Hizi ni Hesabu zangu ambazo zinanipa Jeuri Kuamini kuwa bado Simba SC hii hii inayochekwa sasa itakuwa tena Bingwa wa NBC Premier League 2021/2022

Hizi ni Hesabu zangu ambazo zinanipa Jeuri Kuamini kuwa bado Simba SC hii hii inayochekwa sasa itakuwa tena Bingwa wa NBC Premier League 2021/2022

Huyu atavaa kiatu cha dhahabu
Screenshot_20220203-171216.jpg
 
Points ( Alama ) Kumi ( 10 ) ambazo Simba SC imezidiwa na Yanga SC zitapunguzwa kwa Hesabu zangu hizi rahisi na ambazo nina uhakika nazo tema wa 100% kabisa....

Simba SC atamfunga Yanga SC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 7.

Yanga SC atafungwa na Azam FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 4.

Yanga SC atatoka Sare na Namungo FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakia Alama 2.

Yanga SC atatoka Sare na Mtibwa Sugar FC mzunguko wa Pili na zitabakia Alama 0 ( nikimaanisha atakuwa Alama sawa na Simba SC ) na hawatoamini.

Yanga SC piga ua kwa sababu zangu Binafsi nina uhakika kuwa atafungwa na KMC FC hivyo atakuwa ameshaachwa na Simba SC kwa Alama 3.

Hakuna Jambo zuri ambalo Simba SC imefanya kama Kujishtukia / Kushtuka mapema kuwa kuna Matatizo baada ya Kufungwa na Mbeya City FC, Kagera Sugar FC na kutoka Sare na Mtibwa Sugar FC mpaka kuamua Kukaa chini Kujitathmini, Kuongea kuyamaliza na Kujisahihisha hivyo kuanzia Mechi ya Leo na Prisons FC ni mwendo wa Vipigo tu kwa Wapinzani mpaka Ubingwa kwani Simba SC yote sasa tumeshaamua kuwa NGUVU MOJA Kudadadeki.
Nguvu moja
 
Ubingwa Kati ya Yanga na Simba kwa yeyote inawezekana kuwa bingwa ,Ila ajabu watu wa yanga washajua wao mpaka saiz Ni Mabingwa kisa gape la point 10 ,wanajisahau kuwa Bado game 17 kwa kila timu hivyo lolote linawezekana.

Lakin Ili Simba awe bingwa zinahitajika juhudi kubwa Sana na wachezaji wafie timu kuanzia dakika ya Kwanza had filimbi ya mwisho.
Kwa ubishoo wa kina Morrison ,bwalya ,kutaka kucheza na majukwaa Simba anaenda kupoteza ubingwa mapema Sana.
Wachezaji wa Simba wengi Wana ubinafsi Sana wa kutoa pass kila mchezaji anataka afunge yeye ,yaan afadhar amerejea chama huenda kukawa na mabadiriko .

Morrison na Sakho Ni wachoyo balaa full ubinafsi.
Bocco na Mugalu ndio takataka kabisa.
Kagere anaweza saidia Kama atakuwa anapata nafas kwa kila game na hizo game chama asikosekane.

Mara nyingi wachezaji wa Simba hucheza game kikawaida Sana lakin zikibak dakika 10 ndio unawaona wanapambana balaa kitu ambacho kinawaongezea pressure na kujikuta wanapoteza.

Game ya leo Simba na Prison ndio itatoa mwelekeo ya Simba ,tunataka tuone Kama kweli timu imebadirika hasa kujituma mwanzo mwisho,kuacha uchoyo hasa kupiga vyenga kwenye hakuna ,je akina bocco Bado wataendelea kuaminiwa na matola ,baada ya game Sasa ndipo ukwe utaanza kujulikana Kama tuwakabidhi tu utopolo kombe lao au Kuna namna ya kupindua kibabe coz huu Ni mpira.

Simba ili awe bingwa kila mechi kwake iwe km fainal ,wachezaji mabishoo ,wapenda sifa waishie benchi had msimu ujao.
 
Points ( Alama ) Kumi ( 10 ) ambazo Simba SC imezidiwa na Yanga SC zitapunguzwa kwa Hesabu zangu hizi rahisi na ambazo nina uhakika nazo tema wa 100% kabisa....

Simba SC atamfunga Yanga SC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 7.

Yanga SC atafungwa na Azam FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 4.

Yanga SC atatoka Sare na Namungo FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakia Alama 2.

Yanga SC atatoka Sare na Mtibwa Sugar FC mzunguko wa Pili na zitabakia Alama 0 ( nikimaanisha atakuwa Alama sawa na Simba SC ) na hawatoamini.

Yanga SC piga ua kwa sababu zangu Binafsi nina uhakika kuwa atafungwa na KMC FC hivyo atakuwa ameshaachwa na Simba SC kwa Alama 3.

