Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Ipo Njia ya Mkato, Unatokea Mwanza, Nzega, Tabora, Ipole, Chunya, Mbeya. Masaa 8 unaiona Mwanza kama gari iko poa.
We jamaa ni Muongo kweli!
Yaani utoke Mbeya hadi Mwanza kwa Massa 8 tu? Labda unazungumzia Mbeya to Tabora ndiyo Massa 8 kwa private car.
Japo kutoka Mwanza - Mbeya via Tabora inaonekana ni short cut, lakini umbali wake si mchezo.
 
Mbeya-Chunya walishatandaza lami..sijajua huko kwingine.

Ila kona haziepukiki[emoji1787]hizo za Chunya ni bora akapita tu hizo za Mtera.
Lami saiv imefika mpaka Makongolosi. Next ni kutoka Makongolosi hadi Rungwa, kisha itaunganishwa na sehemu ya Ipole, kwa upande wa Tabora.
 
Duuuh pole sana, hii ilinikuta
 
Umewahi kupitia Ziwa Natron kwenda Loliondo?
Kuna kona 17 tishio
 
Kona za mlima Ndololo, Mlima nyani njia ya Ifakara-Mahenge. Kona za kuitafuta Mkamba/Sanje na Soni ukitoka Mikumi kwenda Ifakara.
Hata kutokea Mikumi kwenda Kilombero kuna kona nyingi na vidaraja vyembamba 18
 
Nlifika huko lolo mpaka nyandira
Alafu hukoo juu kuna bhang imejiotea
Balaa
Sasa njia ya kwenda mgeta wakati unapandisha ukutane na fuso sasa
Kupishana ni mtihani

Ova
Hahahah mgeta nimekumbuka mbali sana ile njia yaan
 
Iringa - Dodoma
Mbeya - Kyela kuna sehemu wanapaita uwanja wa ndege
Nilihama shule kwa sababu ya kona za uwanja wa ndege

Iringa - Morogoro
Kitonga
Na pale ukitoka Mikumi sijui wanapaitaje

Same - Chome
Hedaru - Mamba vunta
Mwanga- Usangi

Moshi - Marangu - Tarakea
Mambo - Lushoto

Morogoro MJINI - Mgeta
Mvomero - Muscat mbele ya kibati

Njombe - Ludewa
Njombe - Makete

Ila nilipoogopa zaidi ni Iringa - Dodoma na Basi liitwalo Kimotco la Arusha
 
We jamaa ni Muongo kweli!
Yaani utoke Mbeya hadi Mwanza kwa Massa 8 tu? Labda unazungumzia Mbeya to Tabora ndiyo Massa 8 kwa private car.
Japo kutoka Mwanza - Mbeya via Tabora inaonekana ni short cut, lakini umbali wake si mchezo.
Wewe hujui usemalo, Unaijua V8 wewe! "in Pole Pole Voice" Mbeya Mwanza Masaa 8 unaona haiwezekani! Any way Kichwa kikubwa kimejaaa Maji badala ya Ubongo. Let me stay cool
 
Wewe hujui usemalo, Unaijua V8 wewe! "in Pole Pole Voice" Mbeya Mwanza Masaa 8 unaona haiwezekani! Any way Kichwa kikubwa kimejaaa Maji badala ya Ubongo. Let me stay cool
Acha utoto wewe. Kwani kakwambia yeye ana V8? Au kila mmoja ana V8?
Na isitoshe hujawai pita bara bara hiyo ya Tabora ndiyo maana una bwabwaja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…