Kwahiyo umekufa mkuu? π€£Dah Half american umeifanya siku yangu π€£π€£π€£ nimecheka mpaka nimekufa
Hapo lazima aondoke na nyamaHuo mng'ato sio poa aisee π
Mapenzi?Sababu kuu aka sababu mama hujaiweka.π€£π€£π€£π€£π€£
Kuna muda huwa tunajitoa ufaham kufanya vitu vinavyohatarisha uhai.Hatari sana wanaume mapambano mwisho ni unapokufa ......
Kazi kweli kweli
We wa 70's?Hivi unadhani mie 2000
Aisee inafikirisha Sana mkuu
HA!HA!HA!HA kweli kabisa mkuu
Hapo rasta anaona kajilinda vizuri kabisa
Wa 90We wa 70's?
Mtoto mdogoWa 90
No risk no Story to tellView attachment 3123846
No worries, no fear
Huyo anayechungulia ni weweπππtunaji_risk kwenye mambo mengi sana. View attachment 3123819