Black Thought
Senior Member
- Feb 25, 2015
- 161
- 408
- Thread starter
- #41
Alitaka kujua ya Ramani ipi mzee. Au wewe ndio ulitaka kujua.Maelezo marefu mwenzio ametaka kujua makadirio tu ya gharama na sio gharama halisi.
Nimeelekeza kwenye post/uzi namna ya kupata makisio kwa kutumia ‘builtup area’ na kila ramani nimeweka ‘builtup area’ yake.
Tatizo wabongo tunapenda sana vitu rahisi hatupendi vitu halisi