kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
We jamaa ni Muongo kweli!Ipo Njia ya Mkato, Unatokea Mwanza, Nzega, Tabora, Ipole, Chunya, Mbeya. Masaa 8 unaiona Mwanza kama gari iko poa.
Unazijua za kwenu tu mkuu? Hahaha, Korogwe vipi?Same-Mwembe-Vudee-Chome.
Makanya-Suji-Gonjanza.
Mwanga-Usangi-Ugweno.
Korogwe kwenda wapi?Unazijua za kwenu tu mkuu? Hahaha, Korogwe vipi?
Lami saiv imefika mpaka Makongolosi. Next ni kutoka Makongolosi hadi Rungwa, kisha itaunganishwa na sehemu ya Ipole, kwa upande wa Tabora.Mbeya-Chunya walishatandaza lami..sijajua huko kwingine.
Ila kona haziepukiki[emoji1787]hizo za Chunya ni bora akapita tu hizo za Mtera.
Duuuh pole sana, hii ilinikutaIle njia ni ya kifala sana. As if hayo makona hayatoshi, mwanzoni ilikua ukimaliza izo kona tu kwa mbele kidogo kuna mto mpana nadhani unaingiza maji lake manyara na palikua hamna daraja! Kwahiyo mnapiga mbizi na magari yenu mnaibukia upande wa pili.
Kuna siku nimepambana na makona yangu mpaka nimefika pale mtoni mbupu zote zimevimba, kichwa kinauma, mgongo haufai.. lahaulaa! kumbe kuna mamvua yamenyesha milimani huko mto umefurika balaa haupitiki na imeshabebwa coaster pale! Ikabidi nigeuze aisee nikaanza kupanda tena yale mamilima kwakweli nililaani sana iyo siku. Nimekuja kufika arusha saa 9 usiku.
View attachment 1765582
zile hata anayesema nyankoro ni kali hana lolote zile ni kona
kona ya mwanga ugweno haina wapitaji sana lakini ni kona kali kuliko zote yaani ni funga kazi mkuu afu haziishi sasa bora iyo nyankoro, nyankoro inatisha kutokana na zile landscape zake na misitu minene.
Hata kutokea Mikumi kwenda Kilombero kuna kona nyingi na vidaraja vyembamba 18Kona za mlima Ndololo, Mlima nyani njia ya Ifakara-Mahenge. Kona za kuitafuta Mkamba/Sanje na Soni ukitoka Mikumi kwenda Ifakara.
Hahahah mgeta nimekumbuka mbali sana ile njia yaanNlifika huko lolo mpaka nyandira
Alafu hukoo juu kuna bhang imejiotea
Balaa
Sasa njia ya kwenda mgeta wakati unapandisha ukutane na fuso sasa
Kupishana ni mtihani
Ova
Inaitwa mchomoloKuna kona wakati unakaribia Namtumbo ukitokea Tunduru... HATARI SANA
Wewe hujui usemalo, Unaijua V8 wewe! "in Pole Pole Voice" Mbeya Mwanza Masaa 8 unaona haiwezekani! Any way Kichwa kikubwa kimejaaa Maji badala ya Ubongo. Let me stay coolWe jamaa ni Muongo kweli!
Yaani utoke Mbeya hadi Mwanza kwa Massa 8 tu? Labda unazungumzia Mbeya to Tabora ndiyo Massa 8 kwa private car.
Japo kutoka Mwanza - Mbeya via Tabora inaonekana ni short cut, lakini umbali wake si mchezo.
Nilipita 2006 kurudi nilishukia njia ya igoma.Hakuna barabara yenye kona nyingi za kuudhi kama barabara itokayo Chimala Mbeya kuelekea Matamba na Uwanji Makete.
Kuna kona 54 ukipitia ile barabara ya hifadhi ya msitu wa TFS.
Noma sanaNilipita 2006 kurudi nilishukia njia ya igoma.
Ila nilipoogopa zaidi ni Iringa - Dodoma na Basi liitwalo Kimotco la Arusha
corner bar,sinza!!
Acha utoto wewe. Kwani kakwambia yeye ana V8? Au kila mmoja ana V8?Wewe hujui usemalo, Unaijua V8 wewe! "in Pole Pole Voice" Mbeya Mwanza Masaa 8 unaona haiwezekani! Any way Kichwa kikubwa kimejaaa Maji badala ya Ubongo. Let me stay cool
Rebeca 83[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]