Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Mkuuu nashukuru sana

Lakini mashaka yangu mengine ni kuwa naambiwa msingi haukuchimbwa kwenda chini kiasi cha kutosha na pia unapoweka geti mzigo huongezeka mara dufu.

Je kitaalamu kuna namna ya kuongeza uimara wa hizo nguzo?
Manake nilikuwa nimeshafikiria kuipiga chini na kuanza upya.

Mawazo yakp tafadhali hasa katika kuimarisha hizo nguzo

edward 93
Achana na kuambiwa, utakosa mafundi wa kukufanyia kazi maana kila mtu akipita kwenye site yako anajifanya kutoa kasoro na wewe wa kikupigia simu unamuwakia fundi ndio maana kakimbia..
Fundi kama umempa kazi means unamuamini kazi zake kwahiyo mpe uhuru wake utaalamu aumwage hapo siyo hadi shamba boy anakupa komenti za fundi kachimba shimo dogo la nguzo huyo kijana wako anajua ilitakiwa kuchimbwa kiasi gani.?
Sasa geti linaongeza uzito gani kwani linafungwa kubembea juu si hapana .! Wewe unakazania unaambiwa unaambiwa nini sasa Ndg kama vp hao wanaokwambia wape kazi wamalizie.!
 
Badala ya ku’Stick’ sana kwenye swali la “mpaka inakamilika inagharimu shilingi ngapi”

Tujaribu kuzingatia kwanza unachokipenda kisha tujadili ni namna gani tunaweza kupunguza gharama kwenye hiyo unayoipenda.

👉🏽Swali la mpaka unanikabizi ufunguo inagharimu shilingi ngapi “lina boa” sababu ni ‘irrelevant’ kuna sababu nyingi zinazo Athiri gharama za ujenzi kutoka sehemu/kiwanja moja kwenda nyingine. Kuna mjadala ulielezea hilo sana humu jf.
Na ndio maana hata ukiweka hiyo gharama humu kuna wanatakao sema ni nyingi sana na wengine watasema hiyo inaishia kwenye msingi tu 😁.
Na wakati mwingine unaweza katishwa tamaa na bei uliyotajiwa ukaangukia kwenye option ghali zaidi usioijua gharama yake🏠
Miradi mikubwa wanakuwa na estimated cost sasa inakuwa vipi kamjemgo mshindae kuwa na estimated cost. Hizo factors za uwanja and so on tunajua laki angalau mtu apate an idea inahitajika kiasi gani. Mara nyingi kinachoongeza gharama ni aina ya finishing but wee u aweza weka estimate inayohusisha moderate finishing. Mfano kuna vyoo hadi vya million 3 but wewe katika estimates zako for low cost housing unaweka estimate ya choo cha laki tano that simple.

Suala la watu muwa na diferent opinions humu kwa jukwaa hilo ni kawaida na ulitarajie lakini isiwe sababu ya kutokuwe estimates. Kama wee ni mtaalam na unatoa estimates ambazo ni realistic sidhani kama kutakuwa na tatizo.
 
Achana na kuambiwa, utakosa mafundi wa kukufanyia kazi maana kila mtu akipita kwenye site yako anajifanya kutoa kasoro na wewe wa kikupigia simu unamuwakia fundi ndio maana kakimbia..
Fundi kama umempa kazi means unamuamini kazi zake kwahiyo mpe uhuru wake utaalamu aumwage hapo siyo hadi shamba boy anakupa komenti za fundi kachimba shimo dogo la nguzo huyo kijana wako anajua ilitakiwa kuchimbwa kiasi gani.?
Sasa geti linaongeza uzito gani kwani linafungwa kubembea juu si hapana .! Wewe unakazania unaambiwa unaambiwa nini sasa Ndg kama vp hao wanaokwambia wape kazi wamalizie.!
Mkuu Upo sahihi sana.
Ila hapa nipo kuomba msaada wa kitaalamu, ni bora kuchukua tahadhari kabla ya hatari.

Hofu yangu ni kuwa isije kuporomoka na kuleta maafa huko mbeleni huu ndio wasiwasi nilionao.
 
Mkuu Upo sahihi sana.
Ila hapa nipo kuomba msaada wa kitaalamu, ni bora kuchukua tahadhari kabla ya hatari.

