWEZE KUJUA NINI KIPO MBELE YAKE, NA NIN AFANYE...ili aishi maisha ya amani na furaha ktk hii dunia ya mola. MWANAMKEA JITAMBUE, aache mwendo wakusita sita.

Nyota ya kike dizaini yako...ndo naipenda mim(Nyota ya moto hiyo). Jinsi tulivyobadilishana maneno, mm nimevutiwa na uelewa wako. WAWEZA KUWA MSAADA KWA YEYOTE MWINGINE..kama hatakuwa mvivu wa kujifunza. NYOTA YAKO INA USTAWI MPANA WA MAISHA...ukiipata nyota pacha ya kiume...dunia ni PARADISE.
 
By proffessional. Ila mm ni muelewa tu. Ukielewa wadhani iko shida??? HAKUNAGA. Ndo maana sisi tunasemaga KUSOMA ni KUELEWA....kama mtu kasoma tu na elimu yake haijakidhi dhana kuwa elimu ni ufunguo wa maisha, basi kasoma nini??? MM NI MUELEWA, Ninazo funguo za maswali ya maisha..na pia naweza kumsoma mtu kwa life-style yake tu.

Ila sasa pamoja na utambuzi huu, nimekuwa nikipenda tabia ya binadamu yenye uthubutu sahihi, kwa shabaha sahihi.

Kwa asili tu wanaume tunaweza, ila wapo ME wasioweza hata ivo hatuwapatilizi. Tunachojua...mwanamke ni dhaifu, ndio maana tumeweka haki zenu nyingi tu na upendeleo mkubwa tu ili kuwapaisha...mchangamke(sababu ninyi nu chachu yaulimwengu, haipendezimuwe wanyonge ilhali ninyi ni morali wetu).

Kwa sababu hiyo...mm binafsi, cku zote humtupia jicho mwanamke. Nafurahia xana kuona KE akijieleza kwa ufasaha bila kupepesa kwa dhana iliyosahihi, ktk kujitetea, kuelimisha ama kuburudisha. Nipo kama mwanaharakati kwa ukombozi wa mwanamke...AWEZE KUJUA NINI KIPO MBELE YAKE, NA NIN AFANYE...ili aishi maisha ya amani na furaha ktk hii dunia ya mola. MWANAMKEA JITAMBUE, aache mwendo wakusita sita.

Nyota ya kike dizaini yako...ndo naipenda mim(Nyota ya moto hiyo). Jinsi tulivyobadilishana maneno, mm nimevutiwa na uelewa wako. WAWEZA KUWA MSAADA KWA YEYOTE MWINGINE..kama hatakuwa mvivu wa kujifunza. NYOTA YAKO INA USTAWI MPANA WA MAISHA...ukiipata nyota pacha ya kiume...dunia ni PARADISE.

amen.. thank u sana be blessed
 
Hasa ya kuanzisha ugomvi ni tamu hiyo halafu unajifanya kama umeonewa, unabadili kosa linakuwa lake,wanawake bhana ni balaa!
 
Hizo dalili mzi-update.....

Siku hizi wakavuuuu mpaka ugeuke FBI ndio utagundua

ha ha ha nawapa mbinu 1 zingine watafute...wawe wanakaa mlangoni mke akiingia tu kabla ya yote anapimwa oil make akiwahi maji ya moto kakwepa msala tayari lol...
 
Back
Top Bottom