Hizi ni ibada ambazo Mkristo mnazishiriki halafu mnalalamika mambo yenu yamefungwa

Hizi ni ibada ambazo Mkristo mnazishiriki halafu mnalalamika mambo yenu yamefungwa

Hii kauli haiwahusu wafuasi wa Yehova, hii ni kwa ajili ya wafuasi wa Allah.

Kumbuka Yehova sio Allah na Allah sio Yehova.
Ni Kweli Allah sio Yehova,maana Yesu aliomba kwa Yehova kikombe cha umauti kimuepuke,hakupata msaada kutoka kwa Yehova.
Matthew 16:18.
Walimkamata,wakamgongolea misumari msalabani wakamdhihaki,wakampiga,wakamvalisha taji la miba,wakamnywesha sifongo,wakampiga mkuki,wakamuua,akafa akazikwa.
Lakini kwa Issa alimuomba Allah Amuepushe na mauaji haya,akaepushwa,hawakumkamata,hawakumuua,Issa hakufa mpaka leo,akapaa mbinguni.
Screenshot_2023-08-04_132914.jpg

Kwa hiyo Allah alimuokoa Mtume wake Issa,lakini Yehova alimwacha Yesu,kikombe hakikimuepuka,alikufa msalabani.
View attachment 2708230
View attachment 2708231
 
Hao wachinjaji wana shida tu na hizo jero jero za kuchinjia, huwezi kufanya ibada kwenye kitiweo cha mwenzio huo ni uwendawazimu. Mfalme Daudi alikataa kupewa eneo la kutolea sadaka pamoja na sadaka ya wanyama bure pasipo kulipia ili aweze kufanya ibada ya kuomba msamaha kwa Mungu wake.
Mimi bibi yangu alikuwa anamuweka kuku kwenye kiroba kisha anapiga kiroba mpaka kuku afe!
Nilipomuuliza kunani bibi??
Akanijibu anamuonea huruma kuku wake.[emoji30][emoji14]
 
Taqbirrrr waislamu ka wewe ni wachache saana Allah akujalie shekh wangu
Waislamu na wakristo wameishi na ujirani mwema miaka mingi.Kwa mfano kusaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha
1.Kuchinjiana wanyama wa kula
2.Kuwa majrani
3.Kuwa pamoja kwenye huzuni na furaha.
4.Wapo ndugu nusu waislamu nusu wakristo kama mkoa wa Tanga,ndio sana
5.Wapo majirani waislamu wamewapa watoto majina ya majirani wenzao wa kikristo na wakristo vile vile.
..6.Wapo dada wakazi wa kiislamu wameajiriwa kwa wakristo na wapo wakikristo wameajiriwa kwa waislamu.
7.Pia kwenye kazi nyingine wa dni hizi mbili wameajiriana.
8.Wapo waalimu wakikristo wanajitahidi kwa watoto wa kiislamu wafaulu,na kuwafatilia wakiwa watoro warudi shule,na kuwafatilia ili wafaulu,na wapo waliofaulu vizuri,na kwa waalimu waislamu pia ni hivyo hivyo.
Ukiona mtu au watu wanawachonganisha waislamu na wakristo,wanaoleta nyuzi hizo,hao itakuwa ni wakimbizi wazazi wao,!sio wa asili ya Tanzania.
 
Taqbirrrr waislamu ka wewe ni wachache saana Allah akujalie shekh wangu
Waislamu na wakristo wanasaidiana mambo mengi kwa Tanzania.Na wapo ni ndugu,ziko familia nusu waislamu,na nusu wakristo.
Ukiona mtu au watu,wanaleta nyuzi za kuwaogombanisha,!ujuwe huyo hana asili ya Tanzania,ana asili ya ukimbizi,ya mababu zake.
 
na ni myama msafi kiroho pia siunaona yesu alipoamishia mapepo kwao wakaona kuliko kuishi na mapepo kwenye miili yao ni Bora wajiteketeze kwenye maji wafe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walituzidi had binadam
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
394850115.jpg
c931b181ff88b6ce0c916b8ebee0336a.jpg
IMG_20211225_152956-1.jpg
 
Back
Top Bottom