Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hizo dalili mzi-update.....
Siku hizi wakavuuuu mpaka ugeuke FBI ndio utagundua
Hahahaaaa!!! kauzu zaidi ya dagaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo dalili mzi-update.....
Siku hizi wakavuuuu mpaka ugeuke FBI ndio utagundua
Kama mpaka leo mambo yako ya sirini wayaweka kwa cm..!! U r too old to fit in modern affairs..
nikigundua anatoka nje ya mahusiano nafunga mlango wa kuingilia..
uh!! sio ufunge wa kutokea ili asitoke!!!
Nafunga wa kuingilia wa kutoka atauvunja nikiufunga.. ila wa kuingilia hawezi kuuvunja utakua ni imara sanaa...!!
Mmmmhh imekugusa kunako nini mahondaw
Na mume akiona dalili hizo naye ajitathmini, isijekuwa yeye ndio chanzo.
Ndio maana Mwenyezi MUNGU alituagiza tuishi nao kwa akili sana.........
Point .!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Uaminifu kwenye ndoa utachukua nafasi yake ikiwa wanandoa wenyewe wataamua kutoka ndani ya nyoyo zao kuwa waaminifu....
in general ratiba yake hua inabadilika na care ile kwako inapotea hata hisia zake kwako zinapotea thats why tunasema Women wengi hawawezi kutofautisha love and sex kama wanaume,wao walikofanya sex na akili yao inapeperukia huko huko
Tell tale signs zipo kwa jinsia zote na Wala usijidanganye kwamba wanaume ni mabingwa wa kucheat kuliko wanawake.
mtu akianza kucheat tu basi Tabia yake hubadilika na kufanya mambo yasiyo ya kawaida katika kujaribu cover up. Mfano kubadilisha muonekano wake wa kawaida, kuchelewa kurudi nyumbani, kupeleka vizawadi vya kujizimua na mengine tele.
NO! no kabisa
Hatimaye umeweka picha yako! hahahaaa....!!! miaNO! no kabisa
kabisaaaaaaaa miss chagga