Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hii ndio sahihi.Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio sahihi.Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Msikae mkadanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyika,someni uislamuHuu unafiki kweli ndo mana mimi kitambo si hangaiki kuchinjiwa na dipi wodi nachinjaga mwenyewe
Acha kudanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyika.Usomeni uislamu,muueleweKwanzia sasa watu wa mabucha waseme kitoweo kimechinjwa na dini ipi ili mnunuaji achague
Niuelewe uislamu ili unisaidie nini? Nna dini yangu inanitosha.Acha kudanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyika.Usomeni uislamu,muueleweView attachment 2708001View attachment 2708005
Kama hujui kitu kaa kimya,usikipinge.Tatizo lenu mnadanganywa ki urahisi na mnadanganyika.Inatakiwa ukiambiwa kitu,fanya utafiti.Niuelewe uislamu ili unisaidie nini? Nna dini yangu inanitosha.
We ndezi kweli, yaani mnilishe mauchawi yenu halafu nikae kimya?Kama hujui kitu kaa kimya,usikipinge.
Uchawi unajilisha wewe mwenyewe,nani kakulazimisha ule cha asiyekuwa wewe mwenyewe.Ujinga kweli mzigo.We ndezi kweli, yaani mnilishe mauchawi yenu halafu nikae kimya?
Jifunze kuandika kwanza ndo uje tujadiliUchawi unajilisha wewe mwenyewe,nani kakulazimisha ule cha asiyekuwa wewe mwenyewe.Ujinga kweli mzigo.
Huna hoja.Jifunze kuandika kwanza ndo uje tujadili
Soma hapoUlaji uendelee
Hii kauli haiwahusu wafuasi wa Yehova, hii ni kwa ajili ya wafuasi wa Allah.
[emoji28]Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Kaeni chini mausoleum uislamu,msiwe mnadanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kirnyeji,na kudanganyika ki urahisiView attachment 2707975View attachment 2707977
Aiseee wakukujibu Nistue Hilo jiwe la Gizani subiria tu kusikia yalaaaaaa...Mbona kitimoto hawalilii kuchinja licha ya kwamba na wao ni walaji wazuri?
Sio kweli huchinjwa kabisaaaKwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Taqbirrrr waislamu ka wewe ni wachache saana Allah akujalie shekh wanguMsikae mkadanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyika,someni uislamuView attachment 2707991View attachment 2707993
Bull💩💩💩💩💩Usomeni uislamu,msiwe mnadanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyikaView attachment 2707982View attachment 2707983