Jurrasic
Member
- Oct 19, 2018
- 67
- 67
Relax hatuja gombana!!Acha kupaniki,tuliza mapumbu!
It doesn't matter which year.....toka 1961/1962 hatujawahi ipita Kenya kwa maendeleo!
And that's a FACT!
Alaf=Halafu
ukoh=Huko
Kajifunze Kiswahili busy body wewe!
Nani kasema na wapi mtu kaandika eti akijua Kiingereza ni ana IQ kubwa sana zaidi ya anaejua Kiswahili pekee yake?
Unajitungia hoja zako mwenyewe na kujijibu wewe pekee yako.
Kiswahili sio identity yako,ni lugha ya Waswahili wa Pwani,wewe Msukuma,mother tongue yako ni Kisukuma,acha kujipa vyeo usivyokua navyo!
Kingereza is the most powerful language in the world,hutaki andamana!
Kama Kiswahili ni bora sana Tanzania kwanini tunafundisha Kiingereza toka standard 3 up to University?
Even worse Secondary School level mpaka University level English is the defacto medium of instructions kisheria,huruhusiwi kufundusha kwa Kiswahili!
Unajua sababu ni nini wewe mwana Kiswahili bora duniani?
Nani kakwambia Tanzania kuna "Unity" eti sababu wanaongea Kiswahili?
Kenya wanaongea Kiingereza na lugha zao za kienyeji ila wana uzalendo na nchi yao zaidi ya Watanzania,jiulize kwanini?
Huna jibu....
Hujui unachokisema kwenye hii paragraph!
Hakuna taifa halina identity,kama wasingekua na identity taifa lisingeweza kujengwa to begin with!
Na lugha sio big of a fact kama unavyojitapa hapa maana inachenjiwa at any time..Kama Rwanda walipoamka asubuhi wakasema tunataka kua Anglophone na sio Francophone country,wakabadili dakika 0.
Leo Kenya wakisema wa-change English to 100% Kiswahili ni 5 years English is gone!
Plus,ni stupidity kuacha English for some weak languages!
Plus Nyerere alikua ni mpumbavu wa mwisho ndio maana mwenzake Lee Kuan Yew ameitoa Singapore kutoka 3rd world country to 1st world country ndani ya 30yrs ya utawala wake na Nyerere couldn't do shit!
Lee Kuan Yew ali-embrace English kama defacto language of Singapore,aka-embrace Capitalism,then akafanya utekelezaji,the rest is history!
Nyerere sasa,nonsense juu ya nonsense!
Acha umama wewe!
Ni heri nivae ndala wanangu waende English schools na colleges waende US au UK wakajifunze jinsi ya kuzalisha mali kwa akili then waje hapa waajiri wanao vizuri!
Nipo radhi kutoa any dollar to archive that.
Wewe endelea kujipaka mavi ukidhani ndio system sahihi mpaka unakuja kustuka wanao ni third class citizens kwenye hii nchi,just wait!
Jiulize,international schools zinafunguliwa kila siku Tanzania,na ada ni 30,000USD na zinajaa kila siku,halafu wewe mbuzi mnya karanga unajifanya eti ooh hivi,ooh vile,sijui ubepari sio,sijui English sio,kwenda kusoma Ulaya sio,sijui blah blah,then uone moto wake ndani ya 10years from now!
Good luck na maubishi yako ya kiduwanzi!
Naona nikujibu kitu kimoja alaf mengine niayaache ilah nioichokiuna wewe fala mbishi alaf huna point zinazoeleweka
Kenya hakuna uzalendo!! Kenya Kuna ukabila mkubwa, Kenya Kuna gap kubwa mnoo matajiri na maskini!!!
Matajiri wachache wakenya wanafanya uchumi uonekane mkubwa kwa G D P
Ilah uchumi wa mtu mmoja mmoja Ni Hali ngumu tu Kama Burundi ndo màana waanga wa njaa walipewa bia na pombe Kali na wachina huko Kenya!!
Alaf sijui wewe una define vipi uzalendo!!
Ila usiseme watanzania sio wazaelendo Sema MIMI SIO MZALENDO
Umetema pumba na shudu nyingi ila siwezi bishana na wewe màana hujui hata vitu basic kuhusu east Africa mpaka tulipo leo wengine watakujibu Ila we jamaa mshamba na brain washed!!!