Hizi ni Hesabu zangu ambazo zinanipa Jeuri Kuamini kuwa bado Simba SC hii hii inayochekwa sasa itakuwa tena Bingwa wa NBC Premier League 2021/2022

Simba ni timu kubwa. Sidhani kama watakuwa na hesabu uchwara za dua la kuku kwa Yanga. Wajipange washinde mechi zao zote ikiwamo dhidi ya Yanga. Lkn mengine hayapo ndani ya uwezo wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…