Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Really? Hivyo ndivyo mnavyofanya msikitini?Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really? Hivyo ndivyo mnavyofanya msikitini?Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
WanafiqAiseee wakukujibu Nistue Hilo jiwe la Gizani subiria tu kusikia yalaaaaaa...
Usomeni uislamu,msiwe mnadanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mkadanganyikaView attachment 2707982View attachment 2707983
Kwani kitimoto huchinjwa?
Mie Nijuavyo hupigwa rungu la kichwa tu na kufanywa kitoweo.
Ni Kweli Allah sio Yehova,maana Yesu aliomba kwa Yehova kikombe cha umauti kimuepuke,hakupata msaada kutoka kwa Yehova.Hii kauli haiwahusu wafuasi wa Yehova, hii ni kwa ajili ya wafuasi wa Allah.
Kumbuka Yehova sio Allah na Allah sio Yehova.
Mimi bibi yangu alikuwa anamuweka kuku kwenye kiroba kisha anapiga kiroba mpaka kuku afe!Hao wachinjaji wana shida tu na hizo jero jero za kuchinjia, huwezi kufanya ibada kwenye kitiweo cha mwenzio huo ni uwendawazimu. Mfalme Daudi alikataa kupewa eneo la kutolea sadaka pamoja na sadaka ya wanyama bure pasipo kulipia ili aweze kufanya ibada ya kuomba msamaha kwa Mungu wake.
Waislamu na wakristo wameishi na ujirani mwema miaka mingi.Kwa mfano kusaidiana mambo mbalimbali ya kimaishaTaqbirrrr waislamu ka wewe ni wachache saana Allah akujalie shekh wangu
Waislamu na wakristo wanasaidiana mambo mengi kwa Tanzania.Na wapo ni ndugu,ziko familia nusu waislamu,na nusu wakristo.Taqbirrrr waislamu ka wewe ni wachache saana Allah akujalie shekh wangu
AminaMisumari ya moto kama hivi utakimbiwa na marafiki.
Umeongea ukweli na Roho wa Bwana akulinde
Njaa ya neno lililofunuliwa Gin Ja WaMie ni Mkristo Mkatoliki, sijui hii ni ibada gani unazungumzia ndugu!
Au tatizo njaa
Wahindu wanaabudu ng'ombeKauli yako ya "ndiye Mungu mkuu kuliko wote"
Kwahyo unaamini kuwa hayuko Mungu m1 bali iko mingi ila jehova ndiye mkuu .
Si ndio
So tujiulize hyo miungu mingne iko wapi?
Kitimoto, mnyama aliyebarikiwa kuliko wote.mbona kitimoto hampeleki kwa watu wa miungu mingine wawachinjie
Mnyama mwenye utukufu, mnyama mwenye upakoKitimoto, mnyama aliyebarikiwa kuliko wote.
Kitimoto, mnyama aliyebarikiwa kuliko wote.
na ni myama msafi kiroho pia siunaona yesu alipoamishia mapepo kwao wakaona kuliko kuishi na mapepo kwenye miili yao ni Bora wajiteketeze kwenye maji wafe😂😂😂😂 walituzidi had binadamMnyama mwenye utukufu, mnyama mwenye upako
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]na ni myama msafi kiroho pia siunaona yesu alipoamishia mapepo kwao wakaona kuliko kuishi na mapepo kwenye miili yao ni Bora wajiteketeze kwenye maji wafe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walituzidi had binadam
Kwa jinsi ulivyofura inamaana ujumbe umefika.Kuabudu sanamu ndio nini? hebu weka vyema kwani naona una haraka kama uharo!