Hofu yangu ni kuwa isije kuporomoka na kuleta maafa huko mbeleni huu ndio wasiwasi nilionao.
Mbona IPO vizur sana ndugu, huyo fundi anatak kukupiga hela kua makini
 
Mkuuu nashukuru sana

Lakini mashaka yangu mengine ni kuwa naambiwa msingi haukuchimbwa kwenda chini kiasi cha kutosha na pia unapoweka geti mzigo huongezeka mara dufu.

Je kitaalamu kuna namna ya kuongeza uimara wa hizo nguzo?
Manake nilikuwa nimeshafikiria kuipiga chini na kuanza upya.

Mawazo yakp tafadhali hasa katika kuimarisha hizo nguzo

edward 93
Haina mzigo juu (non load bearing) so ishu ya kitako pengine isingekuwa tatizo ila Hapo kwenye msingi kuwa shallow ndio tatizo , topsoil huwa ni loose soil, so kuna uwezekano hizo nguzo zika swing upande mmoja. So nafikiri labda uestablish nguzo hapo kwenye geti dogo, iende deep n ambayo huko juu zishikane ( overlap) na hiyo beam. Kama beam iko imara itasaidia
Miradi mikubwa wanakuwa na estimated cost sasa inakuwa vipi kamjemgo mshindae kuwa na estimated cost. Hizo factors za uwanja and so on tunajua laki angalau mtu apate an idea inahitajika kiasi gani. Mara nyingi kinachoongeza gharama ni aina ya finishing but wee u aweza weka estimate inayohusisha moderate finishing. Mfano kuna vyoo hadi vya million 3 but wewe katika estimates zako for low cost housing unaweka estimate ya choo cha laki tano that simple.

Suala la watu muwa na diferent opinions humu kwa jukwaa hilo ni kawaida na ulitarajie lakini isiwe sababu ya kutokuwe estimates. Kama wee ni mtaalam na unatoa estimates ambazo ni realistic sidhani kama kutakuwa na tatizo.
Miradi inakuwa ni specific area mzee. Barabara au Jengo linajengwa sehemu fulani ambayo inakuwa ishafanyiwa survey na kila kitu kama kuna kuvunja miamba gharama yake inawekwa huko.
So kama unataka kupata BOQ inatakiwa eneo lako Lifanyiwe Quantity surveying pia.
Na isitoshe kama umesoma post nimeelezea namna ya kufanya makisio ya gharama kwa kutumia Builtup area na kila ramani hapo nimeweka builtup area kwa lengo hilo, so fanya hesabu ndogo tu hapo utapata makisio kwa kila moja
 
Haina mzigo juu (non load bearing) so ishu ya kitako pengine isingekuwa tatizo ila Hapo kwenye msingi kuwa shallow ndio tatizo , topsoil huwa ni loose soil, so kuna uwezekano hizo nguzo zika swing upande mmoja. So nafikiri labda uestablish nguzo hapo kwenye geti dogo, iende deep n ambayo huko juu zishikane ( overlap) na hiyo beam. Kama beam iko imara itasaidia

Miradi inakuwa ni specific area mzee. Barabara au Jengo linajengwa sehemu fulani ambayo inakuwa ishafanyiwa survey na kila kitu kama kuna kuvunja miamba gharama yake inawekwa huko.
So kama unataka kupata BOQ inatakiwa eneo lako Lifanyiwe Quantity surveying pia.
Na isitoshe kama umesoma post nimeelezea namna ya kufanya makisio ya gharama kwa kutumia Builtup area na kila ramani hapo nimeweka builtup area kwa lengo hilo, so fanya hesabu ndogo tu hapo utapata makisio kwa kila moja
Mkuuu Black Thought unamaanisha tu establish nguzo hapo kushoto na iungane na hyo top beam hapo juu??

Jee nilivyokuelewa ndio ulichomaanisha mkuu??
IMG_20220107_114958.jpeg
 
Mkuuu Black Thought unamaanisha tu establish nguzo hapo kushoto na iungane na hyo top beam hapo juu??

Jee nilivyokuelewa ndio ulichomaanisha mkuu?? View attachment 2071847
Yes nimejaribu kufikiria hivo, tho itabidi kutindua beam hapo juu (kitu ambacho unashoofisha beam) kwaajili ya overlaping. Ula ungempata huyo fundi au hata wasaidizi wake wakakwambia walichimba msingi kiasi gani, huenda ni mtazamo wa aliyekuambia tu. Na kama nayeye ni fundi kutakua na walakini maana mafundi huwa na tabia ya kuharibiana ili aonekane yeye anajua zaidi.
 
