Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Black Thought

Senior Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
161
Reaction score
408
Habari wakuu, nimejaribu kuja na baadhi ya options za ramani za nyumba unazoweza kujenga kwa gharama nafuu.

Kwanza tulewe kuwa Gharama ya ujenzi wa nyumba haitegemei sana idadi ya vyumba kama baadhi ya watu wanavyochukulia, bali hutegemea zaidi ukubwa (builtup area) na muundo wa jengo husika.
Kwa standards za Tanzania kwenye ujenzi wa nyumba, builtup area (floor area) ya “square meter” moja inagharimu kiasi cha kuanzia Tsh laki nne mpaka laki sita kwenye ujenzi mpaka kukamilika kutegemeana na ubora wa finishing.
Hivyo basi ili kupunguza gharama za ujenzi inatakiwa hasa kupunguza ukubwa wa jengo ikiwemo kupunguza maeneo yasiyo na ulazima (dead space) kwenye jengo kwa kadri inavyowezekana. Dead space ni kama ‘balcony, korido, foyer etc.’

Hapa chini nitaleta baadhi ya ramani zilizo sanifiwa kwa kuzingatia unafuu wa gharama za ujenzi na kama uthitaji mchanganuo kamili wa material ya kujenga boma mpaka kuezeka ramani husika unaweza kutucheki kwa 0717682856

D57E3BC4-045D-4AE8-9223-FEDA7EDA2674.jpeg
 
Hii ni ya vyumba viwili
Builtup area 57.9sqm
Msingi tofali = 756 kwa kozi sita
Juu tofali = 1274
Bati = 52

Tumefanya mlango wa jiko na sebule kutumia veranda moja ili kupunguza gharama

F1486194-0A49-4AA9-89F2-73E32D5506EB.jpeg
 
Salaam

Naombeni msaada kuhusu hizo nguzo za geti.
Naambiwa na kijana wa zege kuwa wakati fundi anajenga hapo hizo nguzo kuwa hawakuchimba msingi mrefu kwenda chini na hana hakika kama waliweka kitako chini.

Bahati mbaya fundi alikimbia kabla ya kazi kukamilika na pia hapatikani kwa simu.
Sasa naombeni msaada wa kitaalamu hapo nifanye nini??
Je nivunje hizo nguzo zisukwe upya ama tufanyie ukarabati ili kuweza kuziimarisha hizo nguzo.

Mimi nipo mbali nashindwa kusimamia kwa ukaribu ujenzi.

Tafadhali naomba maoni yenu ya kitaalamu
tapatalk_1641491213220.jpeg
 
Salaam

Naombeni msaada kuhusu hizo nguzo za geti.
Naambiwa na kijana wa zege kuwa wakati fundi anajenga hapo hizo nguzo kuwa hawakuchimba msingi mrefu kwenda chini na hana hakika kama waliweka kitako chini.

Bahati mbaya fundi alikimbia kabla ya kazi kukamilika na pia hapatikani kwa simu.
Sasa naombeni msaada wa kitaalamu hapo nifanye nini??
Je nivunje hizo nguzo zisukwe upya ama tufanyie ukarabati ili kuweza kuziimarisha hizo nguzo.

Mimi nipo mbali nashindwa kusimamia kwa ukaribu ujenzi.

Tafadhali naomba maoni yenu ya kitaalamuView attachment 2071159

Haina shida hiyo ni non bearing wall!
 
Haina shida hiyo ni non bearing wall!
Mkuu kama nataka kukuelewa hivi
Ila hapo juu hyo slab ipo na tofali zimepangwa takriban 40.
Naomba maelezo kwa kina kama hutojali
Kwa kuwa hapo sina hakika kama kuna kitako kimesukwa na pia msingi wake haukwenda chini vzr.
Unene wa nguzo ni 60cmsq

Je naweza kuimarisha zaidi
Huwa sipendi wasiwasi napenda uhakika.

edward 93
 
Mkuu kama nataka kukuelewa hivi
Ila hapo juu hyo slab ipo na tofali zimepangwa takriban 40.
Naomba maelezo kwa kina kama hutojali
Kwa kuwa hapo sina hakika kama kuna kitako kimesukwa na pia msingi wake haukwenda chini vzr.
Unene wa nguzo ni 60cmsq

Je naweza kuimarisha zaidi
Huwa sipendi wasiwasi napenda uhakika.

edward 93

Bado sio mzgo wa kushindwa kubebwa na hizo column! Footing kazi yake ni kupokea load kutoka kwenye column na kupeleka ardhini (ndio mana ujegwa pana zaid ya column ili itrasmit load kubwa) na pia uzuia settlement kama soil ya eneo husika sio sahihi! So kwa ulichojenga na nature ya hilo eneo hauna haja ya kuwa na footing na hizo columns are strong enough kubeba hyo beam!
 
Bado sio mzgo wa kushindwa kubebwa na hizo column! Footing kazi yake ni kupokea load kutoka kwenye column na kupeleka ardhini (ndio mana ujegwa pana zaid ya column ili itrasmit load kubwa) na pia uzuia settlement kama soil ya eneo husika sio sahihi! So kwa ulichojenga na nature ya hilo eneo hauna haja ya kuwa na footing na hizo columns are strong enough kubeba hyo beam!
Mkuuu nashukuru sana

Lakini mashaka yangu mengine ni kuwa naambiwa msingi haukuchimbwa kwenda chini kiasi cha kutosha na pia unapoweka geti mzigo huongezeka mara dufu.

Je kitaalamu kuna namna ya kuongeza uimara wa hizo nguzo?
Manake nilikuwa nimeshafikiria kuipiga chini na kuanza upya.

Mawazo yakp tafadhali hasa katika kuimarisha hizo nguzo

edward 93
 
Hivi kwa nini hampendagi kuweka estimated cost mpaka kumalizik
Badala ya ku’Stick’ sana kwenye swali la “mpaka inakamilika inagharimu shilingi ngapi”

Tujaribu kuzingatia kwanza unachokipenda kisha tujadili ni namna gani tunaweza kupunguza gharama kwenye hiyo unayoipenda.

👉🏽Swali la mpaka unanikabizi ufunguo inagharimu shilingi ngapi “lina boa” sababu ni ‘irrelevant’ kuna sababu nyingi zinazo Athiri gharama za ujenzi kutoka sehemu/kiwanja moja kwenda nyingine. Kuna mjadala ulielezea hilo sana humu jf.
Na ndio maana hata ukiweka hiyo gharama humu kuna wanatakao sema ni nyingi sana na wengine watasema hiyo inaishia kwenye msingi tu 😁.
Na wakati mwingine unaweza katishwa tamaa na bei uliyotajiwa ukaangukia kwenye option ghali zaidi usioijua gharama yake🏠
 
Back
Top Bottom