Hakuna Jambo zuri ambalo Simba SC imefanya kama Kujishtukia / Kushtuka mapema kuwa kuna Matatizo baada ya Kufungwa na Mbeya City FC, Kagera Sugar FC na kutoka Sare na Mtibwa Sugar FC mpaka kuamua Kukaa chini Kujitathmini, Kuongea kuyamaliza na Kujisahihisha hivyo kuanzia Mechi ya Leo na Prisons FC ni mwendo wa Vipigo tu kwa Wapinzani mpaka Ubingwa kwani Simba SC yote sasa tumeshaamua kuwa NGUVU MOJA Kudadadeki.
Kwaiyo simba yenyewe itashinda zote zilizobakia siyo? Wewe na baba yako kaduguda ni pipa na mfuniko,,,ogopa sana mtu aliezoea kula viporo vya ugali kila siku asubuhi uwa na akili yake inalala, unapiga hesabu za vidole wakati huo timu yako inavizia magoli ya penalt ndo itoboe,
 
Utopolo wanaonekana wameanza kuchoka,timu zitaanza kuwagomea tu vinginevyo mlungula kama walioutoa Mbeya city uendelee.
 
Points ( Alama ) Kumi ( 10 ) ambazo Simba SC imezidiwa na Yanga SC zitapunguzwa kwa Hesabu zangu hizi rahisi na ambazo nina uhakika nazo tema wa 100% kabisa....

Simba SC atamfunga Yanga SC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 7.

Yanga SC atafungwa na Azam FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 4.

Yanga SC atatoka Sare na Namungo FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakia Alama 2.

Yanga SC atatoka Sare na Mtibwa Sugar FC mzunguko wa Pili na zitabakia Alama 0 ( nikimaanisha atakuwa Alama sawa na Simba SC ) na hawatoamini.

Yanga SC piga ua kwa sababu zangu Binafsi nina uhakika kuwa atafungwa na KMC FC hivyo atakuwa ameshaachwa na Simba SC kwa Alama 3.

Hakuna Jambo zuri ambalo Simba SC imefanya kama Kujishtukia / Kushtuka mapema kuwa kuna Matatizo baada ya Kufungwa na Mbeya City FC, Kagera Sugar FC na kutoka Sare na Mtibwa Sugar FC mpaka kuamua Kukaa chini Kujitathmini, Kuongea kuyamaliza na Kujisahihisha hivyo kuanzia Mechi ya Leo na Prisons FC ni mwendo wa Vipigo tu kwa Wapinzani mpaka Ubingwa kwani Simba SC yote sasa tumeshaamua kuwa NGUVU MOJA Kudadadeki.
Kwa UPUUZI huu !!!
Utabiei wako waweza kuwa kweli.
Screenshot_20220203-210502.jpg
Screenshot_20220203-211608.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mikia kweli akili ziko matakoni. Mlinyong'onyea hatari. Mechi hii ya leo tu mmeanza utoto kama kawaida yenu.

Halafu wewe na hizo I'd zako hizo mbili mara uponde mlivyochakazwa na Mbeya city na kudrow na Mtibwa ukaja na ile kutoa ushauri kwa mikia na ile I'd yako ingine. Leo kama kawaida yako umeibuka kivingine na ingine. Pole yako
 
Em mlio karibu mmwagieni Mo energy ile chachu kabisa huyo kolo azinduke ucingizini
 
Ubora wa Yanga msimu huu umelichanganya hili popoma mpka linashindwa kueleweka linaamini nini juu ya mbio za ubingwa 🤣🤣🤣🤣
 
Points ( Alama ) Kumi ( 10 ) ambazo Simba SC imezidiwa na Yanga SC zitapunguzwa kwa Hesabu zangu hizi rahisi na ambazo nina uhakika nazo tema wa 100% kabisa....

Simba SC atamfunga Yanga SC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 7.

Yanga SC atafungwa na Azam FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakoa Alama 4.

Yanga SC atatoka Sare na Namungo FC mzunguko wa Pili hivyo zitabakia Alama 2.

Yanga SC atatoka Sare na Mtibwa Sugar FC mzunguko wa Pili na zitabakia Alama 0 ( nikimaanisha atakuwa Alama sawa na Simba SC ) na hawatoamini.

Yanga SC piga ua kwa sababu zangu Binafsi nina uhakika kuwa atafungwa na KMC FC hivyo atakuwa ameshaachwa na Simba SC kwa Alama 3.

Hakuna Jambo zuri ambalo Simba SC imefanya kama Kujishtukia / Kushtuka mapema kuwa kuna Matatizo baada ya Kufungwa na Mbeya City FC, Kagera Sugar FC na kutoka Sare na Mtibwa Sugar FC mpaka kuamua Kukaa chini Kujitathmini, Kuongea kuyamaliza na Kujisahihisha hivyo kuanzia Mechi ya Leo na Prisons FC ni mwendo wa Vipigo tu kwa Wapinzani mpaka Ubingwa kwani Simba SC yote sasa tumeshaamua kuwa NGUVU MOJA Kudadadeki.
Hesabu zako zinaanzia hapa: Yanga 0 vs mbeya city 0
 
Mechi zote ambazo Yanga watacheza uwanja mzuri kama kwa Mkapa hawatopoteza. Hivyo Azam na Namungo wanafungwa vizuri tu hilo halina ubishi kwasababu Yanga haina tena wachezaji wa kuunga unga bali ina wachezaji wanaweza kufosi matokeo na pia wana morali kubwa sana ukikutana nao kwenye uwanja ulio bora ndio balaa zaidi maana wanajua kuliandama langi la mpinzani.

Mechi ya Mtibwa itakuwa ngumu kwa Yanga ni ya ugenini lakini sio ya nyumbani. Hivyo siwezi sema lolote kulingana na nature ya viwanja vya mikoani hasa vikinyeshewa na mvua.
Nipe matokeo Leo kwenye uwanja mzuri.
 
Back
Top Bottom