Unuhimu wa dead space utaujua siku umepata msiba au una sherehe nyumbani. Au ndiyo mnafanya mambo ya kileo msiba mnakodi hall.
Upo sahihi japo sio ishu sana.
Na tukianza kufikilia hivo tutasema tutafikia hatua ya kusema mtu unatakiwa kujenga nyumba ya vyumba vitano au zaidi kwaajili ya mambo kama hayo.
Na concern kubwa ya uzi huu ni mtu mwenye low budget badala ya kubana ujenge chini ya kiwango, kitu gani unaweza fanya
 
Upo sahihi japo sio ishu sana.
Na tukianza kufikilia hivo tutasema tutafikia hatua ya kusema mtu unatakiwa kujenga nyumba ya vyumba vitano au zaidi kwaajili ya mambo kama hayo.
Na concern kubwa ya uzi huu ni mtu mwenye low budget badala ya kubana ujenge chini ya kiwango, kitu gani unaweza fanya
Mkuu nakushukuru kwa mada yako,samahani nilitaka kujua hiyo ya room mbili inacover eneo la ukubwa gani maana naona hujatuwekea hapo. Nitashukuru ukiturekebishia mana wengine tunaenda na nyie humuhumu.
 
Mkuu nakushukuru kwa mada yako,samahani nilitaka kujua hiyo ya room mbili inacover eneo la ukubwa gani maana naona hujatuwekea hapo. Nitashukuru ukiturekebishia mana wengine tunaenda na nyie humuhumu.
🙏🏾Nimeweka now boss, ni 57.9
 
Haina shida hiyo ni non bearing wall!
Non bearing wall au ulimaanisha non Load bearing wall mkuu" alafu jaribu kutoa maelezo yako kwa kiswahili maana si wote humu jamvini wanaelewa hizo lugha za kihandisi.
 
Habari wakuu, nimejaribu kuja na baadhi ya options za ramani za nyumba unazoweza kujenga kwa gharama nafuu.

Kwanza tulewe kuwa Gharama ya ujenzi wa nyumba haitegemei sana idadi ya vyumba kama baadhi ya watu wanavyochukulia, bali hutegemea zaidi ukubwa (builtup area) na muundo wa jengo husika.

Hivyo basi ili kupunguza gharama za ujenzi inatakiwa hasa kupunguza ukubwa wa jengo ikiwemo kupunguza maeneo yasiyo na ulazima (dead space) kwenye jengo kwa kadri inavyowezekana. Dead space ni kama ‘balcony, korido, foyer etc.’

Hapa chini nitaleta baadhi ya ramani zilizo sanifiwa kwa kuzingatia unafuu wa gharama za ujenzi na kama uthitaji mchanganuo kamili wa material ya kujenga boma mpaka kuezeka ramani husika unaweza kutucheki kwa 0717682856

View attachment 2071122
Imetulia sana huu nao ni ubunifu
 
Badala ya ku’Stick’ sana kwenye swali la “mpaka inakamilika inagharimu shilingi ngapi”

Tujaribu kuzingatia kwanza unachokipenda kisha tujadili ni namna gani tunaweza kupunguza gharama kwenye hiyo unayoipenda.

👉🏽Swali la mpaka unanikabizi ufunguo inagharimu shilingi ngapi “lina boa” sababu ni ‘irrelevant’ kuna sababu nyingi zinazo Athiri gharama za ujenzi kutoka sehemu/kiwanja moja kwenda nyingine. Kuna mjadala ulielezea hilo sana humu jf.
Na ndio maana hata ukiweka hiyo gharama humu kuna wanatakao sema ni nyingi sana na wengine watasema hiyo inaishia kwenye msingi tu 😁.
Na wakati mwingine unaweza katishwa tamaa na bei uliyotajiwa ukaangukia kwenye option ghali zaidi usioijua gharama yake🏠
Maelezo marefu mwenzio ametaka kujua makadirio tu ya gharama na sio gharama halisi.
 
Bati 29k,
Saruji 17k
Nondo mm12- 27k
Misumari 4k/kg
Binding wire 6k,

Iyo ni intro tu mkuu,, sijazama kwenye material zaid
 
Back
Top Bottom